TRA yakamata madumu 1,500 ya mafuta
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoani hapa imekamata madumu 1,599 ya mafuta ya kupikia yaliyokuwa yakisafirishwa kwa njia ya magendo kutoka Bagamoyo mkoani Pwani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo18 Mar
TRA yakamata bidhaa za magendo za mabilioni
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imekamata bidhaa za magendo zenye thamani ya Sh milioni 228.4, ikiwa ni katika jitihada za kudhibiti uingizaji wa bidhaa kwa njia ya magendo na biashara ya magendo nchini.
11 years ago
Tanzania Daima27 Mar
TRA yakamata tani 11 za ngozi ghafi
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imekamata tani 11 za ngozi ghafi mpakani katika Mkoa wa Arusha. Tani hizo za ngozi ghafi ni moja ya biashara ya magendo ambazo hufanywa na...
9 years ago
Mtanzania02 Dec
TRA yakamata makontena tisa Dar
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imefanikiwa kukamata makontena tisa, mali ya Kampuni ya Heritage Limited yakiwa katika eneo la maficho ya Mbezi Tangi bovu, Dar es Salaam kinyume cha sheria.
Akizungumza kuhusu ukamataji huo akiwa eneo la tukio jana, Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipa Kodi TRA, Richard Kayombo, alisema taarifa hizo walipewa na msamaria mwema.
“Taarifa za kukamata makontena hayo tulipewa na msamaria mwema aliyetuambia kwamba usafirishaji...
9 years ago
StarTV02 Dec
Wa Makontena TRA yakamata tisa Mbezi Tangibovu Dar
Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA inayashikilia makontena tisa yanayodaiwa kuingizwa na kutolewa bandarini kinyume cha sheria ya ulipaji kodi ikitoa saa ishirini na nne kwa wamiliki wa makontena hayo kujisalimisha.
Makontena hayo yamekatwa kwenye eneo la Mbezi Tangibovu jijini Dar es Salaam, eneo ambalo kwa mujibu wa TRA halina kibali kisheria kuhifadhi makontena kama bandari kavu.
Taarifa za wasamaria wema, zinawafikisha mamlaka ya mapato nchini TRA, mamlaka ya bandari, (TPA) na jeshi la...
11 years ago
IPPmedia04 May
500 containers scam: MPs reject TRA report
IPPmedia
IPPmedia
Industry and Trade Parliamentary Committee has rejected reports of the Tanzania Revenue Authority (TRA) saying it misses relevant information on administrative actions taken against its staff implicated in the consignment scandal in which 500 containers ...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8EMnpoABT4A/VCE_EWuYWcI/AAAAAAAGlRo/8ATazVO-8ig/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-09-23%2Bat%2B12.32.26%2BPM.png)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-J8nPCmTttsU/XrpavNnuVVI/AAAAAAALp3A/Tkm_GdJVX8snL2--OHwlxbDJYszmi0DegCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B3.jpg)
EWURA yapewa siku 10 kupitia bei za mafuta katika maghala ya kuhifadhi na kupokea mafuta.
![](https://1.bp.blogspot.com/-J8nPCmTttsU/XrpavNnuVVI/AAAAAAALp3A/Tkm_GdJVX8snL2--OHwlxbDJYszmi0DegCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B3.jpg)
Waziri wa Nishari, Dkt. Medard Kalemani (wa pili kulia)akipita kukagua mazingira ya ghala la kuhifadhi na kupokea mafuta la kampuni ya GBP, alipofanya ziara katika eneo hilo mkoani Tanga, Mei 10, 2020.
![](https://1.bp.blogspot.com/-KizeE0XqwiY/XrpavnCZSHI/AAAAAAALp3E/OlsgDnTG8EMM_llMxefz8sbypBsgsCgIACLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B4.jpg)
Shehena ya Mafuta ikiwa imepakiwa katika matangi tayari kwa kusafirishwa,hapa ni katika ghala la kuhifadhi na kupokea mafuta la kampuni ya GBP mkoani Tanga, Waziri wa Nishari, Dkt. Medard Kalemani, alifanya ziara katika eneo hilo, Mei 10,2020.
![](https://1.bp.blogspot.com/-rZ963RWU-wc/Xrpav5vjNDI/AAAAAAALp3I/cn3LiMHp6nEX5Ttle59mKCBn02Mo6fiGQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B5.jpg)
Baadhi ya mapipa makubwa ya kuhifadhia mafuta...
10 years ago
VijimamboMamlaka ya Udhibiti wa Nishati, Maji na Mafuta (Ewura), imepunguza bei za mafuta kote nchini
10 years ago
Tanzania Daima17 Oct
Mahakama yakamata mali ya GGM
Gari ya Kampuni ya Uchimbaji wa Dhahabu mkoani Geita (GGM) imekamatwa na wakala wa kukamata mali wa Mahakama Kuu jijini Mwanza huku moja ikikimbia baada ya kampuni hiyo kushindwa kulipa...