Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TP Mazembe yaimwagia siri Stars

Mois_Katumba_TP_Mazembe_Esaja_Yes_AfricanNA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

MMILIKI wa klabu ya TP Mazembe, Moise Katumbi, ameipa siri ya ushindi timu ya soka ya Tanzania ‘Taifa Stars’, itakayosaidia kuwaua vinara wa soka barani Afrika, Algeria, ili kukata tiketi ya kusonga mbele kwenye michuano ya kuwania kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2018 nchini Urusi.

Jumamosi iliyopita TP Mazembe ilikutana na timu ya USM Alger ya Algeria katika mchezo wa awali wa fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika na kuichapa mabao 2-1 ugenini na kujitengenezea...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

TP Mazembe aces to beef up Stars attack

Taifa Stars head coach Mart Nooij must be elated following the news that the striking duo of Thomas Ulimwengu and Mbwana Samatta will join the team today.

 

10 years ago

TheCitizen

Stars coach leaves out TP Mazembe strikers

Two key players have been left out of coach Mart Nooij’s provisional squad for this year’s Cosafa Cup kicking off on May 17 in South Africa.

 

10 years ago

TheCitizen

SOCCER : Mazembe duo to miss Stars duels

Taifa Stars head coach Charles Boniface Mkwasa has been forced not to recall foreign-based players for this month’s international friendly matches against Libya and Kuwait in Turkey, it has been revealed.

 

10 years ago

Vijimambo

JOHN BOCCO AFICHUA SIRI YA TAIFA STARS KUBORONGA, ASEMA; "TUSIKUBALI KUPELEKWA"


"Nikiwa kama mchezaji waki TANZANIA ninaecheza ligi ya hapa nyumbani na nikiwa mmoja wa wachezaji katika Timu ya Taifa ya kizazi hiki cha sasa wa Mudamrefu. Naandika hivi nikiwa na huzuni na masikitiko makubwa juu ya mpira wetu wa TANZANIA kwa ujumla kuanzia club zetu, ligi yetu na mpaka kwenye Timu ya TAIFA 'TAIFA STARS'.Sijaandika ivi kwania ya kufundisha wala kukosoa MSHABIKI, KIONGOZI WA MPIRA, VILABU VYA TANZANIA, SHIRIKISHO LA MPIRA WA TANZANIA na wala TIMU YETU YA TAIFA YA MPIRA WA...

 

10 years ago

Dewji Blog

SSB yaimwagia TASWA mil 10/-

Dande (1)

Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo (TASWA), Juma Pinto (kulia) akipokea mfano wa hundi ya Tshs. 10,000,000 kutoka kwa Meneja Mkuu wa kundi la Kampuni ya Said Salim Bakheresa (SSB), Bw. Mohamed Said Abeid kwa ajili ya sherehe za tuzo za mwanamicgezo bora. Wa tatu kulia ni Amir Mhando na Makamu Mwenyekiti Egbert Mkoko. Hafla hiyo ilifanyika jana jijini Dar.(Picha na Habari Mseto Blog),

Na. Mwandishi wetu

KAMPUNI ya Said Salim Bakheresa (SSB), imetoa sh. milioni 10 kwa...

 

10 years ago

Mtanzania

Marekani yaimwagia sifa Zanzibar

sarah-sewallNA IS-HAKA OMAR, ZANZIBAR

NAIBU Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Marekani anayeshughulikia masuala ya usalama wa raia, demokrasia na haki za binadamu, Sarah Sewall, amesifu juhudi zinazochukuliwa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) katika kupunguza tatizo la ajira nchini. Akizungumza wakati wa ziara yake ya kutembelea kituo cha kuwawezesha wajasiriamali kilichopo eneo la Chuo cha Sayansi na Teknolojia cha Karume, Kisiwani Zanzibar jana, Sewall alisema SMZ inastahili pongezi katika hilo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Azam yaimwagia fedha timu ya Madola

KAMPUNI ya Azam jana ilitoa kiasi cha dola 93,000 za Marekani kwa timu ya taifa inayokwenda Glasgow, Scotland kushiriki mashindano ya Jumuiya ya Madola. Fedha hizo zilizokabidhiwa jana kwa Naibu...

 

10 years ago

Dewji Blog

IPTL yaimwagia TASWA milioni 20 kuandaa tuzo za wanamichezo

FKB_3692

Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya Kufua Umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), Harbinder Sigh Seth (kushoto) akikabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi Milioni 20 kwa Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), Juma Pinto (wapili kulia) ikiwa ni mchango wa IPTL kusaidia maandalizi ya Tuzo za wanamichezo bora nchini. Wanaoshuhudia kutoka kushoto ni ni Makamu Mweyekiti wa TASWA, Egbert Mkoko, Katibu Mkuu, Amir Mhando na Mwanasheria na...

 

11 years ago

GPL

KAMATI YA BUNGE YA UCHUMI, VIWANDA NA BIASHARA YAIMWAGIA SIFA PPF ‏

 Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Mh William Erio (wa kwanza Kushoto) akiongea na wabunge wa Kamati ya Uchumi, Viwanda na Biashara wakati wabunge hao walipotembelea Banda la PPF katika Maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar Es Salaam yanayoendelea Kufanyika katika Viwanja Vya Sabasaba Jijini Dar Es Salaam.Katikati ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mh Luhoga J Mpina.
 Wabunge wa Kamati ya Uchumi,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani