Coutinho aangukia wachezaji Jangwani
KIUNGO wa Yanga, Mbrazil Andrey Coutinho, amemwaga wino wa kukipiga Jangwani kwa kipindi cha miaka miwili, huku akikabidhiwa jezi namba 7 iliyokuwa ikivaliwa na Didier Kavumbagu aliyejiunga na Azam FC....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog02 Jul
Andrey Coutinho amwaga wino Jangwani
Kiungo wa Yanga, Mbrazil Andrey Coutinho (kulia).
Na MOblog Team
Kiungo wa Yanga, Mbrazil Andrey Coutinho, amemwaga wino wa kukipiga Jangwani kwa kipindi cha miaka miwili, huku akikabidhiwa jezi namba 7 iliyokuwa ikivaliwa na Didier Kavumbagu aliyejiunga na Azam FC.
Nyota huyo aliyetua nchini siku moja baada ya Maximo kuwasili na kusaini mkataba wa kuinoa Yanga kwa kipindi kama hicho, ameomba sapoti ya wachezaji wenzake na mashabiki wa timu hiyo ili aweze kutimiza malengo ya kuisaidia...
10 years ago
Mtanzania23 Aug
Magufuli aangukia pua
![Waziri John Magufuli](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/John-Magufuli.jpg)
Waziri John Magufuli
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imewaachia huru Wachina wa ‘samaki wa Magufuli’ na kuamuru Jamhuri iwarejeshee vitu vyao ikiwemo meli ya Tawaliq 1.
Wachina hao Nahodha wa meli, Hsu Chin Tai na Wakala wa Meli ya Tawaliq 1, Zhao Hanquing waliachiwa jana kupitia hati ya Nole ya kuwaondolea mashitaka.
Hii ni mara ya pili kwa Wachina hao kuachiwa kwani mara ya kwanza waliachiwa na Mahakama ya Rufaa Machi 28 mwaka huu, walikamatwa tena na...
9 years ago
MillardAyo30 Dec
TOP 20 ya wachezaji bora wa Ligi Kuu Uingereza 2015, Afrika imetoa wachezaji wawili pekee, Cheki list hapa …
Tukiwa tunaelekea kuumaliza mwaka 2015 na kuingia mwaka mpya 2016 moja kati ya mitandao inayoandika stori za michezo duniani imeandika TOP ya wachezaji bora wakali wa Ligi Kuu Uingereza. Mtandao wa bleacherreport.com umeandika list ya wachezaji 20 wakali wa Ligi Kuu Uingereza kwa mwaka 2015. Hii ndio list ya majina yote 20 mtu wangu. David De […]
The post TOP 20 ya wachezaji bora wa Ligi Kuu Uingereza 2015, Afrika imetoa wachezaji wawili pekee, Cheki list hapa … appeared first on...
10 years ago
Habarileo17 Jun
Msuya aangukia kwa Membe
BAADA ya aliyewahi kuwa waziri katika wizara mbalimbali awamu ya kwanza, George Kahama kutangaza hadharani kumuunga mkono Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe kuteuliwa na chama chake kugombea Urais, naye Waziri Mkuu wa zamani, David Msuya amejitokeza hadharani kumuunga mkono Waziri Membe.
11 years ago
Tanzania Daima28 Mar
Kisena aangukia pua Mahakama Kuu
MAHAKAMA Kuu imetupilia mbali kesi mpya iliyofunguliwa na mmiliki wa Kampuni ya usafirishaji ya UDA, Robert Kisena dhidi ya mfanyabiashara Alex Msama na wenzake watatu kuhusu mgogoro wa kiwanja kilichopo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f5QbJIEIZ4yJ8s7WdCrNZtuxMgTcaKFTM7yPUSxiDtDeUprrlxGdM9LVQMEIch0Jxb5NJTPyvspnbbZfhK6mW9wnfPwOai3D/Bella.jpg)
BELLA AANGUKIA KWA SERENGETI BOY
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SWXdzvDqQaKuN9yFcADh2Pvxwxj-gjY3aMzFFTga*v6gHV2H48l8cgMXINgE2hCmuOS9-3BnQjErQN*jPzBOPrTNowGR-CVE/29CB622E000005783132136Dream_Lover_Mariah_Carey_and_Australian_casino_billionaire_Jamesm34_1434792976897.jpg)
MARIA CAREY AANGUKIA KWA BILIONEA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R5SqbRTCmAGSNF94k*aJQMp*ielpk8g5d8k6HV5aBVULbsiohRyWq**lhEXx4SzZG82XGOP6YOI285BL9tHo1-lP7bekZloG/LuluMama.gif)
MAMA LULU AANGUKIA KWA MZEE WA UPAKO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eoZ5qo4qa6oCNnHh5vBz0cI20LhwnMw3n7wVOogLhyP12TJRxOtO16wdPOg9jfigSmM14xI-os9ewYrYzWbg2s3Pw7GyiAhj/yemialadee.jpg?width=650)
YEMI ALADE AANGUKIA KWA ‘SERENGETI BOI’