Ebola :KQ itaendelea kuenda A.Magharibi
Kenya Airways inasisitiza itaendelea na safari kuelekea maeneo yenye Ebola licha ya shinikizo la wadau nchini Kenya.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili04 Jul
Ebola kutokomezwa Afrika magharibi
Nchi za Afrika magharibi zimekubaliana kuweka mikakati ya pamoja kupambana na ugonjwa wa Ebola
11 years ago
BBCSwahili12 Aug
Ebola yatikisa Afrika Magharibi
Homa ya Ebola wakati huu inasemekana kuwa kali zaidi kuliko wakati mwingine wowote
10 years ago
BBCSwahili30 Sep
Ebola:Watoto wanavyotengwa A.Magharibi
UN inakadiria watoto 5000 nchini Liberia, Guinea na Sierra Leone, wamepoteza mzazi mmoja au wawili kutokana na ugonjwa wa Ebola.
10 years ago
BBCSwahili22 Oct
Watafiti na dawa ya Ebola: A.Magharibi
Shirika la afya ulimwenguni WHO limesema kuwawataalam wanaendelea kufanya utafiti wa kupata dawa ya Ebola.
10 years ago
BBCSwahili03 Sep
Ebola yapungua Afrika Magharibi:MSF
Mkuu wa shirika la madawa la kimataifa la madaktari wasio na mipaka MSF, Joanne Liu amesema mlipuko wa Ebola umepungua.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jIhV2tSCZFWMtE*GrREoADoByhLynakyEyz7iecoXDsKUMcaHD4qpPp5NRHhr4TjYqkpepy*0nNsh-mfIJue*sSbV0L-K5BV/ebola.jpg?width=650)
EBOLA BADO TISHIO AFRIKA MAGHARIBI
TAARIFA iliyotolewa hivi karibuni na Shirika la Afya Duniani (WHO), inaonyesha jinsi gonjwa hatari la Ebola linavyozidi kuangamiza wananchi katika eneo hilo. Agosti 22 mwaka huu, WHO walitoa taarifa kuwa, jumla ya wagonjwa walioripotiwa kuwa na Ebola ni 2,615 kwenye nchi nne za Afrika Magharibi ambapo kati yao 1,427 wamepoteza maisha kwa ugonjwa huo. Nchini Liberia ambapo ugonjwa huo ulianzia, wagonjwa 1,082 wameripotiwa kuwa...
10 years ago
BBCSwahili20 Nov
Ebola yapoteza ajira,Afrika Magharibi
Zaidi ya nusu ya raia wa Liberia waliokuwa na ajira mara baada ya mlipuko wa ugonjwa hatari wa Ebola hawana ajira tena kwa sasa.
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Ebola yaendelea kuitesa Afrika Magharibi
Wakati ugonjwa wa ebola ulipovamia Kijiji cha Pujeh kilichopo nchini Sierra Leona, wanakijiji kama kawaida yao unapotokea ugonjwa wowote hukimbilia kwa mganga wa kienyeji: walikimbilia kwa mganga kutaka kujua tatizo, lakini hakuna aliyepona.
10 years ago
BBCSwahili28 Aug
Ebola:Hofu yaendelea kutanda A.Magharibi
Kuna hofu kwamba mlipuko wa ugonjwa wa Ebola, katika kanda ya Afrika Magharibi, utaendelea kuwa mbaya sana hadi kanda hiyo itakapopata nafuu
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania