Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TRA YAANZA NA DIAMOND PLATNUMZ

Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) imemtaka meneja wake kutoa nyaraka zinazoonyesha Mikataba ya Diamond ndani ya siku saba (7).
Inaelekea kuna jambo haliko sawa!

 

diamond (1)

The post TRA YAANZA NA DIAMOND PLATNUMZ appeared first on Vibe Magazine TZ Tanzania.

Vibe Magazine TZ

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Africanjam.Com

DIAMOND PLATNUMZ PROFILE


Nasibu Abdul Juma (born 2 October 1989), popularly known by his stage name Diamond Platnumz (or simply Diamond), is a Bongo Flava recording artist and singer from Tanzania. He is best known for his hit song "Number One". Diamond has won numerous awards at Channel O and the Prestigious HiPipo Music Awards. He performed at
the Big Brother Africa 7 eviction show in May 2012. Diamond is considered influential among his fans, and is said to be the most loved and decorated Tanzanian artist at the...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND PLATNUMZ KAZINI

MWANAMUZIKI Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' na vijana wake wakifanya maandalizi kwa ajili ya shoo yao ya kesho Januari 8, 2015 jijini Lagos, Nigeria kwenye hafla ya utoaji Tuzo za Mwanasoka Bora wa Afrika 2014.

 

11 years ago

CloudsFM

Diamond Platnumz aivamia Taarabu...

Star wa muziki wa Bongo Flava Diamond Platnumz ambae kwasasa anayo heshima kubwa kwenye Industry ya muziki, kutokana na muziki wake pamoja na kuingia kwenye tuzo za MTV MAMA na BET leo alikuwa kwenye kipindi cha LEO TENA cha Clouds Fm ameuongelea muziki wa Taarabu ambao pia anaweza kuuimba na alishawai kuomba na nafasi Jahazi Morden Taarab ya kuimba kabla hajawa
Diamond Platnumz....
Hii ni video clip inayomuonesha akiimba muziki wa taarabu....

 

10 years ago

Michuzi

Diamond Platnumz kushirikiana na Mziiki

 Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya,Naseeb Abdul a.k.a Diamond Platinumz akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kutangaza ushirikiano wake na kampuni inayoendesha programu ya Mziiki.Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Spice VAS Africa wanaoendesha programu hiyo ya Mziiki,Arun Nagar na kushoto ni Meneja wa Diamond Platinumz,Babu Talle.
Mkali wa Bongo Flava Tanzania Diamond Platnumz amepewa nafasi ya kushirikiana na Mziiki kama Brand Partner. Msanii huyu ambaye...

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

GPL

THIS IS DIAMOND PLATNUMZ! CHEKI ANAVYOWAKIMBIZA!

Msanii wa muziki wa Bongo Flava kutoka Tanzania Diamond Platnumz, amekuwa akiwakimbiza katika upigiwaji wa kura kuwania tuzo za Muziki wa Televisheni ya Watu Weusi Marekani (Black Entertainment Television-BET) katika kipengele cha Best International Act: Africa. Tuzo hizo zitatolewa jijini Los Angeles, Marekani Juni 29, 2014. Mpaka jioni hii, Mei 19, Diamond anaongoza kwa asilimia 75.79 akiwa amewaacha wengine nyuma...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani