T.I. asaini mkataba mnono na Warner Bros Television
Kampuni ya Warner Bros Television imemsainisha mkataba rapper T.I. Kupitia mkataba huo, studio hizo zitatengeneza series mpya kwaajili ya rapper huyo na pia kumuingiza kwenye miradi mingine inayoendelea. Kwenye televisheni, T.I. amewahi kuigiza kwenye tamthilia ya House Of Lies ya Showtime na Boss ya Starz. Hivi karibuni alimaliza kutayarisha msimu wa tano wa reality show […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies10 Jun
Riyama Ally Ala Shavu, Asaini Mkataba ‘Mnono’ na Kampuni Kubwa ya Filamu Nchini Kenya
Staa wa Bongo Movies, Riyama Ally amesaini mkataba mnono wa kucheza filamu na kampuni maarufu ya kusambaza filamu nchini Kenya.
Riyama alisema kuwa amefanya mazungumzo na kampuni hiyo mjini Mombasa na tayari wameshaanza kufanya kazi na kumlipa kitita kinono cha fedha ambacho hakukitaja.
Aidha amesema kuwa wadau wengine wa filamu nchini Kenya wametangaza dau kubwa zaidi ili msanii huyo aweze kucheza tamthilia zinazorushwa kwenye Televisheni mbali mbali nchini humo.
Cloudsfm.com
5 years ago
Forbes21 Mar
Box Office: Warner Bros. Can Turn ‘Wonder Woman 1984’ Into The Next ‘Star Wars,’ ‘Avatar’ Or ‘Aquaman’
10 years ago
GPLQ-CHILLAH ALAMBA MKATABA MNONO
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YO6zqeoVR9M/VKA-HY-oOmI/AAAAAAAG6OI/BmgiM3CTU1E/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
warembo wa miss temeke wampongeza Joketi Mwegelo kwa kupata mkataba mnono wa dola milion 5
![](http://4.bp.blogspot.com/-YO6zqeoVR9M/VKA-HY-oOmI/AAAAAAAG6OI/BmgiM3CTU1E/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
10 years ago
CloudsFM29 Dec
WAREMBO MISS TEMEKE WAMPONGEZA JOKATE MWEGELO KWA KUPATA MKATABA MNONO WA DOLA MILL.5
Warembo walioshika nafasi za kwanza katika mashindano ya umiss wakimpongeza mrembo mwenzao Jokate Mwegelo baada ya kupata mkataba mnono wa dola mill.5 katiba sherehe iliyofanyika hivi karibuni katika hotel ya Kempinski,jijini Dar.
10 years ago
BBCSwahili23 Apr
Jordan Henderson asaini mkataba
9 years ago
BBCSwahili17 Aug
Ramos asaini mkataba mpya
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1h7YENt4dAs/U6rgCuJqWRI/AAAAAAACkQw/-sPNgwfC-M0/s72-c/maximo3.jpg)
MARCIO MAXIMO ASAINI MKATABA NA YANGA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-1h7YENt4dAs/U6rgCuJqWRI/AAAAAAACkQw/-sPNgwfC-M0/s1600/maximo3.jpg)
"Ni kweli kocha Marcio Maximo amekubali kuingia mkataba na timu ya Yanga ambapo anatarajiwa kuanza kazi rasmi tarehe 27/06/2014 ambapo atafuatana na msaidizi wake Leonardo Neiva. Mazungumzo ya makubaliano hayo...
9 years ago
Bongo520 Nov
Producer C9 asaini mkataba wa usimamizi na Panamusiq
![C9](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/C9-300x194.jpg)
Producer wa muziki Charles Francis aka C9 ameasini mkataba wa muda mrefu wa usimamizi na kampuni ya Panamusiq Ltd.
Panamusiq wameandika kwenye taarifa kwa vyombo vya habari:
“Panamusiq is pleased to announce the signing of Tanzanian top producer C9 who has entered a long term management contract with the Dar based music company.”
Producer huyo ameungana na wasanii ambao tayari walikuwa wameingia kwenye usimamizi wa kampuni hiyo akiwemo Feza Kessy na Linah.
Ben Pol naye aliwahi kusaini na...