Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tetesi za Soka Ulaya Jumanne 17.03.2020: Mahrez, Umtiti, Dembele, Telles, Martinez

Manchester City itazuia uhamisho wa winga wa Algeria Riyad Mahrez, 29, wa kujiunga na Paris St-Germain msimu wa joto. (Goal)

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumatano 18.03.2020: Bale, Mahrez, Martinez, Trippier, Mkhitaryan

Real Madrid wanapanga mikakati itakayomuwezesha mshambuliaji wa kimataifa wa Wales Gareth Bale, 30, kuondoka kwa uhamisho bila malipo. (Marca)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Ijumaa 14.02.2020: Dembele, Henderson, Mbappe, Messi, Grealish, Martinez, Carroll

Pep Guardiola amedai kwamba Manchester City huenda ikamfuta kazi iwapo watashindwa kuilaza Real Madrid katika kombe la mabingwa Ulaya. (Guardian)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumanne 28.04.2020: Pogba, Lingaard, Sancho, Dembele ,Coutinho, Kean

Manchester United wako tayari kumuuza kiungo wa kati wa Ufaransa Paul Pogba, 27, na kiungo wa kati wa England Jesse Lingard, 27, kumnunua Sancho. (Sun)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumanne 12.05.2020: Ozil, Ceballos, Todibo, Gomes, Vinicius, Mahrez

Mchezaji nyota wa Arsenal Mesut Ozil, 31, hataondoka klabu hiyo msimu huu na badala yake atakamilisha mwaka mmoja uliosalia katika mkataba wake na Gunners . (Fanatik, via Football London)

 

5 years ago

BBCSwahili

tetesi za soka Ulaya Jumanne 07.04.2020: Sancho, Martinez, Traore, Lingard, Giroud

Barcelona wanataka kumsajili mshambuliaji wa Argentina Lautaro Martinez, 22, kutoka klabu ya Inter Milan lakini wanakabiliana na ushindani mkali kutoka kwa Real Madrid na Manchester City. (Marca)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumanne 17.06.2020: Willian, Sancho, Bale, Allan, Silva, Dembele, Werner

Manchester United imeonesha nia ya kumtaka Willian, Everton ikiendeleza azma yake ya kumsaka mchezaji wa Napoli Allan na mengine mengi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumanne 19.05.2020: Havertz, Higuain ,Martinez, Koulibaly, Silva, Lazaro

Wolves wameongeza mkataba wa mlinda mlango wa kiingereza John Ruddy,33, kwa mwaka mmoja zaidi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumanne 23.06.2020: Jimenez, Martinez, Kurzawa, Arteta, Koulibaly, Vertonghen

Barcelona imehusishwa na usajili wa mshambuliaji wa Inter Milan Lautaro Martinez 22 lakini afisa mkuu mtendaji wa klabu hiyo Giuseppe Marotta anasema kwamba mchezaji huyo wa Argentina hajakuwa na hamu ya kutaka kuondoka ". (Sky Sports Italia, via Mail)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Ijumaa 22.05.2020: Umtiti, Koulibaly, Pjanic, Haaland, Rabiot

Barcelona wamepunguza bei ya kumuuza beki wao wa kati Samuel Umtiti wakati huu ambapo klabu za Manchester United na Arsenal zinamnyatia mchezaji huyo. (Sport - in Spanish)

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani