Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 11.05.2020: Aubameyang, Ighalo, Upamecano, Martinez
Mshambuliaji wa Arsenal na Gabon Pierre-Emerick Aubameyang, 30, alimuahidi marehemu babu yake kuwa atachezea Real Madrid. (Sun)
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili12 Apr
Tetesi za Soka Ulaya Jumapili 12.04.2020: Kane, Martinez, Sancho, Upamecano, Kamara, Matic
Uefa inatarajia kukamilisha msimu huu wa michuano ya Klabu Bingwa Ulaya na Ligi ya Europa mwezi Agosti kwa kutumia kipindi cha wiki tatu.
5 years ago
BBCSwahili08 Jun
Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 08.06.2020:Chilwell, Koulibaly, Martinez, Pjanic, Zaniolo, Rakitic
Manchester United na Real Madrid wanachunguza hali ya mshambuliaji wa Inter Milan na Argentina Lautaro Martinez, 22 baada ya mazungumzo ya kuhamia Barcelona kugonga mwamba. (Marca via Mirror)
5 years ago
BBCSwahili27 Apr
Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 27.04.2020: Coutinho, Aubameyang, De Gea, Rakitic, Neymar
Kiungo wa kati wa Barcelona Philippe Coutinho, ambaye yuko kwa mkopo Bayern Munich, aliambiwa na Liverpool kuwa hawana mpango wa kumsajili tena mchezaji huyo wa kimataifa wa Brazil
5 years ago
BBCSwahili15 Jun
Tetesi za soka Ulaya Jumatatu 15.06.2020: Grealish, Sancho, Aubameyang, Alonso, Havertz, Ndidi
Manchester United yakaza kamba zaidi kuhakikisha inamsajili kiungo wa kati Jack Grealish
5 years ago
BBCSwahili30 Mar
Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 30.03.2020:Aubameyang, Haaland, Mane, Mkhitaryan, Xavi, Heaton
Real Madrid wanataka kumsajili mshambuliaji wa Arsenal raia wa Gabon Emerick Aubameyang endapo watashindwa kumpata Erling Braut Haaland.
5 years ago
BBCSwahili16 Mar
Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 16.03.2020: Ighalo, Van de Beek, Ronaldo, De Bruyne, Sterling, Kane
Mshambuliaji wa Manchester United na Nigeria Odion Ighalo, 30, ambaye yuko klabu hiyo kwa mkopo kutoka Shanghai Shenhua, anajianda kupunguziwa mshahara hadi £6m ili asalie katika ligi ya primia. (Mail)
5 years ago
BBCSwahili14 Jun
Tetesi za soka Ulaya Jumapili 14.06.2020: Sancho, Werner, Arrizabalaga, Upamecano, Jorginho
Kocha wa Borussia Dortmund Sebastian Kehl ametupilia mbali uvumi wa kwamba Jadon Sancho huenda akahamia Liverpool msimu huu.
5 years ago
BBCSwahili15 Mar
Tetesi za soka Ulaya Jumapili 15.03.2020: Euro 2020, Mahrez, Aubameyang, Bailey, Kondogbia, Neymar, Mane
Huenda Uefa ikaahirisha Euro 2020 hadi Desemba ili kutoa fursa kwa Ligi ya Premier na mashindano mengine ya vilabu kumalizika baada ya kutokea kwa janga la Corona.
5 years ago
BBCSwahili24 Feb
Tetesi za soka Ulaya Jumatatu tarehe 24.02.2020: Tetesi za uhamisho wa Zlatan, Smalling, Mkhitaryan, Phillips, Kostic
Mkurugenzi wa masuala ya kiufundi wa klabu wa AC Milan Paolo Maldini anasema Mswidi Zlatan Ibrahimovic, mwenye umri wa miaka 38, amefanya marekebisho ya kipengele cha mkataba wake iwapo Wataliano watafuzu kuingia Championi. (Mail)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania