Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TPDC challenged to clarify StatOil deal

Public Accounts Committee (PAC) chairman Zitto Kabwe has asked Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) to issue a statement on the controversy surrounding the alleged leak of a co

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

TPDC yafafanua mkataba wa StatOil

SERIKALI inatarajia kupata mgawo wa asilimia 61 wa gesi asilia kutoka kwa mwekezaji Kampuni ya StatOil ya nchini Norway inayojishughulisha na utafutaji wa mafuta na gesi kitalu namba mbili kilichopo...

 

11 years ago

Mwananchi

TPDC yatoa ufafanuzi mkataba wa Statoil

Shirika la Maendeleo ya Petroli (TPDC) limetoa ufafanuzi kuhusu mkataba wa uzalishaji wa gesi asilia baina ya serikali na kampuni ya mafuta ya Statoil, likieleza kuwa walioanzisha suala la kuwepo kwa ulaghai, hawakuielewa vizuri mikataba hiyo.

 

11 years ago

Zitto Kabwe, MB

MKATABA WA GESI WA STATOIL NA TANZANIA

MKATABA WA GESI WA STATOIL NA TANZANIA

Swali kwa TPDC: Kwanini Makubaliano ni tofauti na Mkataba Elekezi (Model PSA)?

Baada ya kuvuja kwa Mkataba wa kutafuta na kuzalisha Gesi Asilia (PSA) kati ya Serikali kupitia TPDC na Kampuni ya Norway ya StatOil na baada ya baadhi ya wachambuzi kuhoji kuhusu mkataba huo, Shirika la TPDC limetoa maelezo yake. Sio mara moja, sasa ni mara ya tatu. Kimsingi TPDC wanasema wachambuzi waliochambua nyongeza hiyo ya Mkataba hawana uelewa wa mambo haya na...

 

10 years ago

TheCitizen

Pressure mounts over Statoil agreement

>Pressure is mounting on the Norwegian oil company, Statoil,  over the alleged leaked details of  a contract between it and the government.

 

10 years ago

TheCitizen

Statoil top executive poached

>Former President and CEO of Norway’s state oil firm, Statoil, Mr  Helge Lund, has crossed over to competitor British global exploration and production giant, BG, in the same capacity.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Statoil yaendesha mafunzo ya ujasiriamali

MAFUNZO ya elimu ya ujasiriamali kwa washiriki wa shindano la Mashujaa wa kesho yaliyoratibiwa na kampuniya Statoil Tanzania kwa ajili ya kukuza ubunifu wa kibiashara kwa vijana wa Mtwara, yamemalizika....

 

11 years ago

Habarileo

Mkataba wa gesi Statoil, Serikali hadharani

SERIKALI imeondoa utata unaohusu mkataba wa gesi wa nyongeza baina yake na kampuni ya Norway ya Statoil, kwa kuanika wazi mgawanyo unaoonesha Tanzania itapata faida kubwa ya asilimia 61 wakati kampuni hiyo itapata asilimia 39.

 

10 years ago

TheCitizen

Could Statoil bring new hope to Mtwara's youth?

>After completing his primary education, Majaliwa Mbonde’s dream of continuing with his advanced levels disappeared into thin air.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani