Msuya aangukia kwa Membe
BAADA ya aliyewahi kuwa waziri katika wizara mbalimbali awamu ya kwanza, George Kahama kutangaza hadharani kumuunga mkono Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe kuteuliwa na chama chake kugombea Urais, naye Waziri Mkuu wa zamani, David Msuya amejitokeza hadharani kumuunga mkono Waziri Membe.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen17 Jun
Msuya endorses Membe in CCM nomination race
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f5QbJIEIZ4yJ8s7WdCrNZtuxMgTcaKFTM7yPUSxiDtDeUprrlxGdM9LVQMEIch0Jxb5NJTPyvspnbbZfhK6mW9wnfPwOai3D/Bella.jpg)
BELLA AANGUKIA KWA SERENGETI BOY
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SWXdzvDqQaKuN9yFcADh2Pvxwxj-gjY3aMzFFTga*v6gHV2H48l8cgMXINgE2hCmuOS9-3BnQjErQN*jPzBOPrTNowGR-CVE/29CB622E000005783132136Dream_Lover_Mariah_Carey_and_Australian_casino_billionaire_Jamesm34_1434792976897.jpg)
MARIA CAREY AANGUKIA KWA BILIONEA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R5SqbRTCmAGSNF94k*aJQMp*ielpk8g5d8k6HV5aBVULbsiohRyWq**lhEXx4SzZG82XGOP6YOI285BL9tHo1-lP7bekZloG/LuluMama.gif)
MAMA LULU AANGUKIA KWA MZEE WA UPAKO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eoZ5qo4qa6oCNnHh5vBz0cI20LhwnMw3n7wVOogLhyP12TJRxOtO16wdPOg9jfigSmM14xI-os9ewYrYzWbg2s3Pw7GyiAhj/yemialadee.jpg?width=650)
YEMI ALADE AANGUKIA KWA ‘SERENGETI BOI’
11 years ago
CloudsFM12 Jun
MAHAKAMA YAELEZWA JINSI BILIONEA ERASTO MSUYA ALIVYOUAWA KINYAMA KWA KUTUMIA BUNDUKI YA SMG
Bunduki ya kivita aina ya Sub Machine Gun (SMG) iliyotumika kumuua mfanyabiashara tajiri wa Mirerani, Erasto Msuya, ilinunuliwa kwa Sh4 milioni nchini Kenya, Mahakama imeelezwa.
Imeelezwa pia kwamba wauaji wanne waliokwenda eneo la tukio kutekeleza mauaji hayo, walilipwa Sh5 milioni kila mmoja na washirika wao wakilipwa Sh3 milioni kila mmoja.
Hayo yamo katika maelezo ya mashahidi 57 kwa washtakiwa yalisomwa mbele ya Hakimu Mkazi wa Mkoa Kilimanjaro, Munga Sabuni juzi na mawakili wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-I2_N3OiFvqU/XutFCHjJR-I/AAAAAAALuaU/IfUMSiRM9DghUgZKND1yveXhK_bLNuuwgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-18%2Bat%2B12.21.19%2BPM.jpeg)
WAZIRI JAFO AIPONGEZA TAASISI YA DK MSUYA FOUNDATION KWA KUKARABATI SAMANI ZA SHULE YA SEKONDARI IBIHWA
Charles James, Michuzi TV
UZALENDO! Ndio kauli ambayo Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, Selemani Jafo ameitumia kuipongeza Taasisi ya Dk Msuya Foundation kwa kuwezesha kusaidia ukarabati samani za Shule ya Sekondari Ibihwa iliyopo wilayani Bahi, Dodoma.
Waziri Jafo ameipongeza taasisi hiyo inayoongozwa na Dk Ombeni Msuya kwa moyo wao wa kizalendo uliowezesha ukarabati huo wa Viti 76 na Meza 45 kwenye shule hiyo ikiwa ni kuunga mkono juhudi za serikali za kuinua elimu nchini.
Akizungumza...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SuOBAmlJCQM/XrhLQdh1G7I/AAAAAAALpsk/VSdg2BuwCe0mUD9JoPs780Bm4FRRAlapACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-10%2Bat%2B5.00.37%2BPM.jpeg)
TAASISI YA DK MSUYA YAGAWA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA VYENYE THAMANI YA SH MILIONI 2.5 KWA MAKANISA MWANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-SuOBAmlJCQM/XrhLQdh1G7I/AAAAAAALpsk/VSdg2BuwCe0mUD9JoPs780Bm4FRRAlapACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-10%2Bat%2B5.00.37%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-AL4TEt2tTy4/XrhLP1Tn8xI/AAAAAAALpsc/a6PeAVMdhHUce9zXf3zA0mnCnxPJ2OYDACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-10%2Bat%2B5.03.25%2BPM.jpeg)
10 years ago
Mtanzania23 Aug
Magufuli aangukia pua
![Waziri John Magufuli](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/John-Magufuli.jpg)
Waziri John Magufuli
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imewaachia huru Wachina wa ‘samaki wa Magufuli’ na kuamuru Jamhuri iwarejeshee vitu vyao ikiwemo meli ya Tawaliq 1.
Wachina hao Nahodha wa meli, Hsu Chin Tai na Wakala wa Meli ya Tawaliq 1, Zhao Hanquing waliachiwa jana kupitia hati ya Nole ya kuwaondolea mashitaka.
Hii ni mara ya pili kwa Wachina hao kuachiwa kwani mara ya kwanza waliachiwa na Mahakama ya Rufaa Machi 28 mwaka huu, walikamatwa tena na...