Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Trump ashutumiwa kwa kupanga kufurusha wahamiaji

Donald Trump ameshutumiwa vikali kwenye mdahalo wa wagombea wa chama cha Republican kutokana na mpango wake wa kuwafurusha wahamiaji 11 milioni kutoka Marekani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

George Floyd: Trump ashutumiwa kugawanya Wamarekani huku maafisa wanaouhishwa na kifo cha Floyd wakishtakiwa tena

Aliyekuwa Waziri wa Ulinzi wa Marekani James Mattis amemshutumu Rais Donald Trump, kwa kuleta mgawanyiko na kutumia vibaya mamlaka yake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Pacquiao ashutumiwa kwa udanganyifu

Bondia wa Ufilipino Manny Pacquiao ameshutumiwa kwa udanganyifu wa kuumia bega kabla ya pambano na Floyd Mayweather

 

10 years ago

GPL

YEMI ALADE ASHUTUMIWA KUJICHUBUA KWA MKOGORO

Mwanamuziki wa Nigeria, Yemi Alade. Lagos, Nigeria IMEKUWA mtindo kwa mastaa weusi kujichubua ngozi zao na kuzifanya nyeupe.  Mmoja wa wanamuziki wa Nigeria, Yemi Alade, amejikuta akisakamwa na shabiki mmoja kwa kutumia mkorogo. Yemi Alade. Alipotuma katika mtandao wa Twitter picha mbili za mwanamuziki huyo aliyevuma kwa wimbo wake wa ‘Johnny’ – picha moja ikimwonyesha alipoanza kujikita katika muziki...

 

9 years ago

BBCSwahili

Waziri mkuu wa Iraq aahidi kufurusha IS

Waziri mkuu wa Iraq Haider al-Abadi amesema wapiganaji wanaojiita Islamic State (IS) watafurushwa kutoka kwa maeneo yote nchini humo.

 

11 years ago

BBCSwahili

3 wakamatwa kwa kupanga mechi Uingereza

Watu 3 wanazuiliwa na polisi nchini Uingereza baada ya aliyekuwa mchezaji wa Portsmouth Sam Sodje kufichua kuwa alihusika katika kupanga mechi za ligi

 

9 years ago

Vijimambo

WATU WAMESHAANZA KUPANGA FOLENI TAYARI KWA KUTAKA KUPIGA KURA


Kituo cha Magomeni mapipa kata ya Suna wananchi wamisha anza kujipanga ili wapige kula kumchagua kiongozi wanaeamini kuwa anaweza kuwaongoza na kuwaletea maendeleo.

Msimamizi wa kituo cha upigaji kura akielekeza wananchi wapi wajipange ili wapige kura zao kwa utaratibu uliopangwa.
Habari ndiyo hii
Mwananchi akitafakari kura yake aipeleke wapi
Mmoja wa wasimamizi wa kituo cha kupigia kura kata ya Suna Magomeni mapipa hii ni live bila chenga.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Kwa nini watoto waliozaliwa na kina mama wa kupanga wamekwama Ukraine?

Watoto waliozaliwa na kina mama wa kupanga wamekwama nchini Ukraine kutokana na masharti ya kutotoka nje kukabiliana na virusi vya corona.

 

10 years ago

Vijimambo

Muimbaji Maarufu Rwanda Afungwa Miaka 10 Jela kwa Kupanga Njama Kumuua Rais Kagame.

Muimbaji maarufu wa Rwanda amehukumiwa kifungo cha miaka 10 jela baada ya kushtakiwa kwa njama za kutaka kumuua Rais Kagame na kuonyesha chuki dhidi ya serikali.
Kizito Mihigo awali alisema alikuwa na makosa na kuomba msamaha, akimaanisha hukumu yake ipunguzwe.Kizito Mihigo amekuhumiwa jela miaka 10 kwa njama za kutaka kumuua Rais Paul KagameMshtakiwa mwenzake, Cassien Ntamuhanga kiongozi wa kituo cha redio ya Kikristo, alifungwa miaka 25 kwa ugaidi na matusi.Ameendelea kukataa mashtaka...

 

10 years ago

Bongo5

Mwanamuziki maarufu wa Rwanda afungwa miaka 10 jela kwa kupanga njama dhidi ya Rais Kagame

Mahakama ya Rwanda Ijumaa iliyopita ilimhukumu mwanamuziki maarufu wa nchini humo, Kizito Mihigo kifungo cha miaka 10 jela kwa kosa la kupanga njama dhidi ya serikali ya Rais Paul Kagame. Kizito Mihigo Mihigo alipatikana na hatia ya kuanzisha kundi la kihalifu na njama ya kutekeleza mauaji japo jaji alitupilia mbali makosa ya kuhusika kwenye vitendo […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani