TPA YAKABIDHI MSAADA WA MADAWATI 110 KWA MKOA WA LINDI
![](http://api.ning.com:80/files/sNGui7dfNNbNXrJo1jHZnACj38vZ5eZzQlFHdAOQJd5EnbzZzpSLTtM5rYlEsZ573aScDw91iuiNTXBq2d1NBC4ZiSSjPKD5/PIC1.jpg?width=650)
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi Mahumbika wakifurahia jambo wakati wa hafla ya kukabidhi msaada wa madawati 110 yenye thamani ya shilingi milioni 20 kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), iliyofanyika hivi karibuni katika kijiji cha Mahumbika kilichopo Lindi vijijini. Baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi Mahumbika wakiimba wimbo wa Taifa wakati wa hafla ya kukabidhi msaada wa madawati 110 yenye...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog07 Apr
TPA yatoa msaada wa Madawati 110 shule ya msingi Mahumbika mkoani Lindi
![](http://1.bp.blogspot.com/-K4kqai4m20w/U0EbmuTTH6I/AAAAAAAASy0/PFzRdO8VvqM/s1600/PIC+8.jpg)
Mkuu wa Bandari ya Mtwara, Absalom Bohela (kushoto) akikabidhi msaada wa madawati 110 yenye thamani ya shilingi milioni 20 kwa Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mh. Ludovick Mwananzila (kulia) wakati wa hafla ya makabidhiano iliyofanyika hivi karibuni katika kijiji cha Mahumbika kilichopo Lindi vijijini.
Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mh. Ludovick Mwananzila (kulia) na Mkuu wa Bandari ya Mtwara, Absalom Bohela (kushoto) wakiwa na baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi Mahumbika wakati wa kukabidhi msaada wa...
10 years ago
MichuziBenki ya NBC yakabidhi msaada wa madawati kwa shule ya Msingi Maweni-Kigamboni,Jijini Dar
9 years ago
MichuziNMB YAKABIDHI MSAADA WA MADAWATI HAI
Na...
10 years ago
Dewji Blog10 Jul
NHIF yakabidhi msaada wa mashuka 200 kwa hospitali ya mkoa mjini Singida
Meneja wa NHIF mkoa wa Singida, Agnes Chaki (kushoto) akimkabidhi Mkuu wa wilaya ya Singida, Alli Amanzi msaada wa mashuka 200 kwa ajili ya hospital ya mkoa mjini hapa.(Picha na Nathaniel Limu).
Mkuu wa wilaya ya Singida,Alli Amanzi (kulia) akibadilishana mawazo na Meneja Mfuko wa taifa wa bima ya afya (NHIF) mkoa wa Singida, Agnes Chaki (katikati) muda mfupi kabla Meneja NHIF hajakabidhi mashuka 200 kwa hospitali ya mkoa mjini hapa.Kushoto ni Afisa uthibiti ubora wa huduma NHIF mkoani...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC00136.jpg?width=650)
NHIF YAKABIDHI MSAADA WA MASHUKA 200 KWA HOSPITALI YA MKOA MJINI SINGIDA
10 years ago
Dewji Blog11 Jan
TRA mkoa wa Singida, yatoa msaada wa madawati shule ya msingi Isanzu wilaya Mkalama
Meneja TRA mkoa wa Singida, Samson Jumbe (kushoto) akimkabidhi Mwalimu mkuu wa shule ya msingi Isanzu wilaya ya Mkalama, Sadick Mbiro Abdallah, msaada wa madawati 25 yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni mbili. Katikati mwenye miwani ni Afisa elimu kwa umma (TRA),Zakaria.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Mkalama
Meneja wa mamlaka ya mapato (TRA) Tanzania mkoani Singida, Samsoni Jumbe,amewahimiza viongozi/watendaji na watu wenye uwezo kiuchumi kujenga utamaduni wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9mxzB7OsylY/VakDz26LLrI/AAAAAAAHqQs/zlsmw_7oQCA/s72-c/unnamed%2B%252887%2529.jpg)
NMB YAKABIDHI MADAWATI KWA SHULE YA MSINGI KISEKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-9mxzB7OsylY/VakDz26LLrI/AAAAAAAHqQs/zlsmw_7oQCA/s640/unnamed%2B%252887%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vmg5UXSut6U/VakD0GbZZoI/AAAAAAAHqQw/jUb6RDi-Xrk/s640/unnamed%2B%252888%2529.jpg)
10 years ago
Mwananchi28 Feb
Mkoa wa Lindi (i): Majimbo ya Lindi Mjini na Ruangwa — 50 kwa 50
11 years ago
MichuziNHIF NA CHF LINDI ZATOA ELIMU KWA WANAHABARI NA WARATIBU WA MIFUKO HIYO MKOA WA LINDI