Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Throwback Music: Ferooz — Umeniponza (Audio)

Ferooz ni miongoni mwa wasanii waliokuwa wakiunda kundi la Daz Nundaz lililotamba kwenye muziki wa Bongo Flava kitambo sana. Wasanii wengine waliounda kundi hilo walikuwa pamoja na Daz Baba, La Rhumba na Sajo. Pamoja na kutengeneza hits zao kama kundi zikiwemo ‘Kamanda’ na ‘Barua’, Ferooz na Daz Baba waliweza kufanikiwa pia kama wasanii wanaojitegemea. Ferooz […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

10 years ago

BBC

AUDIO: Rapper Zeus on music and xenophobia

BBC Radio 1Xtra's DJ Edu speaks with one of Botswana's top artists, hip-hop star Zeus.

 

10 years ago

BBC

AUDIO: Malawi music record label launched

The founder of Spare Dog Records tells BBC Africa why he has established the new label to promote artists from Malawi.

 

10 years ago

BBC

AUDIO: Mixing God with house music in Botswana

As part of the BBC's A Richer World season, 1xtra's DJ Edu meets Botswana's DJ Gouveia who says that everything he does has a spiritual inspiration.

 

9 years ago

MillardAyo

Mo Music kafikishwa Mahakamani Dodoma… chanzo ni Mwanamke (+audio)

Mwimbaji wa hit single ya ‘basi nenda‘ ambaye sasa hivi anapata airtime kubwa ya Radio kupitia single ya ‘skendo‘ Mo Music, anasema mwaka 2015 kwake umemalizika na huzuni baada ya kushtakiwa Mahakamani kwa kisa kilichoanzia kwa Mwanamke, kesi yake imetajwa December 21 2015. Alikua ni mpenzi wake wa zamani, toka wameachana ni zaidi ya miezi nane […]

The post Mo Music kafikishwa Mahakamani Dodoma… chanzo ni Mwanamke (+audio) appeared first on...

 

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND AND ALI KIBA THROWBACK PHOTOS SPOTTED SPENDING TOGETHER IN DIFFERENT LOCATION


DIAMOND AND ALI KIBA THROWBACK PHOTOS SPOTTED SPENDING TOGETHER IN DIFFERENT LOCATION'S!! DOES ANYONE ACHIEVEMENT BRING'S JEALOUS AND BREAK THEIR FRIENDSHIP? YOU MUST SEE THIS PHOTO'S!!.









 

10 years ago

GPL

FEROOZ MBARONI KWA UTAPELI

Mayasa Mariwata na Makongoro Ogin’g
Tena? Kwa mara nyingine staa wa Bongo Fleva, Ferooz Mrisho ametiwa mbaroni kwa utapeli akidaiwa ‘kuchikichia’ fedha za kumpangisha nyumba jamaa aliyejitambulisha kwa jina la Tony Noah kiasi cha zaidi ya Sh. milioni 3.2 kisha kuingia mitini ikielezwa kuwa nyumba hiyo ina mgogoro. Staa wa Bongo Fleva, Ferooz Mrisho. Kwa mujibu wa chanzo chetu cha kuaminika, ilidaiwa kwamba,...

 

11 years ago

GPL

FEROOZ MBARONI KWA BANGI

Na Issa Mnally
NYOTA aliyetamba katika muziki wa kizazi kipya enzi hizo akiwa na Kundi la Daz Nundaz, Ferooz Mrisho, juzikati alikamatwa na polisi na kutupwa lupango katika Kituo Kidogo cha Mabatini, Kijitonyama jijini Dar es Salaam, baada ya kukutwa akivuta bangi pamoja na vijana wenzake kadhaa maeneo ya Sinza, karibu na Baa ya Meeda. Mwanamuziki Ferooz Mrisho akiwa mikononi mwa polisi baada ya kunaswa akivuta bangi. Habari...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani