THT KUADHIMISHA MIAKA 10 TANGU KUAZISHWA
Kituo cha kuzalisha na kukuza vipaji(THT) kinarajia kuadhimisha miaka kumi tangu kuanzishwa kwake,sherehe hizo zinarajiwa kufanyika Jan.31,Escape One,Mikocheni jijini Dar.
THT ilianzishwa mwishoni mwa mwaka 2005 kwa lengo la kuwasaidia vijana wenye vipaji,lakini wasio na uwezo wa kujiendeleza wenyewe kwenye sekta ya sanaa hapa nchini,na toka wakati huo kituo hicho kimekuwa na mafanikio makubwa na mchango wa pekee kwenye kukuza sana ya muziki hapa nchini.
Akizungumzia maadhimisho hayo meneja wa...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziTHT KUADHIMISHA MIAKA 10 TANGU KUANZISHWA KWAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-6AX5LP_0FIc/VLe4NtIA2kI/AAAAAAABNlA/xvwcWsqX5fE/s1600/3.3.jpg)
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
10 years ago
Dewji Blog15 Jan
THT kuadhimisha miaka 10 tangu kuanzishwa kwake, tarehe 31/1/2015, Escape 1
Meneja Mkuu wa Kituo cha kuzalisha na kukuza vipaji, Tanzania House of Talent (THT), Mwita Mwaikenda akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar leo.
Kufungua kampuni ya ushonaji na ubunifu wa mavazi
Kituo cha kuzalisha na kukuza vipaji, Tanzania House of Talent, kinatarajia kuadhimisha miaka kumi toka kuanzishwa kwake hapo tarehe 31/1/2015 Escape 1 jijini Dar es Salaam.
THT ilianzishwa mwishoni mwa mwaka 2005 kwa lengo la kuwasaidia vijana wenye vipaji, lakini wasio na uwezo wa...
10 years ago
GPL10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/N9SP9Z4W-Dew*AV0NPxyHQwpQJavRYIyBpFzQhaR0-dqpKSiYWubBbNtA*40kVHLhsVqbUjOd1tN0mZHHZrfAUNLZLl0fQgJ/1.jpg?width=750)
THT KUAZIMISHA MIAKA 10 JANUARI 31 ESCAPE ONE
10 years ago
Mwananchi07 Feb
Msami aonyesha maajabu miaka 10 ya THT
10 years ago
CloudsFM30 Jan
MAANDALIZI YA TAMASHA LA MIAKA 10 YA THT Escape 1 MIKOCHENI YAKAMILIKA
Tamasha la miaka kumi ya THT litakalofanyika jumamosi hii katika viwanja vya Escape 1 Mikocheni, limekamilisha maandalizi yake na hivyo kuwataka wadau na wapenzi wake wajitokeze kwa wingi kushuhudia burudani kubwa ya mziki hapa nchini.
THT, ambayo inasifika kwa kuzalisha wasanii mahiri nchini kama Linah, Barnaba, Mwasiti, Ditto, Mataluma, Vumi, Beka, Recho, Marlaw, Msami, Makomando na wengine wengi, imejipanga kutoa burudani kubwa ya mziki kwa mashabiki wake.
Akizungumza kuhusu maandalizi...
10 years ago
GPLMIAKA 10 YA THT YASHEREHEKEWA KWA MBWEMBWE ZA KILA AINA
10 years ago
Bongo501 Feb
Picha: Miaka 10 ya THT yaadhimishwa kwa kishindo Escape One
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FWSUCdw43AI/VMpDoEH-e-I/AAAAAAACy4I/tuTGcTAyr3o/s72-c/images.jpgd.jpg)
Maadhimisho ya miaka kumi ya THT Jumamosi hii Escape 1, Mikocheni
![](http://2.bp.blogspot.com/-FWSUCdw43AI/VMpDoEH-e-I/AAAAAAACy4I/tuTGcTAyr3o/s1600/images.jpgd.jpg)
· Viingilio shilingi elfu 15 kwenye vituo na elfu 20 mlangoni
Tamasha la miaka kumi ya THT litakalofanyika jumamosi hii katika viwanja vya Escape 1 Mikocheni, limekamilisha maandalizi yake na hivyo kuwataka wadau na wapenzi wake wajitokeze kwa wingi kushuhudia burudani kubwa ya mziki hapa nchini.
THT, ambayo inasifika kwa kuzalisha wasanii mahiri nchini kama Linah, Barnaba, Mwasiti, Ditto,...