Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TOCHI YA MOROGORO : Pongezi TFDA kufunga machinjio Morogoro

Panapotokea mtu akafanya kazi nzuri au jambo jema ni vyema akapongezwa kwa hilo, ikiwa kwa kupewa zawadi au kusifiwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

TOCHI YA MOROGORO : Vifo vya wakulima, wafugaji Moro vitakomeshwa lini?

Septemba 15 mwaka huu katika Kijiji cha Tindiga, Tarafa ya Masanze Wilaya ya Kilosa Mkoa wa Morogoro, mkulima mmoja aliyeuawa kwa kushambuliwa na watu wawili wanaosadikiwa kuwai wafugaji wa jamii Kimasai baada ya kulisha ng’ombe zao kwenye shamba lake.

 

10 years ago

Vijimambo

KIWANDA CHA TUMBAKU MOROGORO CHAFANYA SHERERE KUFUNGA NA KUFUNGUA MSIMU MPYA‏

Mkurugenzi Mkuu wa Makampuni ya Tumbaku ya Tanzania Tobacco Procesing Limited (TTPL) na Tanzania Leaf Tobacco Company (TLTC), David Crowhorst akikabidhi zawadi kwa wafanyakazi waliofanya kazi kwa muda mrefu ambao wamefanya kazi kwa zaidi ya miaka 15 mfululizo.Mkurugenzi Mkuu wa Makampuni ya Tumbaku ya Tanzania Tobacco Procesing Limited (TTPL) na Tanzania Leaf Tobacco Company (TLTC), David Crowhorst akitoa hotuba yake wakati wa sherehe za kumaliza msimu uliopita na kukaribisha msimu mwingine...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mkuu wa Mkoa Morogoro aongoza mamia kumzika Mke wa Mbunge a Jimbo la Morogoro Kusini

Mkuu wa mkoa akimpeleka Mbunge wa Jimbo la Morogoro Kusini Mh  Innocent Kalogeris  kupokea mwili wa mpendwa mke wake,kulia ni dada wa mbunge huyo.

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mh Dr Joel Bendera Leo amewaongoza mamia ya wananchi wa mkoa wa Morogoro kumzika Mke wa Mbunge wa Jimbo la Morogoro Kusini, Mh lnocenti Kalogeris watu mbali mbali wakiwemo wabunge,wakuu wa mikoa wa staafu na watu mashuhuri wamefurika nyumbani kwa mbunge huyo ambaye pia ni mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa...

 

10 years ago

Michuzi

MBUNGE WA MOROGORO MJINI,ABOOD ATOA MILION 11 KUTATUA KERO YA MAJI MKUNDI MOROGORO

 Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood Akizindua Tawi la CCM la Wajasiriamali Bodaboda na Mama lishe lililopo Mgulu wa Ndege Kata Ya Mkundi Manispaa ya Morogoro.Mara Baada ya Kuzindua Tawi Hilo Mh Abood Aliongea na Wanachama wa Tawi Hilo Kisha Kuwaelekeza Kujiunga Kwenye Vikundi vya Wajasiriamali Yeye Atakuwa Tayari kuwawezesha Mitaji ya Kufanya Shuguli za Kujiletea Maendeleo.
 Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood Akiwa Meza Kuu Sambamba na Katibu wa CCM Kata Ya...

 

11 years ago

Michuzi

MKUU WA MKOA MOROGORO AONGOZA MAMIA KUMZIKA MKE WA MBUNGE WA JIMBO LA MOROGORO KUSINI

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mh Dr Joel Bendera Leo amewaongoza mamia ya wananchi wa mkoa wa Morogoro kumzika Mke wa Mbunge wa Jimbo la Morogoro Kusini, Mh lnocenti Kalogeris. Watu mbali mbali wakiwemo wabunge,wakuu wa mikoa wastaafu na watu mashuhuri wamefurika nyumbani kwa mbunge huyo ambaye pia ni mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Morogoro  Mkuu wa mkoa akimpeleka Mbunge wa Jimbo la Morogoro Kusini Mh  Innocent Kalogeris  kupokea mwili wa mpendwa mke wake,kulia ni dada wa mbunge huyo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mbunge wa Morogoro mjini Mh Abood atoa milion 11 kutatua kero ya maji Mkundi Morogoro

20141231_144819

 Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood Akizindua Tawi la CCM la Wajasiriamali Bodaboda na Mama lishe lililopo Mgulu wa Ndege Kata Ya Mkundi Manispaa ya Morogoro.Mara Baada ya Kuzindua Tawi Hilo Mh Abood Aliongea na Wanachama wa Tawi Hilo Kisha Kuwaelekeza Kujiunga Kwenye Vikundi vya Wajasiriamali Yeye Atakuwa Tayari kuwawezesha Mitaji ya Kufanya Shuguli za Kujiletea Maendeleo.  Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood Akiwa Meza Kuu Sambamba na Katibu wa CCM Kata Ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mbunge wa jimbo la Morogoro kusini atekeleza ahadi yake ya kuiwezesha CCM wilaya ya Morogoro vijijini

IMG_0168

Mbunge wa Jimbo la Morogoro kusini Mh Innocent Kalogeris (kulia) akikabidhi Pikipiki 11 Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Morogoro Vijijini Mh Jazar ikiwa ni ahadi yake aliyoitoa ya kusaidia chama cha Mapinduzi kujitegemea kiuchumi. Mh Kalogeris amekabidhi pikipiki hizo akiwa na lengo kila kata kuwa na Pikipiki moja uwe mradi wa Chama ili kuwezesha Kila kata Kuendesha Shuguli za Chama Bila kuwa wategemezi .Mbunge Kalogeris amehadi kuhakikisha kata zote za jimbo hilo zinapatiwa Pikipiki.Mh...

 

10 years ago

GPL

KIWANDA CHA TUMBAKU MOROGORO CHAFANYA SHERERE KUFUNGA NA KUFUNGUA MSIMU MPYA‏

Mkurugenzi Mkuu wa Makampuni ya Tumbaku ya Tanzania Tobacco Procesing Limited (TTPL) na Tanzania Leaf Tobacco Company (TLTC), David Crowhorst akikabidhi zawadi kwa wafanyakazi waliofanya kazi kwa muda mrefu ambao wamefanya kazi kwa zaidi ya miaka 15 mfululizo. Mkurugenzi Mkuu wa Makampuni ya Tumbaku ya Tanzania Tobacco Procesing Limited (TTPL) na Tanzania Leaf Tobacco Company (TLTC), David Crowhorst akitoa hotuba yake wakati wa...

 

10 years ago

Vijimambo

KAIMU MKUU WA MKOA WA MOROGORO AFUNGUA RASMI BARAZA YA WAFANYAKAZI WA MAMLAKA YA HALI YA HEWA NCHINI MKOANI MOROGORO

Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Festo Kiswaga (Mkuu wa Wilaya ya Mvomero) akiongea na wafanyakazi wa Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA) katika ufunguzi wa Baraza la wafanyakazi wa TMA linalofanyika mkoani Morogoro katika hoteli ya Oasis tarehe 31 Machi hadi 01 Aprili 2015.Mkurugenzi Mkuu TMA Dkt Agnes Kijazi akimkaribisha mgeni rasmi ili kufungua Baraza la wafanyakazi wa TMA linalofanyika mkoani Morogoro katika hoteli ya Oasis tarehe 31 Machi hadi 01 Aprili 2015.Wajumbe wa Baraza la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani