BELLA AANGUKIA KWA SERENGETI BOY

Na Waandishi Wetu/Amani SABABU za Bella kuachana na mpenzi wake Luten Karama, zimetajwa kuwa ni serengeti boy ambaye ni mwanamuziki anayejulikana kwa jina la Dogo Nasri. Isabela Mpanda, 'Bella' akiwa na serengeti boy, 'Dogo Nasri'. Sosi wa habari hii alisema kuwa Bella amekuwa akitoka kimapenzi na ‘underground’ huyo na ndiyo maana amekubali kirahisi kuachana na mpenzi wake wa siku nyingi. “Ulishawahi...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
YEMI ALADE AANGUKIA KWA ‘SERENGETI BOI’
10 years ago
GPL
SERENGETI BOY: NIMELIFAIDI PENZI LA WOLPER!
11 years ago
GPL
SHILOLE AMTETEA SERENGETI BOY WAKE
11 years ago
GPL
SERENGETI BOY, MKE WA KIGOGO LIVE
11 years ago
GPL
SHILOLE AIBUKA NA ‘SERENGETI BOY’ MPYA
10 years ago
GPL
HEE! MAMA ASAULA KUMLAANI SERENGETI BOY WAKE
10 years ago
Bongo Movies05 Mar
Baada ya Serengeti Boy Kujinadi Kulifaidi Kufaidi Penzi Lake, Wolper Achukulia Kama Changamoto!
Mrembo na staa wa bongo movies, Jackline Massawe Wolper ameonyesha kuchukulia ni kama changamoto kitendo cha msanii wa muziki kutoka kundi la makomando Fredy Felix ambae ni bwa’mdogo “Serengeti Boy” kujinadi hadharani kuwa alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na Wolper huku akielezea njinsi alivyompata na kumsifu kuwa alimpata penzi ambalo hatoweza kulisahau.
Felix aliyasema hayo hivi juzi kati alipokuwa akifanya mahojiano na Global Tv online nakusababisha stori hii kuenea kwa kasi sana...
10 years ago
Habarileo17 Jun
Msuya aangukia kwa Membe
BAADA ya aliyewahi kuwa waziri katika wizara mbalimbali awamu ya kwanza, George Kahama kutangaza hadharani kumuunga mkono Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe kuteuliwa na chama chake kugombea Urais, naye Waziri Mkuu wa zamani, David Msuya amejitokeza hadharani kumuunga mkono Waziri Membe.
10 years ago
GPL
MARIA CAREY AANGUKIA KWA BILIONEA