Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


YEMI ALADE ASHUTUMIWA KUJICHUBUA KWA MKOGORO

Mwanamuziki wa Nigeria, Yemi Alade. Lagos, Nigeria IMEKUWA mtindo kwa mastaa weusi kujichubua ngozi zao na kuzifanya nyeupe.  Mmoja wa wanamuziki wa Nigeria, Yemi Alade, amejikuta akisakamwa na shabiki mmoja kwa kutumia mkorogo. Yemi Alade. Alipotuma katika mtandao wa Twitter picha mbili za mwanamuziki huyo aliyevuma kwa wimbo wake wa ‘Johnny’ – picha moja ikimwonyesha alipoanza kujikita katika muziki...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

YEMI ALADE AANGUKIA KWA ‘SERENGETI BOI’

Staa wa muziki Naija, Yemi Alade. STAA wa muziki Naija, Yemi Alade huenda amempata ‘Johnny’ baada ya tetesi kusambaa kuwa ameangukia penzi la dogodogo ‘serengeti boi’ aliyejulikana kwa jina la Fasesin Ayobami ‘Ay-B.’ Fasesin Ayobami ‘Ay-B.’ anayedaiwa kuwa na uhusiano na Yemi Alade. Jalada zima linafunguka kuwa Yemi kwa sasa hasikii haozi kwa dogo huyo ambaye pia ni msanii wa...

 

9 years ago

MillardAyo

Yemi alade kaisambaza hii single mpya aliyoimba kwa kiswahili..(+Audio)

Ni headlines za msanii kutoka Nigeria, Yemi Alade ambaye time hii ameamua kutuletea hii single ya ‘Na Gobe’ (Swahili Version) ambayo ameimba kwa lugha ya kiswahili ili watu wake wa East Africa waweze kumuelewa vizuri zaidi. Kukutana nayo bonyeza play hapa chini ikupeleke moja kwa moja, pia usiache kuniandikia maoni yako baada ya kuisikiliza version […]

The post Yemi alade kaisambaza hii single mpya aliyoimba kwa kiswahili..(+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Vitu vitatu vya kufahamu kutoka kwa Yemi Alade kabla ya kufunga mwaka wa 2015!

Staa wa muziki kutoka Nigeria Yemi Alade ni mmoja wa wasanii kutoka Africa wanaohesabika kuwa na ushawishi mkubwa kwenye soko la muziki la Africa… Nimekutana na interview moja ya Yemi Alade aliyofanya siku chache zilizopita, ndani yake staa huyo amegusia vitu vitatu vikubwa; safari yake ya muziki, sababu iliyopelekea single ya Johnny kuandikwa na mafanikio […]

The post Vitu vitatu vya kufahamu kutoka kwa Yemi Alade kabla ya kufunga mwaka wa 2015! appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Bongo5

Layla (Voice Fairy) – Msanii chipukizi wa Bongo aliyeshinda shindano la Yemi Alade na kuwa staa kwa kuimba cover za wasanii

11253897_955031214568617_1983885996_n

Kwa wapenzi wa mtandao wa Instagram, jina na sura ya Layla aka The Voice Fairy sio vigeni.

11253897_955031214568617_1983885996_n

Muimbaji huyo wa Mwanza anayeishia Dar es Salaam kimasomo amejipatia umaarufu kwenye ulimwengu wa Instagram kwa kuimba nyimbo za wasanii wengine (cover) kabla hata ya kurekodi wimbo wake ‘Hoi Hoi’ uliotoka wiki iliyopita.

10249313_428053124072355_1371821855_n

“Napenda sana kuimba nyimbo za watu napost kwenye Instagram yangu,” Layla alikiambia kipindi cha The Bridge cha Radio Free Africa, Jumapili, Nov 15.

“So hiyo ilinijengea...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Yemi Alade Ft. DJ Arafat – Do As I Do

yemi

Mwanamuziki kutoka Nigeria, Yemi Alade amerudi na single mpya kutoka kwenye album yake,”Mama Africa” mpya inayotegemea kuwa mtaani hivi karibuni. Wimbo unaitwa “Do As I Do” wimbo huu amemshirikisha staa kutoka Ivory Coast , DJ Arafat. Mtayarishaji wa wimbo huu ni Selebobo (on the beat).

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka...

 

11 years ago

GPL

10 years ago

GPL

11 years ago

GPL

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani