Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mo Music kafikishwa Mahakamani Dodoma… chanzo ni Mwanamke (+audio)

Mwimbaji wa hit single ya ‘basi nenda‘ ambaye sasa hivi anapata airtime kubwa ya Radio kupitia single ya ‘skendo‘ Mo Music, anasema mwaka 2015 kwake umemalizika na huzuni baada ya kushtakiwa Mahakamani kwa kisa kilichoanzia kwa Mwanamke, kesi yake imetajwa December 21 2015. Alikua ni mpenzi wake wa zamani, toka wameachana ni zaidi ya miezi nane […]

The post Mo Music kafikishwa Mahakamani Dodoma… chanzo ni Mwanamke (+audio) appeared first on...

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mwanamume anavyokuwa chanzo cha mwanamke kutoa mimba II

KAMA ilivyo kawaida katika makala hii tunaanza na kishtua mada ili kupata ujumbe fulani wenye maana. Mshikaji 1: Mdogo wangu anaandika kitabu cha kuhusu maisha yake. Mshikaji 2: Oh! kumbe...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwanamume anavyokuwa chanzo cha mwanamke kutoa mimba — 3

KAMA kawaida, katika makala hii tunaanza na kishtua mada ili kupata ujumbe fulani wenye maana. Mshikaji 1: Waziri akishinikizwa na akajiuzulu ni kitendo cha uwajibikaji au sivyo? Mshikaji 2: Ndiyo...

 

11 years ago

Mwananchi

Mwanamke wa heroini mahakamani leo

Mwanamke aliyekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam juzi, kwa tuhuma za kumeza za dawa za kulevya, amemaliza kutoa kete hizo kwa njia ya haja kubwa.

 

9 years ago

MillardAyo

Mwanamke alivyokimbiwa na mume baada ya kujifungua Muhimbili Dar… #Hekaheka (+Audio)

Hii stori imesikika kwenye show ya ‘Leo Tena‘ Clouds FM ambapo mwanamke mmoja amekimbiwa na mumewe baada ya kujifungua hospitali ya Muhimbili Dar es Salaam. Mwanamke huyo amesema baada ya kutoka hospitali alikuta mwanaume kabeba kila kitu kwenye nyumba walipokuwa wamepanga, akakosa msaada mpaka akajitokeza mama mmoja ambaye alimsaidia kumpa hifadhi kwa muda. Japo wameishi […]

The post Mwanamke alivyokimbiwa na mume baada ya kujifungua Muhimbili Dar… #Hekaheka (+Audio) appeared first on...

 

10 years ago

GPL

10 years ago

BBC

AUDIO: Rapper Zeus on music and xenophobia

BBC Radio 1Xtra's DJ Edu speaks with one of Botswana's top artists, hip-hop star Zeus.

 

10 years ago

Bongo5

Throwback Music: Ferooz — Umeniponza (Audio)

Ferooz ni miongoni mwa wasanii waliokuwa wakiunda kundi la Daz Nundaz lililotamba kwenye muziki wa Bongo Flava kitambo sana. Wasanii wengine waliounda kundi hilo walikuwa pamoja na Daz Baba, La Rhumba na Sajo. Pamoja na kutengeneza hits zao kama kundi zikiwemo ‘Kamanda’ na ‘Barua’, Ferooz na Daz Baba waliweza kufanikiwa pia kama wasanii wanaojitegemea. Ferooz […]

 

10 years ago

BBC

AUDIO: Mixing God with house music in Botswana

As part of the BBC's A Richer World season, 1xtra's DJ Edu meets Botswana's DJ Gouveia who says that everything he does has a spiritual inspiration.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani