THBUB,IRELAND KUELIMISHA UMMA KUHUSU HAKI ZA BINADAMU
![](https://1.bp.blogspot.com/-eBi9VxUe_Ow/XkZ72JTYAEI/AAAAAAALdWM/dhaU1PfZX8Is1_bYnNmeAOeD1lFS8kE9QCLcBGAsYHQ/s72-c/728A5831AA-1024x682.jpg)
Balozi wa Ireland nchini Tanzania, Paul Sherlock (wa pili kushoto) akijadiliana jambo na Mwenyekiti wa THBUB, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu (katikati) muda mfupi baada ya kikao chao katika ofisi za ubalozi huo jijini Dar es Salaam. Wa kwanza kulia ni Aran Corrigan, Mtaalamu Mwandamizi wa Jinsia na Utawala Bora wa ubalozi wa Ireland, na wa pili...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziTHBUB, Ireland kuelimisha umma kuhusu haki za binadamu
9 years ago
Dewji Blog30 Nov
Tume ya Haki za Binadamu na DIGNITY wafanya semina juu elimu kuhusu haki za binadamu!!
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mhe. Bahame Tom Nyanduga akielezea mambo mbalimbali katika semina hiyo. kulia kwake ni afisa kutoka DIGNITY, Bi. Brenda Van Den Bergh. (Picha zote na Mpiga picha wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora).
Na Rabi Hume,Modewjiblog
Tume ya haki za binadamu na utawala bora ikishirikiana na Taasisi ya haki za binadamu kutoka Denmark (DIGNITY) wamefanya semina inayohusu haki za binadamu kwa kutoa elimu kwa asasi mbalimbali kuhusu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mF9Rwlmh2ak/Xlis28NbKxI/AAAAAAALfy4/FPx60-Z2xiAwIM3aRS0jAYYPohMS9llHgCLcBGAsYHQ/s72-c/1c249259-3ace-4049-b198-755ca917a887.jpg)
THBUB, LHRC wajipanga kutoa elimu ya haki za binadamu mashuleni
![](https://1.bp.blogspot.com/-mF9Rwlmh2ak/Xlis28NbKxI/AAAAAAALfy4/FPx60-Z2xiAwIM3aRS0jAYYPohMS9llHgCLcBGAsYHQ/s640/1c249259-3ace-4049-b198-755ca917a887.jpg)
Mwenyekiti wa THBUB, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu akiongea katika kikao cha majadiliano kilichowakutanisha ujumbe wa THBUB na Viongozi wa LHRC kwenye ofisi za kituo hicho jijini Dodoma leo (Februari 27, 2020). Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Anna Henga.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/62e7e75f-e624-43a0-8657-4f66175a2c5b.jpg)
11 years ago
Dewji Blog21 May
Tigo yazindua Tamthilia ya Redio kuelimisha Umma kuhusu Bima
Meneja Mkuu wa Tigo Tanzania, Diego Gutierrez (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa tamthilia ya redio iitwayo ‘Kinga ya Moyo Wangu’ itakayoelimisha watanzania kuhusu umuhimu wa bima jijini Dar es Salaam jana. Kulia ni Meneja Mkazi wa Kampuni ya BIMA inayotoa huduma za bima kupitia simu za mkononi, Christian Karlander. Tamthilia hiyo itasikika katika vipindi vya Jahazi na Leo Tena vya Clouds FM.
Meneja Mkazi wa Kampuni inayotoa huduma za bima kupitia simu za...
10 years ago
MichuziTGDC yaendelea na Kampeni ya kuelimisha Umma kuhusu Jotoardhi mkoani Mbeya
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sdzCm2mQasc/VijHV3LT17I/AAAAAAAAE50/JAikOfuvPG8/s72-c/1.jpg)
MAHAKAMA YA HAKI ZA BINADAMU YAADHIMISHA SIKU YA HAKI ZA BINADAMU AFRIKA JIJINI ARUSHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-sdzCm2mQasc/VijHV3LT17I/AAAAAAAAE50/JAikOfuvPG8/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1jiUFRYnO2s/VijHclt6wII/AAAAAAAAE58/VpaB20eNO_8/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HwLSGqa5iPA/VijHzxQEmKI/AAAAAAAAE6E/QO2UWhpIRX8/s640/3.jpg)
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-BNG1OSkOxig/VkPx5It3OsI/AAAAAAAAXFY/yx9sXXs3KDw/s72-c/eu-page-001.jpg)
9 years ago
Dewji Blog23 Oct
Tamko la Tume ya Haki za Binadamu kuhusu uchaguzi
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), Mhe. Bahame Nyanduga.
Tamko La Tume Ya Haki Za Binadamu Kuhusu Uchaguzi Huru
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KxzXKOo8pPM/Vmwj_acD4gI/AAAAAAAIL4E/5h9qQci7yZ8/s72-c/index.jpg)
Tume ya Haki za Binadamu yalaani hatua za Viongozi kuwaweka rumande watumishi wa umma kwa makosa ya kinidhamu
![](http://2.bp.blogspot.com/-KxzXKOo8pPM/Vmwj_acD4gI/AAAAAAAIL4E/5h9qQci7yZ8/s640/index.jpg)