Magufuli aangukia pua
Waziri John Magufuli
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imewaachia huru Wachina wa ‘samaki wa Magufuli’ na kuamuru Jamhuri iwarejeshee vitu vyao ikiwemo meli ya Tawaliq 1.
Wachina hao Nahodha wa meli, Hsu Chin Tai na Wakala wa Meli ya Tawaliq 1, Zhao Hanquing waliachiwa jana kupitia hati ya Nole ya kuwaondolea mashitaka.
Hii ni mara ya pili kwa Wachina hao kuachiwa kwani mara ya kwanza waliachiwa na Mahakama ya Rufaa Machi 28 mwaka huu, walikamatwa tena na...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima28 Mar
Kisena aangukia pua Mahakama Kuu
MAHAKAMA Kuu imetupilia mbali kesi mpya iliyofunguliwa na mmiliki wa Kampuni ya usafirishaji ya UDA, Robert Kisena dhidi ya mfanyabiashara Alex Msama na wenzake watatu kuhusu mgogoro wa kiwanja kilichopo...
9 years ago
Bongo511 Nov
Masanja aangukia pua kwenye kura za maoni ya ubunge Ludewa
![Masanja Mkandamizaji](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Masanja-Mkandamizaji-300x194.png)
Mchekeshaji, Masanja Mkandanizaji ameangukia pua katika kura za maoni za ubunge katika jimbo la Ludema baada ya kupata kura chache.
Kwa mujibu wa gazeti la Mwananchi, Deo Ngalawa aliwashinda makada wenzake tisa waliokuwa wakiwania nafasi hiyo kwa kupata kura 537 akifuatiwa na mdogo wa marehemu Filikunjombe, Philip aliyepata kura 501.
Makada wengine ni Edgar Lugome, Johnson Mgimba, Emmanuel Mgaya maarufu Masanja Mkandamizaji (19), James Mgaya (72), Jackob Mpangala (3), Evaristo Mtitu (21)...
10 years ago
Dewji Blog06 Aug
Mwenyekiti UWT Ikungi atimuliwa CCM, aenda Chadema aangukia pua
Katibu wa CCM wilaya ya Ikungi mkoani Singida, Aluu Segamba,akizungumza na waandishi wa habari (hawapo kwenye picha),juu ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wilayani humo, Christina Hamisi kujivua unachama na kufukuzwa kazi kwa madai ya kuvunja sheria, kanuni na taratibu za chama tawala.(Picha na Nathaniel Limu).
Kaimu Katibu wa CCM Mkoa wa Singida, Mary Maziku akizungumza na wanahabari juu ya kufukuzwa uongozi aliyekuwa Mwenyekiti wa UWT Wilaya ya Ikungi Christina Samwel...
10 years ago
Dewji Blog08 Jul
Mtangaza nia ubunge Ludewa aangukia pua nafasi ya NEC , asema hataki tena kugombea
Mkuu wa wilaya ya Ludewa, Antonia Choya akimkabidhi hati ya shukrani mbunge wa Ludewa Deo Filikunjombe (kushoto).
Mjumbe wa mkutano huo Bw. Choya akipiga kura.
Wajumbe wakishiriki kupiga kura.
Wajumbe ...
10 years ago
GPLMTANGAZA NIA UBUNGE LUDEWA AANGUKIA PUA NAFASI YA NEC, AAPA KUTOKUGOMBEA UBUNGE
10 years ago
Habarileo17 Jun
Msuya aangukia kwa Membe
BAADA ya aliyewahi kuwa waziri katika wizara mbalimbali awamu ya kwanza, George Kahama kutangaza hadharani kumuunga mkono Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe kuteuliwa na chama chake kugombea Urais, naye Waziri Mkuu wa zamani, David Msuya amejitokeza hadharani kumuunga mkono Waziri Membe.
11 years ago
Tanzania Daima02 Jul
Coutinho aangukia wachezaji Jangwani
KIUNGO wa Yanga, Mbrazil Andrey Coutinho, amemwaga wino wa kukipiga Jangwani kwa kipindi cha miaka miwili, huku akikabidhiwa jezi namba 7 iliyokuwa ikivaliwa na Didier Kavumbagu aliyejiunga na Azam FC....
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f5QbJIEIZ4yJ8s7WdCrNZtuxMgTcaKFTM7yPUSxiDtDeUprrlxGdM9LVQMEIch0Jxb5NJTPyvspnbbZfhK6mW9wnfPwOai3D/Bella.jpg)
BELLA AANGUKIA KWA SERENGETI BOY
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SWXdzvDqQaKuN9yFcADh2Pvxwxj-gjY3aMzFFTga*v6gHV2H48l8cgMXINgE2hCmuOS9-3BnQjErQN*jPzBOPrTNowGR-CVE/29CB622E000005783132136Dream_Lover_Mariah_Carey_and_Australian_casino_billionaire_Jamesm34_1434792976897.jpg)
MARIA CAREY AANGUKIA KWA BILIONEA