Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tigo yazindua Tamthilia ya Redio kuelimisha Umma kuhusu Bima

Picture 332

Meneja Mkuu wa Tigo Tanzania, Diego Gutierrez (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa tamthilia ya redio iitwayo ‘Kinga ya Moyo Wangu’ itakayoelimisha watanzania kuhusu umuhimu wa bima jijini Dar es Salaam jana. Kulia ni Meneja Mkazi wa Kampuni ya BIMA inayotoa huduma za bima kupitia simu za mkononi, Christian Karlander.  Tamthilia hiyo itasikika katika vipindi vya Jahazi na Leo Tena vya Clouds FM.

Picture 401

Meneja Mkazi wa Kampuni  inayotoa huduma za bima kupitia simu za...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Tigo yazindua tamthilia ya bima

KAMPUNI ya mtandao wa simu za mkononi ya Tigo imezindua tamthilia mpya ya ‘Kinga ya moyo wangu’, kwa lengo la kuielimisha jamii juu ya masuala ya bima.

 

11 years ago

GPL

TIGO BIMA YAZINDUA TAMTHILIA YA 'KINGA YA MOYO WANGU'‏

Meneja Mkuu wa Tigo Tanzania, Diego Gutierrez (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa tamthilia ya redio iitwayo ‘Kinga ya Moyo Wangu’ itakayoelimisha Watanzania kuhusu umuhimu wa bima jijini Dar es Salaam jana. Kulia ni Meneja Mkazi wa Kampuni ya BIMA inayotoa huduma za bima kupitia simu za mkononi, Christian Karlander. Tamthilia hiyo itasikika katika vipindi vya Jahazi na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Msajili wa vyama vya siasa kutumia redio jamii kuelimisha umma

DSC_0009

Meneja wa Kituo cha Habari na Mawasiliano cha Redio Sengerema mkoani Mwanza  Bw. Felician Ncheye, akiutambulisha ujumbe wa wageni kutoka ofisi ya msajili wa vyama vya siasa nchini kwa Wenyeviti wa bodi na mameneja wa redio za jamii nchini waliohudhuria warsha ya siku tano ya kuwajengea uwezo katika kuboresha masoko kwenye vituo vyao iliyofadhiliwa na shirika la maendeleo la Sweden (SIDA) na kuratibiwa na UNESCO.

Na Mwandishi Wetu, Sengerema

OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini kupitia...

 

5 years ago

Michuzi

THBUB, Ireland kuelimisha umma kuhusu haki za binadamu

 Balozi wa Ireland nchini Tanzania, Paul Sherlock (kulia) akimkaribisha Mwenyekiti wa THBUB, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu (kushoto) muda mfupi baada ya kuwasili katika ofisi za ubalozi huo jijini Dar es Salaam. Mwenyekiti wa THBUB, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu(wa nne kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Mwenyeji wake Balozi wa Ireland nchini Tanzania, Paul Sherlock ( wan ne kutoka kulia). Wengine ni Viongozi wa THBUB na Maafisa wa Ubalozi wa Ireland. Balozi wa Ireland nchini Tanzania,...

 

5 years ago

Michuzi

THBUB,IRELAND KUELIMISHA UMMA KUHUSU HAKI ZA BINADAMU



 Balozi wa Ireland nchini Tanzania, Paul Sherlock (wa pili kushoto) akijadiliana jambo na Mwenyekiti wa THBUB, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu (katikati) muda mfupi baada ya kikao chao katika ofisi za ubalozi huo jijini Dar es Salaam. Wa kwanza kulia ni   Aran Corrigan, Mtaalamu Mwandamizi wa Jinsia na Utawala Bora wa ubalozi wa Ireland, na wa pili...

 

10 years ago

Michuzi

TGDC yaendelea na Kampeni ya kuelimisha Umma kuhusu Jotoardhi mkoani Mbeya

Meneja Mkuu Shirika la Uendelezaji Nishati ya Jotoardhi Tanzania (TGDC), Mhandisi Boniface Njombe (aliyesimama) akielimisha Umma wa Kata ya Swaya wakati walipotembelea eneo la kata hiyo ikiwa ni sehemu ya Kampeni ya uelimishaji kuhusu manufaa ya Jotoardhi hivi karibuni mkoani Mbeya. Kushoto ni Mkurugenzi wa masuala ya Ufundi wa TGDC, Bwana Karamaeli Mnjokava.Mkurugenzi wa masuala ya Ufundi wa TGDC, Bwana Karamaeli Mnjokava.(aliyesimama mbele) akichangia mada kuhusu jotoardhi na manufaa yake...

 

9 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya simu ya Tigo yazindua kampeni ya ‘Chagua Tigo Pesa, Inalipa’

1

Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Kifedha wa Tigo, Ruan Swanepoel (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana katika uzinduzi wa kampeni ya ya Chagua Tigo Pesa, Inalipa. Kulia ni Meneja  Bidhaa wa Tigo, William Mpinga.

2

Meneja  Bidhaa wa Tigo, William Mpinga (kulia), akizungumza katika uzinduzi huo. Kushoto ni Mkuu wa wa Kitengo cha Huduma za Kifedha wa Tigo, Ruan Swanepoel.

IMG_2230

Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.

Na Dotto Mwaibale

KAMPUNI ya simu ya mkononi ya...

 

10 years ago

Michuzi

WASANII KUTUMIKA KUELIMISHA UMMA MENEJIMENTI YA MAAFA

Mkurugenzi wa Idara ya Uratibu Maafa, Ofisi ya Waziri Mkuu, Brig. Jen. Mbazi Msuya (mwenye tai) akishuhudia, Salma Juma akikabidhiwa Kizima moto kilichonunuliwa na washiriki wa mafunzo ya menejimenti ya maafa wa Ofisi hiyo mjini Dodoma tarehe, 21 Juni, 2015, Kwa lengo la kuhamasisha watumishi wa Ofisi hiyo kukabili majanga ya moto.Askari wa Jeshi la Zima moto nchini, Josephat John akieleleza matumizi ya Kizimamoto wakati wa mafunzo ya menejimenti ya maafa kwa watumishi wa Ofisi ya Waziri...

 

11 years ago

Michuzi

Bayport Yazindua Bima Ya Elimu

Bayport yazindua Bima Ya Elimu,Kwenye hafla ndogo kwenye ofisi ya Wizara ya   Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto. Kuanzia mkono wa kushoto katika picha ni Mhe. Sophia Simba (Waziri) akifutiwa na wawakilishi wa Bayport Financial    Services Maneja Masoko Ngula Cheyo na Matthew Mbaga, Meneja wa Bima. ======  ======  =======
Bayport Financial Services, ambayo ni moja kati ya wakopeshaji akubwa kwa ajili ya wafanyakazi imezindua mpango wa bima kwa ajili ya elimu.  Mfumo huo wa bima ni kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani