Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wa Makontena TRA yakamata tisa Mbezi Tangibovu Dar

Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA inayashikilia makontena tisa yanayodaiwa kuingizwa na kutolewa bandarini kinyume cha sheria ya ulipaji kodi ikitoa saa ishirini na nne kwa wamiliki wa makontena hayo kujisalimisha.

Makontena hayo yamekatwa kwenye eneo la Mbezi Tangibovu jijini Dar es Salaam, eneo ambalo kwa mujibu wa TRA halina kibali kisheria kuhifadhi makontena kama bandari kavu.

Taarifa za wasamaria wema, zinawafikisha mamlaka ya mapato nchini TRA, mamlaka ya bandari, (TPA) na jeshi la...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

TRA yakamata makontena tisa Dar

Pg 1 mbiliNA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imefanikiwa kukamata makontena tisa, mali ya Kampuni ya Heritage Limited yakiwa katika eneo la maficho ya Mbezi Tangi bovu, Dar es Salaam kinyume cha sheria.

Akizungumza kuhusu ukamataji huo akiwa eneo la tukio jana, Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipa Kodi TRA, Richard Kayombo, alisema taarifa hizo walipewa na msamaria mwema.

“Taarifa za kukamata makontena hayo tulipewa na msamaria mwema aliyetuambia kwamba usafirishaji...

 

9 years ago

Mwananchi

Makontena tisa yakamatwa Dar

Mamlaka ya Bandari Tanzania (PTA) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), wamekamata makontena tisa yanayodhaniwa kukwepa kulipa kodi.

 

9 years ago

Mwananchi

TPA yakomalia wamiliki wa makontena tisa Dar

Kaimu Meneja wa Bandari ya Dar es Salaam, Ben Usaje amesema kuwa watu waliosafirisha makontena tisa na kuyahifadhi sehemu isiyo rasmi wamekiuka taratibu.

 

10 years ago

Mtanzania

Polisi yavamia ofisi za CUF, yakamata viongozi tisa

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimelaani kitendo cha Jeshi la Polisi mkoani Mtwara kuvamia ofisi za chama hicho na kuwakamata wanachama tisa.

Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari Dar es Salaam jana na Naibu Mkurugenzi Habari na Uenezi wa CUF, Abdual Kambaya, ilisema Machi 12, mwaka huu kati ya saa saba mchana hadi saa 10 jioni, polisi walifika katika ofisi za chama hicho na kupekua bila kusema wanatafuta nini.
“Walipekua ofisi na baadaye walihamia katika...

 

9 years ago

Habarileo

TRA yagomea wamiliki wa makontena

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imewagomea kulipa kodi bila adhabu baadhi ya wamiliki wa makontena, ambayo yalitoroshwa kwenye bandari kavu bila kulipiwa kodi. Badala yake, TRA imewapelekea hati ya malipo inayowataka wafanyabiashara hao, kuhakikisha wanalipa kodi hiyo na adhabu ndani ya siku saba, la sivyo watafikishwa mahakamani kujibu tuhuma hizo.

 

9 years ago

Habarileo

Makontena yanaswa sakata TRA

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imekamata makontena tisa, yaliyotoroshwa kutoka katika bandari kavu na kuhamishiwa katika eneo la Mbezi Tangi Bovu, Dar es Salaam, hivyo kuwepo na kiashiria cha ukwepaji wa kodi.

 

9 years ago

Mwananchi

TRA yakamata madumu 1,500 ya mafuta

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoani hapa imekamata madumu 1,599 ya mafuta ya kupikia yaliyokuwa yakisafirishwa kwa njia ya magendo kutoka Bagamoyo mkoani Pwani.

 

10 years ago

Habarileo

TRA yakamata bidhaa za magendo za mabilioni

Kamishna Mkuu wa TRA, Dk Rished BadeMAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imekamata bidhaa za magendo zenye thamani ya Sh milioni 228.4, ikiwa ni katika jitihada za kudhibiti uingizaji wa bidhaa kwa njia ya magendo na biashara ya magendo nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TRA yakamata tani 11 za ngozi ghafi

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imekamata tani 11 za ngozi ghafi mpakani katika Mkoa wa Arusha. Tani hizo za ngozi ghafi ni moja ya biashara ya magendo ambazo hufanywa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani