TGDC yaendelea na Kampeni ya kuelimisha Umma kuhusu Jotoardhi mkoani Mbeya
Meneja Mkuu Shirika la Uendelezaji Nishati ya Jotoardhi Tanzania (TGDC), Mhandisi Boniface Njombe (aliyesimama) akielimisha Umma wa Kata ya Swaya wakati walipotembelea eneo la kata hiyo ikiwa ni sehemu ya Kampeni ya uelimishaji kuhusu manufaa ya Jotoardhi hivi karibuni mkoani Mbeya. Kushoto ni Mkurugenzi wa masuala ya Ufundi wa TGDC, Bwana Karamaeli Mnjokava.
Mkurugenzi wa masuala ya Ufundi wa TGDC, Bwana Karamaeli Mnjokava.(aliyesimama mbele) akichangia mada kuhusu jotoardhi na manufaa yake...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboKATA YA MWASANGA NA TEMBELA MKOANI MBEYA ZAPATIWA ELIMU KUHUSU JOTOARDHI
Afisa Mawasiliano wa Kampuni ya Kuendeleza Jotoardhi Tanzania (TGDC) Bi. Johari Kachwamba akiwaelimisha Viongozi wa Kata ya Mwasanga na Tembela kuhusu majukumu ya TGDC leo 7 Agosti, 2015 Mkoani Mbeya.
9 years ago
VijimamboTGDC, TANESCO, WIZARA YA NISHATI NA MADINI WAPIGWA MSASA KUHUSU MIFUMO MBALIMBALI YA BIASHARA KWA SOKO LA JOTOARDHI NCHINI.
9 years ago
MichuziTGDC NA MKAKATI WA UZALISHAJI WA UMEME KUPITIA JOTOARDHI
5 years ago
MichuziTHBUB, Ireland kuelimisha umma kuhusu haki za binadamu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eBi9VxUe_Ow/XkZ72JTYAEI/AAAAAAALdWM/dhaU1PfZX8Is1_bYnNmeAOeD1lFS8kE9QCLcBGAsYHQ/s72-c/728A5831AA-1024x682.jpg)
THBUB,IRELAND KUELIMISHA UMMA KUHUSU HAKI ZA BINADAMU
![](https://1.bp.blogspot.com/-eBi9VxUe_Ow/XkZ72JTYAEI/AAAAAAALdWM/dhaU1PfZX8Is1_bYnNmeAOeD1lFS8kE9QCLcBGAsYHQ/s640/728A5831AA-1024x682.jpg)
10 years ago
VijimamboNISHATI YA JOTOARDHI KUNUFAISHA BAADHI YA VIJIJI MKOANI MBEYA
Nishati ya Jotoardhi imeelezwa kuwa muhimu kwa maeneo ambayo utafiti ulishafanywa hapo awali kwani ina faida lukuki kwa maendeleo ya nchi hususani katika kutatua changamoto ya ukosefu wa nishati ya umeme ikiwemo umeme wa mgao ambao unazikumba baadhi ya mikoa hapa nchini.
Akiongea wakati wa Kampeni endelevu kuhusu jotoardhi 6 Agosti, 2015 katika Kata za Ilomba vijiji vya Ituha na Tonya pamoja na Kata ya Nanyala iliyopo Wilaya ya Mbozi mkoani Mbeya, Meneja...
11 years ago
Dewji Blog21 May
Tigo yazindua Tamthilia ya Redio kuelimisha Umma kuhusu Bima
Meneja Mkuu wa Tigo Tanzania, Diego Gutierrez (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa tamthilia ya redio iitwayo ‘Kinga ya Moyo Wangu’ itakayoelimisha watanzania kuhusu umuhimu wa bima jijini Dar es Salaam jana. Kulia ni Meneja Mkazi wa Kampuni ya BIMA inayotoa huduma za bima kupitia simu za mkononi, Christian Karlander. Tamthilia hiyo itasikika katika vipindi vya Jahazi na Leo Tena vya Clouds FM.
Meneja Mkazi wa Kampuni inayotoa huduma za bima kupitia simu za...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-nKBQ2cJ2tx0/VmKmBpg2z4I/AAAAAAAIKTM/fi3OetyR-wQ/s72-c/73d8cb1a-7ff5-48f2-b341-ab43cfe9eb8d.jpg)
TGDC NA KAMPUNI YA TOSHIBA WATILIANA SAINI MKATABA WA MAELEWANO (MOU) WA UTAFUTAJI WA NISHATI YA JOTOARDHI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zustSyWnHCU/UxGMIvKIxwI/AAAAAAACbVo/6sYG-mmoLtw/s72-c/Heche+kuhiutubia+Lumuli.jpg)
CHADEMA YAENDELEA NA KAMPENI ZAKE ZA UCHAGUZI JIMBO LA KALENGA MKOANI IRINGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-zustSyWnHCU/UxGMIvKIxwI/AAAAAAACbVo/6sYG-mmoLtw/s1600/Heche+kuhiutubia+Lumuli.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-b2DhofXYRdQ/UxGMJoXYzzI/AAAAAAACbVw/eibh9y3Mtog/s1600/Mawazo+kumwelezea+mtoto.jpg)