YEMI ALADE AANGUKIA KWA ‘SERENGETI BOI’
![](http://api.ning.com:80/files/eoZ5qo4qa6oCNnHh5vBz0cI20LhwnMw3n7wVOogLhyP12TJRxOtO16wdPOg9jfigSmM14xI-os9ewYrYzWbg2s3Pw7GyiAhj/yemialadee.jpg?width=650)
Staa wa muziki Naija, Yemi Alade. STAA wa muziki Naija, Yemi Alade huenda amempata ‘Johnny’ baada ya tetesi kusambaa kuwa ameangukia penzi la dogodogo ‘serengeti boi’ aliyejulikana kwa jina la Fasesin Ayobami ‘Ay-B.’ Fasesin Ayobami ‘Ay-B.’ anayedaiwa kuwa na uhusiano na Yemi Alade. Jalada zima linafunguka kuwa Yemi kwa sasa hasikii haozi kwa dogo huyo ambaye pia ni msanii wa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f5QbJIEIZ4yJ8s7WdCrNZtuxMgTcaKFTM7yPUSxiDtDeUprrlxGdM9LVQMEIch0Jxb5NJTPyvspnbbZfhK6mW9wnfPwOai3D/Bella.jpg)
BELLA AANGUKIA KWA SERENGETI BOY
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vMQ5RJcyKDAhVfKyas2KwbWHRfrBaopZgI0kLrmzwcqSYeAeeyohcFXypJyWjMxNZIQq*5h3og8DUS5L2fHYDDd5Jj4YHGIo/image.aspx.jpg?width=650)
YEMI ALADE ASHUTUMIWA KUJICHUBUA KWA MKOGORO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HbsRLQ*GNXb5nNvs9BS5Cg7LYRX8XVDzTSEX6QY7AZwa7oUj7P8UMQfjJ4n-mkHEPMESj6B*qdAXBm8oW53IZcuOb3Ug0b3j/mamak.jpg)
MAMA KANUMBA AKANUSHA KUTOKA NA SERENGETI BOI
9 years ago
MillardAyo23 Dec
Yemi alade kaisambaza hii single mpya aliyoimba kwa kiswahili..(+Audio)
Ni headlines za msanii kutoka Nigeria, Yemi Alade ambaye time hii ameamua kutuletea hii single ya ‘Na Gobe’ (Swahili Version) ambayo ameimba kwa lugha ya kiswahili ili watu wake wa East Africa waweze kumuelewa vizuri zaidi. Kukutana nayo bonyeza play hapa chini ikupeleke moja kwa moja, pia usiache kuniandikia maoni yako baada ya kuisikiliza version […]
The post Yemi alade kaisambaza hii single mpya aliyoimba kwa kiswahili..(+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Vitu vitatu vya kufahamu kutoka kwa Yemi Alade kabla ya kufunga mwaka wa 2015!
Staa wa muziki kutoka Nigeria Yemi Alade ni mmoja wa wasanii kutoka Africa wanaohesabika kuwa na ushawishi mkubwa kwenye soko la muziki la Africa… Nimekutana na interview moja ya Yemi Alade aliyofanya siku chache zilizopita, ndani yake staa huyo amegusia vitu vitatu vikubwa; safari yake ya muziki, sababu iliyopelekea single ya Johnny kuandikwa na mafanikio […]
The post Vitu vitatu vya kufahamu kutoka kwa Yemi Alade kabla ya kufunga mwaka wa 2015! appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Bongo516 Nov
Layla (Voice Fairy) – Msanii chipukizi wa Bongo aliyeshinda shindano la Yemi Alade na kuwa staa kwa kuimba cover za wasanii
![11253897_955031214568617_1983885996_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11253897_955031214568617_1983885996_n-300x194.jpg)
Kwa wapenzi wa mtandao wa Instagram, jina na sura ya Layla aka The Voice Fairy sio vigeni.
Muimbaji huyo wa Mwanza anayeishia Dar es Salaam kimasomo amejipatia umaarufu kwenye ulimwengu wa Instagram kwa kuimba nyimbo za wasanii wengine (cover) kabla hata ya kurekodi wimbo wake ‘Hoi Hoi’ uliotoka wiki iliyopita.
“Napenda sana kuimba nyimbo za watu napost kwenye Instagram yangu,” Layla alikiambia kipindi cha The Bridge cha Radio Free Africa, Jumapili, Nov 15.
“So hiyo ilinijengea...
10 years ago
GPL10 Sep
9 years ago
Global Publishers20 Dec
Muonekano mpya wa Yemi Alade
STAA wa muziki nchini Nigeria, Yemi Alade ameachia picha zake mpya zinazoonyesha muonekano wake wa sasa.
Picha hizo zimepigwa na mpiga picha Kelechi Amadi-Obi.
9 years ago
Bongo510 Dec
Music: Yemi Alade Ft. DJ Arafat – Do As I Do
![yemi](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/yemi-300x194.jpg)
Mwanamuziki kutoka Nigeria, Yemi Alade amerudi na single mpya kutoka kwenye album yake,”Mama Africa” mpya inayotegemea kuwa mtaani hivi karibuni. Wimbo unaitwa “Do As I Do” wimbo huu amemshirikisha staa kutoka Ivory Coast , DJ Arafat. Mtayarishaji wa wimbo huu ni Selebobo (on the beat).
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka...