Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TFF confirms hosting Kagame Cup

The Tanzania Football Federation (TFF) has confirmed that the 2015 Cecafa Club Championship (Kagame Cup) will take place in the country.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

TFF YAKUBALI UENYEJI KAGAME CUP

Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF, leo hii imekubali kuwa wenyeji wa  michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati ngazi ya Vilabu maarufu kama CECAFA Kagame Cup.
CECAFA ambao ndio wamiliki wa mashindano haya watatoa mialiko kwa vilabu vyenye sifa ya kushiriki na wakipokea uthibitisho wa ushiriki wao watatoa orodha ya vilabu shiriki na ratiba ya michuano hiyo.
Michuano hii inatarajiwa kuafanyika nchini kuanzia tarehe 11 Julai mpaka 02 Agosti 2015.
IMETOLEWA NA SHIRIKISHO LA MPIRA WA...

 

10 years ago

TheCitizen

TFF needs hefty package to host Kagame Cup

The Tanzania Football Federation (TFF) needs $300,000 (approximately Sh600 million) to host this year’s regional club championship, Kagame Cup, scheduled to take place here in July.

 

10 years ago

TheCitizen

SOCCER: TFF eyes Afcon hosting rights

>The Tanzania Football Federation (TFF) has made a preliminary bid to host the 2017 Africa Cup of Nations finals, just days after Libya surrendered its right to host the event.

 

11 years ago

BBC

VIDEO: Was hosting World Cup 2010 worth it?

BBC Brasil's Joao Fellet travels around South Africa to hear people's views on the long-term benefits and disadvantages of hosting the 2010 World Cup tournament.

 

10 years ago

Michuzi

KAGAME CUP

 Kikosi cha timu ya Khartoum ya Sudan kikiwa katika picha ya pamoja kabla ya mchezo wa nusu fainali ya michuano ya kombe la Kagame dhidi ya Gor Mahia ya Kenya kwenye Uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam leo. Gor Mahi inaongoza kwa magoli 3-1. (Picha na Francis Dande) Wachezaji wa timu ya Khartoum wakishangilia bao. Mashabiki wa Gor Mahia wakishangilia timu yao. Golikipa wa timu ya Gor Mahia, Boniface Oluochakiokoa moja ya hatari langoni mwake.Mashabiki wa Gor Mahia wakishangilia timu...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Kiingilio Kagame Cup 2000/-

BARAZA la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), kushirikiana na wenyeji wa michuano hiyo Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) wametangaza kiingilio cha chini katika michuano ya Kagame kuwa ni Sh. 2,000.

Michuano hiyo inatarajiwa kuanza kutimua vumbi Jumamosi hii, ikishirikisha timu 13 wanachama wa Cecafa. Bingwa mtetezi ni timu ya El-Merreikh ya Sudan.

Taarifa iliyotumwa na Ofisa Habari wa TFF, Baraka Kizuguto ilisema kiingilio hicho cha chini kitatumika Uwanja wa Karume....

 

10 years ago

Raia Tanzania

Azam bingwa Kagame Cup

TIMU ya soka Azam FC jana imeandika historia mpya kwenye soka la Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) baada ya kutwaa ubingwa wa michuano ya Kombe la Kagame Cup kwa kuifunga Gor Mahia ya Kenya mabao  2-0 katika mechi ya fainali iliyochezwa Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

Mabao ya Azam yaliwekwa kimiani na washambuliaji John Bocco 'Adebayor' dakika ya 16 na Kipre Tchetche dakika ya 65.

Bao la Bocco lilipatikana baada ya Tchetche kuwakimbiza mabeki wa Gor Mahia ambao walishindwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Kagame Cup Kuanza Agosti 8

Michuano ya klabu Bingwa Afrika mashariki na kati maafuru Kagame Cup inaanza Agosti 8 mwaka huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani