Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


T.I. asaini mkataba mnono na Warner Bros Television

Kampuni ya Warner Bros Television imemsainisha mkataba rapper T.I. Kupitia mkataba huo, studio hizo zitatengeneza series mpya kwaajili ya rapper huyo na pia kumuingiza kwenye miradi mingine inayoendelea. Kwenye televisheni, T.I. amewahi kuigiza kwenye tamthilia ya House Of Lies ya Showtime na Boss ya Starz. Hivi karibuni alimaliza kutayarisha msimu wa tano wa reality show […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Riyama Ally Ala Shavu, Asaini Mkataba ‘Mnono’ na Kampuni Kubwa ya Filamu Nchini Kenya

Staa wa Bongo Movies, Riyama Ally amesaini mkataba mnono wa kucheza filamu na kampuni maarufu ya kusambaza filamu nchini Kenya.

Riyama alisema kuwa amefanya mazungumzo na kampuni hiyo mjini Mombasa na tayari wameshaanza kufanya kazi na kumlipa kitita kinono cha fedha ambacho hakukitaja.

Aidha amesema kuwa wadau wengine wa filamu nchini Kenya wametangaza dau kubwa zaidi ili msanii huyo aweze kucheza tamthilia zinazorushwa kwenye Televisheni mbali mbali nchini humo.

Cloudsfm.com

 

5 years ago

Forbes

Box Office: Warner Bros. Can Turn ‘Wonder Woman 1984’ Into The Next ‘Star Wars,’ ‘Avatar’ Or ‘Aquaman’

Box Office: Warner Bros. Can Turn ‘Wonder Woman 1984’ Into The Next ‘Star Wars,’ ‘Avatar’ Or ‘Aquaman’  ForbesWonder Woman 1984 Photos Reveal Cheetah & Maxwell Lord Together  Screen RantIs Warner Bros releasing Wonder Woman 1984 online? - Tamil News  IndiaGlitz.comPlease Don't Skip a Theatrical Release for Wonder Woman 1984  The Mary SueView Full coverage on Google News

 

10 years ago

GPL

Q-CHILLAH ALAMBA MKATABA MNONO

Mbongo Fleva, Abubakar Katwila ‘Q-Chillah’ akipokea mkataba kutoka 'QS Mhonda J Company'. 'Legend' kwenye gemu la Bongo Fleva, Abubakar Katwila ‘Q-Chillah’ akipozi. Na mwandishi wetu
LEGEND kwenye gemu la Bongo Fleva, Abubakar Katwila ‘Q-Chillah’ amelamba mkataba wa nguvu…

 

10 years ago

Michuzi

warembo wa miss temeke wampongeza Joketi Mwegelo kwa kupata mkataba mnono wa dola milion 5

Warembo walioshika nafasi za kwanza za Miss Temeke walipofanya hafla ya kumpongeza Joketi Mwegelo kwa mafanikio ya kupata mkataba mnono wa dola milion 5 hivi karibuni. Hafla ya kumpongeza ilifanyika juzi kwenye hoteli ya Kempiski Kilimanjaro hotel jijini Dar es salaam. Kutoka kushoto; Miss Temeke 2004, Cecylia Assey, Happyness Magese ' Millen' (2001), Joketi Mwegelo ( 2006) na Miss Temeke 2014, Sitti Mtemvu. Nyuma Mshindi wa tatu 2013, Edda Sylvester, mshindi wa pili 2013, Narietha Boniface...

 

10 years ago

CloudsFM

WAREMBO MISS TEMEKE WAMPONGEZA JOKATE MWEGELO KWA KUPATA MKATABA MNONO WA DOLA MILL.5

Warembo walioshika nafasi za kwanza katika mashindano ya umiss wakimpongeza mrembo mwenzao Jokate Mwegelo baada ya kupata mkataba mnono wa dola mill.5 katiba sherehe iliyofanyika hivi karibuni katika hotel ya Kempinski,jijini Dar.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jordan Henderson asaini mkataba

Kiungo wa Liverpool Jordan Henderson amesaini mkataba mpya na klabu yake wa miaka mitano wenye thamani ya pauni 100,000 kwa wiki.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ramos asaini mkataba mpya

Beki wa klabu ya soka ya Real Madrid Sergio Ramos, amesaini mkataba mpya na timu yake

 

11 years ago

Michuzi

MARCIO MAXIMO ASAINI MKATABA NA YANGA.

Kocha mkuu wa zamani wa timu ya Taifa, taifa Stars Marcio Maximo  amesaini mkataba  wa kuwa kocha mkuu na timu ya Yanga kwa muda wa miaka miwili. makubaliano hayo yamefikiwa jana, wakala  anaye mwakilisha Ally Mleh wa kampuni ya Manyara Sports Management amethibitisha hilo.
"Ni kweli kocha Marcio Maximo amekubali kuingia mkataba na timu ya  Yanga ambapo anatarajiwa kuanza kazi rasmi tarehe 27/06/2014 ambapo  atafuatana na msaidizi wake Leonardo Neiva. Mazungumzo ya makubaliano   hayo...

 

9 years ago

Bongo5

Producer C9 asaini mkataba wa usimamizi na Panamusiq

C9

Producer wa muziki Charles Francis aka C9 ameasini mkataba wa muda mrefu wa usimamizi na kampuni ya Panamusiq Ltd.

C9

Panamusiq wameandika kwenye taarifa kwa vyombo vya habari:

“Panamusiq is pleased to announce the signing of Tanzanian top producer C9 who has entered a long term management contract with the Dar based music company.”

Producer huyo ameungana na wasanii ambao tayari walikuwa wameingia kwenye usimamizi wa kampuni hiyo akiwemo Feza Kessy na Linah.

Ben Pol naye aliwahi kusaini na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani