Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Trump aahirisha ziara yake ya Israel

Mgombea urais wa chama cha Republican Donald Trump amesema ameahirisha ziara yake aliyopangiwa kuifanya nchini Israel.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Jacob Zuma aahirisha ziara ya Indonesia

Rais Jacob Zuma ameahirisha ziara yake ya ughaibuni kutokana na hali ya ghasia za kibaguzi dhidi ya wageni katika taifa lake.

 

11 years ago

BBCSwahili

Bomu:Rais wa Nigeria aahirisha ziara

Rais wa Nigeria Goodluck Jonathan ameahirisha ziara yake nchini Equitorial Guniea kufuatia shambulizi la bomu

 

10 years ago

BBCSwahili

Kim Jong-Un aahirisha ziara ya Urusi

Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-Un afutilia mbali ziara yake ya Urusi, kwanini?

 

9 years ago

BBCSwahili

Janet Jackson aahirisha ziara ya kimuziki

Mwanamuziki nyota kutoka Marekani Janet Jackson ameahirisha ziara yake ya kimuziki ya Unbreakable ili kufanyiwa upasuaji.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kikwete aahirisha hotuba yake.

Rais wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete ameahirisha kulihutubia taifa la nchi hiyo kama ilivyokuwa imetarajiwa .

 

11 years ago

Michuzi

KINANA AMALIZA ZIARA YAKE MKOANI TABORA,ALA CHAKULA CHA MAMALISHE KUWAUNGA MKONO,AHITIMISHA ZIARA YAKE KWA MKUTANO MKUBWA WA HADHARA/

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia katika mkutano wa hadhara katika Uwanja wa Stendi Kuu ya Zamani mjini Tabora, baada ya kumaliza ziara yake ya siku 11 katika mkoa huo, ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua, kuhimiza na kusukuma miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata  Ilani ya CCM, kukagua maandalizi ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa pamoja na kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi Wakazi wa Mji wa Tabora Mjini  wakiwa wamejitokeza kwa wingi kwenye...

 

10 years ago

CloudsFM

RAY C AAHIRISHA KUSAMBAZA NGOMA YAKE MPYA KUPISHA MSIBA WA AISHA MADINDA

STAA wa Bongo Fleva,Rehema Chalamila’’Ray C’ ameahirisha kuisambaza ngoma yake kwenye vituo vya redio kupisha msiba wa rafiki yake wa siku nyingi marehemu Aisha Madinda,ngoma hiyo inaitwa Nishum Shum tayari ipo kwenye mitandao.

Kupitia Instagram Ray C aliandika hivi...Nenda Dada yangu nenda! Nakumbuka tulikutana Kanisani Tabata ukanishuhudia Kwamba umeweza kuacha madawa ya kulevya na miguu yako imepona Kabisa kwa imani na mola na kwa maombezi ya nabii Joseph, nilipokuona ulivyokuwa...

 

11 years ago

Bongo5

Tunda Man aahirisha kufunga ndoa hadi mwakani baada kuuguliwa na mama yake

Hit maker wa Msambinungwa, Tunda Man amesema alikuwa mbioni kufunga ndoa mwezi wa kumi mwaka huu lakini ameahirisha kutokana na matatizo ya kifamilia. Tunda Man ameiambia Bongo5 kuwa alikuwa afunge ndoa mwezi October lakini kutokana na kuuguliwa na mama yake, ameamua asitishe. “Nina mpango wa kuoa, nilikuwa nataka nifunge ndoa mwezi wa kumi lakini kwa […]

 

11 years ago

BBCSwahili

Israel kuendeleza mshambulizi yake Gaza

Israel imesema kuwa itaendeleza mashambulizi yake Gaza hadi pale kundi la wapiganaji wa Hamas litakapositisha kurusha makombora

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani