Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 27.04.2020: Coutinho, Aubameyang, De Gea, Rakitic, Neymar

Kiungo wa kati wa Barcelona Philippe Coutinho, ambaye yuko kwa mkopo Bayern Munich, aliambiwa na Liverpool kuwa hawana mpango wa kumsajili tena mchezaji huyo wa kimataifa wa Brazil

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 08.06.2020:Chilwell, Koulibaly, Martinez, Pjanic, Zaniolo, Rakitic

Manchester United na Real Madrid wanachunguza hali ya mshambuliaji wa Inter Milan na Argentina Lautaro Martinez, 22 baada ya mazungumzo ya kuhamia Barcelona kugonga mwamba. (Marca via Mirror)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumatatu 04.05.2020: Rakitic, Pogba, Ndombele, Pedro, Mkhitaryan, Bakayoko

Tottenham inaongoza katika kinyang'anyiro cha kutaka kumsajili kiungo wa kati wa Barcelona na Croatia, 32, Ivan Rakitic. (Mundo Deportivo - in Spanish)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumapili 15.03.2020: Euro 2020, Mahrez, Aubameyang, Bailey, Kondogbia, Neymar, Mane

Huenda Uefa ikaahirisha Euro 2020 hadi Desemba ili kutoa fursa kwa Ligi ya Premier na mashindano mengine ya vilabu kumalizika baada ya kutokea kwa janga la Corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumapili 26.04.2020 :Aubameyang, Pogba, Sancho, Neymar, Mbappe

Rais wa Real Madrid Florentino Perez bado ana ndoto ya kufikia makubaliano ya kumsaini mshambuliaji wa Paris St-Germain Neymar.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 11.05.2020: Aubameyang, Ighalo, Upamecano, Martinez

Mshambuliaji wa Arsenal na Gabon Pierre-Emerick Aubameyang, 30, alimuahidi marehemu babu yake kuwa atachezea Real Madrid. (Sun)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Ijumaa 8.5.2020: Coutinho, Koulibaly, Sancho, Icardi, Aubameyang

Newcastle inataka kumsajili beki wa kati wa Napoli na Senegal Kalidou Koulibaly

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Alhamisi19.03.2020: Aubameyang, Coutinho, Bellingham, Cazorla, Young

Arsenal wanasaini upya mkataba wa kumpoteza mshambuliaji Pierre-Emerick Aubameyang, mwenye umri wa miaka 30, msimu huu na wanataka gharama ya euro milioni 55 (£50.7m) kwa ajili mchezaji huyo wa kimataifa wa Gabon ambaye anatafutwa Barcelona. (Sport, in Spanish)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumatatu 15.06.2020: Grealish, Sancho, Aubameyang, Alonso, Havertz, Ndidi

Manchester United yakaza kamba zaidi kuhakikisha inamsajili kiungo wa kati Jack Grealish

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 30.03.2020:Aubameyang, Haaland, Mane, Mkhitaryan, Xavi, Heaton

Real Madrid wanataka kumsajili mshambuliaji wa Arsenal raia wa Gabon Emerick Aubameyang endapo watashindwa kumpata Erling Braut Haaland.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani