Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tope la sumu lakaribia ufukweni Brazil

Tope la taka ya sumu linalosafirishwa na mto Rio Doce nchini Brazil linatarajiwa kuwasili kwenye ufukwe wa bahari ya Atlantic saa chache zinazokuja.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

ZUNGU AKAGUA BWAWA LA KUHIFADHI TOPE SUMU (TFS) MGODI WA BARRRICK NORTH MARA


Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Mussa Azzan Zungu hii leo amekagua bwawa la kuhifadhia tope sumu katika Mgodi wa Dhahabu wa Barrick North Mara.
Waziri Zungu ameambatana na Waziri wa Madini Mhe. Dotto Biteko, Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Angela Mabula, Mwenyekiti wa Bodi ya NEMC Prof. Esinati Chaggu pamoja na watendaji wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC). Wakati wa ukaguzi huo Waziri Zungu amewashauri...

 

5 years ago

Michuzi

BODI YA MAJI BONDE LA KATI YATOA MAAGIZO MAZITO KWA WAMILIKI WA MABWAWA TOPE SUMU


Afisa wa Maji Bonde la Kati, William Mabula, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) mara baada ya kukagua athari za mafuriko kufuatia kujaa kwa maziwa ya Kindai, Munang na Singidani mkoani hapa jana.
Afisa Maendeleo ya Jamii Mwandamizi, Bodi ya Maji Bonde la Kati, Nelea Bundala, akionesha athari za mafuriko hayo.
Muonekano wa Ofisi ya Bodi ya Maji Bonde la Kati mkoani Singida.





Na Waandishi Wetu, Singida

KUFUATIA mvua kubwa za masika zinazoendelea kunyesha Bodi ya Maji Bonde la...

 

5 years ago

Michuzi

Waziri Zungu akagua bwawa la kuhifadhi tope sumu (TFS) Mgodi wa Barrick North Mara


 WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mussa Azzan Zungu hii leo amekagua bwawa la kuhifadhia tope sumu katika Mgodi wa Dhahabu wa Barrick North Mara.

Waziri Zungu ameambatana na Waziri wa Madini Mhe. Dotto Biteko, Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angela Mabula, Mwenyekiti wa Bodi ya NEMC Prof. Esinati Chaggu pamoja na watendaji wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC). Wakati wa ukaguzi huo Waziri Zungu amewashauri watendaji...

 

10 years ago

BBCSwahili

Gereza la Guantanamo lakaribia kufungwa

Ikulu ya White House imesema kuwa mipango ya kulifunga gereza la Guantanamo Bay nchini Cuba imefikia awamu za mwisho.

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram lakaribia mji wa Mabu

Ripoti kutoka nchini Nigeria zinasema kuwa watu wanaokisia kuwa wanamgambo wa Boko Haram wanakaribia mji wa Mabu nchini Nigeria

 

9 years ago

Mwananchi

Maajabu ya tope la bahari katika tiba

Ilikuwa saa 4:45 asubuhi, mjini Haapsalu, Estonia, barani Ulaya. Makundi ya watu hasa wazee yalionekana yakimiminika kueleka katika jumba moja kubwa lenye vyumba vingi, bustani ya maua, bwawa la kuogelea na ukumbi wa mazoezi.

 

10 years ago

Habarileo

Mradi wa maji wadaiwa kutoa tope

Naibu Waziri wa Maji, Amos MakallaMWENYEKITI wa CCM mkoani Arusha, Onesmo ole Nangoro amedai Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla alidanganywa na kuzindua mradi wa maji unaotoa tope mjini Longido, licha ya Serikali kutumia mamilioni ya Shilingi katika mradi huo.

 

10 years ago

Mwananchi

Utafiti:Ziwa Nyasa linajaa mchanga na tope (2)

Katika toleo lililopita tuliona namna Ziwa Nyasa linavyoathirika kiasi cha kusababisha wavuvi kukosa samaki.

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Maromboso aogeshwa ndoo ya tope kwenye birthday yake!

Ukisherehekea siku yako ya kuzaliwa siku hizi inabidi ujiandae kuoga bila kupenda. Bahati mbaya hutaishia kuoga maji tu, bali utaogeshwa na kila aina ya kimininika hususan pombe – wanaziita ndoo! Lakini muimbaji wa kundi la Yamoto Band, Maromboso ambaye jana alisherehekea siku yake ya kuzaliwa alimwagiwa ndoo ya tope! “aaaaah!!!!..imenifanya kama”John Rambo” ..ikipita yangu ya […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani