TPDC YASHIRIKI MAONESHO YA NANENANE LINDI
Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI Mhe. Hawa Ghasia (MB) (kulia), akiweka sahihi alipotembelea banda la Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania katika Wiki ya Maonesho ya Wakulima (Nanenane) eneo la Ngongo, Mkoani Lindi.
Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI Mhe. Hawa Ghasia (MB) (kulia), akipokea zawadi kutoka Meneja wa Mawasiliano TPDC, Bi. Marie Msellemu (kushoto) alipotembelea banda la Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) katika Wiki ya Maonesho ya Wakulima (Nanenane).
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-42J_0TeU7nw/Vb2R_cnDOgI/AAAAAAABedc/Q6H6_Ru09Lo/s72-c/MAAFISA%2BGAZETI.jpg)
NSSF YASHIRIKI MAONESHO YA KITAIFA YA NANENANE LINDI
10 years ago
Dewji Blog05 Aug
Benki ya Maendeleo ya Kilimo yashiriki Nanenane Kitaifa mkoani Lindi
Mmoja wa wafanyakazi wa benki ya Maendeleo ya Wakulima, Geofrey Mtawa akizungumza na moja ya wadau waliotembelea banda lao katika maonyesho ya Nanenane.
Na Mwandishi wetu
Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania inashiriki maonesho ya kilimo ya Nanenane kitaifa kwa mara ya kwanza mkoani Lindi mwaka huu kwa lengo la kutambulisha huduma zake kwa wadau wake wakuu, wakulima.
Katika maonesho hayo yaliyofunguliwa rasmi jana jumanne na Waziri Mkuu Mh. Mizengo Kayanza Peter Pinda, benki hiyo inatoa...
11 years ago
Michuzi06 Aug
PSPF YASHIRIKI MAONYESHO YA WAKULIMA NANENANE MKOANI LINDI KWA MAFANIKIO
BALOZI WA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF, MRISHO MPOTO “MJOMBA” AKIFURAHIA JAMBO NA MENEJA MASOKO WA PSPF, RAHMA NGASSA WAKATI AKITOA BURUDANI KWENYE MAONYESHO YA WAKULIMA NANENANE MKOANI LINDI.
10 years ago
MichuziUHAMIAJI YATWAA USHINDI WA TATU MAONESHO YA NANENANE LINDI
11 years ago
MichuziWIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA YASHIRIKI KIKAMILIFU MAONESHO YA WAKULIMA NANE NANE KITAIFA MKOANI LINDI
Naibu Katibu mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Maria Bilia akipiga picha ya pamojanaViongozi mbalimbali waserikali katika maonyesho ya Nanenane 2014, Lindi.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Habarileo09 Aug
‘Wakulima fikeni maonesho ya Nanenane’
WAKULIMA wa Kanda ya Mashariki, wameshauriwa kufika kwenye maonesho ya wakulima Nanenane yaliyotarajiwa kumalizika jana katika Uwanja wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, ili kupata elimu ya kilimo.
10 years ago
BBCSwahili19 Sep
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-IVuAtjllsgk/VcDBHqStjnI/AAAAAAAHuBc/ExYhbR8-F1E/s72-c/1.jpg)
LAPF YANGARISHA MAONESHO YA NANENANE —DODOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-IVuAtjllsgk/VcDBHqStjnI/AAAAAAAHuBc/ExYhbR8-F1E/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-uq4RGzt2V60/VcDBHkiA7lI/AAAAAAAHuBY/adU191CremM/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hs__w89-ZJk/VcDBHhx9WVI/AAAAAAAHuBg/EGzc4MTAB4s/s640/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Q6QpRgYwfgU/VcDBIQfcLgI/AAAAAAAHuBs/1UHKq8sEV8E/s640/4.jpg)
LAPF ni mfuko bora wa pensheni Tanzania pia umeshiriki Maonesho haya ya Nanenane 2015.LAPF ipo banda la ofisi za Waziri Mkuu...
10 years ago
VijimamboSPIKA MAKINDA AZINDUA MAONESHO YA NANENANE MBEYAâ€
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10