Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tottenham yathibitisha uhamisho wa Victor Wanyama kuenda Montreal Impact

Tottenham Hotspur amemruhusu kiungo wake wa kati Victor Wanyama kujiunga na Montreal Impact baada ya kufikia mkataba klabu hiyo ya MLS.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Victor Wanyama na Divock Origi: Shauku kubwa kwa Wakenya Liverpool na Tottenham kufuzu fainali ya Champions League

Nyota wawili wa Kenya wanazichezea timu zitakazokutana katika fainali ya ligi ya mabingwa Ulaya Juni mosi.

 

10 years ago

Mwananchi

Drogba asaini Montreal Impact

Mchezaji wa zamani wa Chelsea, Didier Drogba amekamilisha usajili wake kwenye klabu ya Ligi Kuu ya Marekani (MLS), Montreal Impact ya Canada.

 

5 years ago

BBC

Kenya's Wanyama joins MLS side Montreal

Major League Soccer side Montreal Impact sign Kenya midfielder Victor Wanyama on a free transfer from Tottenham Hotspur.

 

10 years ago

Vijimambo

DIDIER DROGBA AJIUNGA NA KLABU YA MONTREAL IMPACT YA CANADA

doBaada ya kumaliza mkataba wake na Chelsea, mshambuliaji wa Ivory Coast, Didier Drogba amesaini mkataba wa miezi 18 wenye thamani ya dola milioni tatu kwa mwaka na klabu ya Montreal Impact inayoshiriki ligi kuu ya Marekani na Canada, Major League Soccer.Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 37 aliondoka Stamford Bridge baada ya kuichezea timu hiyo mechi 381 na kushinda makombe manne ya Premier League.Rais wa klabu hiyo yenye makazi yake nchini Canada, Joey Saputo alisema kumchukua mshambuliaji...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Victor Wanyama anaelezea jinsi Corona ilivyoathiri mipango

Janga la virusi vya Covid-19, limesababisha athari nyingi mkiwemo mipango ya soka ya wachezaji wa soka la kulipwa Ulaya. Victor Wanyama kutoka Kenya anaelezea jinsi alivyoathiwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola :KQ itaendelea kuenda A.Magharibi

Kenya Airways inasisitiza itaendelea na safari kuelekea maeneo yenye Ebola licha ya shinikizo la wadau nchini Kenya.

 

9 years ago

BBC

Chelsea in Drogba talks with Montreal

Montreal Impact striker Didier Drogba has expressed a "desire to help" former club Chelsea, say the Canadian MLS team.

 

10 years ago

BBC

Drogba joins MLS side Montreal

Ivorian striker Didier Drogba signs for Major League Soccer side Montreal Impact after leaving Chelsea this summer.

 

5 years ago

BBCSwahili

Kifo cha George Floyd : Jenerali Mark Milley aomba msamaha kwa 'kuenda' kanisani na Trump

Jenerali G Mark Milley alikuwa miongoni mwa viongozi walioenda na rais kanisani baada waandamanaji kutawanywa ili apate nafasi ya kupiga picha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani