Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tibaijuka, Mwijage wajinadi kwa sufuria za wali Muleba

WABUNGE wawili wa Muleba Kusini na Kaskazini, Profesa Anna Tibaijuka na Charles Mwijage, wote wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wameibuka na mbinu mpya ya kupata wananchi kwa kupika na kugawa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Mdee amfuata Tibaijuka Muleba

MIEZI michache baada ya mbunge wa Kawe, Halima Mdee (CHADEMA), kumlipua bungeni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Tibaijuka, akidai anamiliki maelfu ya ekari za ardhi...

 

10 years ago

TheCitizen

I’m here to serve you, Tibaijuka apprises Muleba town residents

Only a day after President Jakaya Kikwete sacked Prof Anna Tibaijuka, the latter told her Muleba South voters that they didn’t elect her a minister, but their efficient representative in parliament.

 

10 years ago

Mwananchi

Waziri Mwijage atema cheche kwa watendaji

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage ametema cheche bungeni kwa kuwataka watendaji wote wa Wakala wa Umeme Vijijini (Rea), kuwataarifu wabunge wa maeneo yao kuhusu utekelezaji wa miradi ya umeme.

 

10 years ago

Habarileo

Simbachawene, Mwijage wasema watasambaza umeme kwa kasi

WAZIRI wa Nishati na Madini, George Simbachawene na Naibu wake, Charles Mwijage waliripoti katika ofisi zao mpya jana na kuahidi kuwatumikia wananchi kwa uadilifu na kuhakikisha wanasambaza umeme vijijini kwa kasi.

 

11 years ago

Habarileo

Mtoto afa kwenye sufuria ya chai

MTOTO mwenye umri wa mwaka mmoja, wilayani Bunda katika Mkoa wa Mara, amekufa baada ya kutumbukia kwenye sufuria ya chai iliyokuwa jikoni.

 

9 years ago

GPL

OYA MWANA... MCHANA KUKU KAPEWA MCHELE... JIONI KACHINJWA, KALIWA NA WALI!

Inakuwaje washkaji zangu wa kitambo tuliohaso zama zile hadi tudei? Kipande hii saa Godi yupo kwa saidi yetu na mtu fedenge mambo ni mwendo mdundo. Hapa ni bandika bandua mazee. Kama nilivyopasuka lasti wiki hapa kwa fasi ya jamvini kwamba cha mbolea kwa sasa ni kuwasanua wana watulize mizuksi hadi kitu cha uchaguzi kipite kozi wanangu tukaye tukinyaka kuwa baada ya Oktoba 25, laifu masti limuvu arifu. Ni masti kila kichwa kiwe...

 

9 years ago

Vijimambo

KUTEMBELEA MAKANISA NA SEHEMU ZA IMANI ZA KIJADI — WAACHENI WAJINADI

Kwenye siasa, hasa wakati wa uchaguzi, hilo, la kushawishi kura haliepukiki, yaani kupita kwenye mahekalu na kushawishi kupigiwa kura, labda tuseme, wagombea wapite kwenye madhehebu yote, ambacho nahisi ndicho kitakachofanyika.

Niwape mfano- mimi, Leila, ningekuwa nagombea ubunge Tanga iwe mjini; Korogwe; vijijini; jambo la kwanza, hata kabla sijachukua fomu za mgombea na kujaza, ningekwenda kuwaona wazee wa Tanga.

Wazee wa Tanga wapo Waislamu, tena wa usharika wa Sunni; Shia; Bohora; Ansari...

 

10 years ago

Michuzi

MWIJAGE AIUNGA MKONO TIMU YA RAS KAGERA FOOTBALL CLUB KWA KUICHANGIA MILIONI MOJA ILI ISHIRIKI LIGI DARAJA LA PILI NGAZI YA KANDA


Na Faustine Ruta,Bukoba
Katika kutengeneza ajira kwa vijana na kuuendeleza mkoa wa Kagera kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo kutoka sehemu mbalimbali na ndani ya mkoa, Katibu Tawala wa Mkoa Bw. Nassor Mnabila aliamua kuanzisha timu ya mpira ya mkoa wa Kagera. 
Madhumuni ya kuanzisha timu hiyo ni kuuleta mkoa wa Kagera pamoja, kutoa ajira kwa vijana wenye vipaji vya michezo aidha kuutangaza mkoa nje na ndani ya nchi kuhusu fursa za uwekezaji zinazopatikana ndani ya mkoa wetu wa Kagera. 

 

10 years ago

Michuzi

WATIA NIA WA UBUNGE JIMBO LA MOSHI MJINI KUPITIA CCM WAJINADI MBELE YA WAJUMBE KATA YA MAWENZI

Mtia nia wa nafasi ya Ubunge katika jimbo la Moshi mjini Priscus Tarimo akijinadi mbele ya wajumbe wa CCM kata ya Mawenzi.
Mtia nia wa nafasi ya Ubunge katika jimbo la Moshi mjini,Edmund Rutaraka akiomba kura mbele ya wajumbe wa CCM kata ya Mawenzi.
Mtia nia wa nafasi ya Ubunge katika jimbo la Moshi mjini,Davis Mosha aijinadi mbele ya wajumbe wa CCM kata ya Mawenzi.Baadhi ya wajumbe wa Chama cha Mapinduzi kata ya Mawenzi wakiwasikiliza wagombea.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani