Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekani yaimwagia sifa Zanzibar

sarah-sewallNA IS-HAKA OMAR, ZANZIBAR

NAIBU Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Marekani anayeshughulikia masuala ya usalama wa raia, demokrasia na haki za binadamu, Sarah Sewall, amesifu juhudi zinazochukuliwa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) katika kupunguza tatizo la ajira nchini. Akizungumza wakati wa ziara yake ya kutembelea kituo cha kuwawezesha wajasiriamali kilichopo eneo la Chuo cha Sayansi na Teknolojia cha Karume, Kisiwani Zanzibar jana, Sewall alisema SMZ inastahili pongezi katika hilo...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KAMATI YA BUNGE YA UCHUMI, VIWANDA NA BIASHARA YAIMWAGIA SIFA PPF ‏

 Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Mh William Erio (wa kwanza Kushoto) akiongea na wabunge wa Kamati ya Uchumi, Viwanda na Biashara wakati wabunge hao walipotembelea Banda la PPF katika Maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar Es Salaam yanayoendelea Kufanyika katika Viwanja Vya Sabasaba Jijini Dar Es Salaam.Katikati ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mh Luhoga J Mpina.
 Wabunge wa Kamati ya Uchumi,...

 

9 years ago

Dewji Blog

Marekani yamwagia sifa Rais Kikwete kwa kuheshimu Katiba na kukabidhi madaraka

Jakaya-Kikwete1

Viongozi wa Marekani wamemwagia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete (pichani) sifa kubwa za ujenzi na ulezi wa demokrasia, heshima kwa haki za binadamu na zaidi ya yote uheshimu wa Katiba ambao unamwezesha kuondoka madarakani kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania na kukabidhi madaraka kwa Rais ajaye kwa hiari na kwa amani.

Rais Kikwete amemwagiwa sifa hizo, Jumanne, Septemba 22, 2015 katika mikutano yake mbali mbali na viongozi wa Serikali ya Marekani na wa...

 

9 years ago

Mwananchi

ZEC imepoteza sifa kusimamia uchaguzi Zanzibar-ADC

Mwenyekiti wa chama cha ADC, Said Miraaj Abdulla amesema Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) haiwezi kusimamia tena uchaguzi wa Zanzibar baada ya siku 90 kwa sababu ina mapungufu mengi kama yaliyobainishwa na mwenyekiti wake, Jecha Salim Jecha wakati akitangaza kufuta matokeo ya uchaguzi huo.

 

11 years ago

Michuzi

benki ya watu wa zanzibar yadhamini Zanzibar heroes marekani

Katika kilele cha kusherehekea Miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Timu ya  Zanzibar Heroes kupokea Jezi kutoa kwa wadhaminini wa Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) ambazo jezi hizo zilitolewa na wageni rasmi waliohudhuria katika sherehe hizo akiwemo Mh. Mwigulu Nchemba  ambae ni Mbunge na naibu waziri wa fedha na Uchumi Tanzania bara na upande wa Zanzibar pamoja na Mhe. Dr. Mwinyihaji Makame mwakilishi na waziri wa nchi ofisi ya rais ambaye pia ni Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi...

 

10 years ago

Vijimambo

BALOZI LIBERATA MULAMULA AIPONGEZA NA KUIMWAGIA SIFA ZANZIBAR HEROES KWA KUTWAA

Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico amewapongeza wachezaji na viongozi wa Zanzibar Heroes kwa kunyakua kombe la Muungano kwa mechi iliyofanyika siku ya Jumamosi April 25, 2015 Capitol Heights, Maryland nchini Marekani.

Katika salamu za pongezi Mhe. Liberata Mulamula pia aliwashukuru Peoples Bank of Zanzibar kwa udhamini wao na kuwaomba kuendelea kuwa na moyo huo huo wa kuitambua Diaspora ni sehemu ya Tanzania na mchango mkubwa katika kusukuma gurudumu la maendeleo Tanzania.

Pia Mhe....

 

9 years ago

Dewji Blog

Pires amwagia sifa Wanyama, asema ana sifa zote za kucheza Arsenal

robert-pires_3068381k

Robert Pires.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Mchezaji wa zamani wa Arsenal, Robert Pires amemsifia mchezaji wa timu ya taifa ya Kenya na Southampton, Victor Wanyama na kuwa ana sifa za kucheza Arsenal kutokana na ubora alionao.

Pires aliulizwa na mwandishi wa habari wa Kenya kuhusu uwezo wa Wanyama na kusema kuwa amekuwa akimwangalia mchezaji huyo na anamwona kama mchezaji mwenye uwezo mzuri ambao kama akiongeza juhudi anaweza katika ubora wa wachezaji bora wa dunia.

“Namjua Wanyama, ni balozi...

 

10 years ago

Dewji Blog

SSB yaimwagia TASWA mil 10/-

Dande (1)

Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo (TASWA), Juma Pinto (kulia) akipokea mfano wa hundi ya Tshs. 10,000,000 kutoka kwa Meneja Mkuu wa kundi la Kampuni ya Said Salim Bakheresa (SSB), Bw. Mohamed Said Abeid kwa ajili ya sherehe za tuzo za mwanamicgezo bora. Wa tatu kulia ni Amir Mhando na Makamu Mwenyekiti Egbert Mkoko. Hafla hiyo ilifanyika jana jijini Dar.(Picha na Habari Mseto Blog),

Na. Mwandishi wetu

KAMPUNI ya Said Salim Bakheresa (SSB), imetoa sh. milioni 10 kwa...

 

9 years ago

Mtanzania

TP Mazembe yaimwagia siri Stars

Mois_Katumba_TP_Mazembe_Esaja_Yes_AfricanNA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

MMILIKI wa klabu ya TP Mazembe, Moise Katumbi, ameipa siri ya ushindi timu ya soka ya Tanzania ‘Taifa Stars’, itakayosaidia kuwaua vinara wa soka barani Afrika, Algeria, ili kukata tiketi ya kusonga mbele kwenye michuano ya kuwania kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2018 nchini Urusi.

Jumamosi iliyopita TP Mazembe ilikutana na timu ya USM Alger ya Algeria katika mchezo wa awali wa fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika na kuichapa mabao 2-1 ugenini na kujitengenezea...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Azam yaimwagia fedha timu ya Madola

KAMPUNI ya Azam jana ilitoa kiasi cha dola 93,000 za Marekani kwa timu ya taifa inayokwenda Glasgow, Scotland kushiriki mashindano ya Jumuiya ya Madola. Fedha hizo zilizokabidhiwa jana kwa Naibu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani