Tume ya nguvu za atomiki kuboreshwa
SERIKALI itaboresha Tume ya Nguvu za Atomiki iwe na mamlaka yenye nguvu ya udhibiti, itakayosaidia kusimamia shughuli zote zinazohusu teknolojia ya nyuklia wakati huu ambao matumizi yake yanaongezeka.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3sKV5USQbaw/Xl6_4QimsdI/AAAAAAALgyo/R60yvtJBEH4GysvwxE8qsdi2sg2-4Ud1gCLcBGAsYHQ/s72-c/6f86bbba-36fc-4dd2-ac2c-2dafcfc18334.jpg)
JESHI LA POLISI LAAHIDI KUONGEZA ULINZI TUME YA NGUVU ZA ATOMIKI TANZANIA
Jeshi la Polisi nchini limeingia Makubaliano ya kutoa Ulinzi na Tume ya Nguvu za Atomik Tanzania, kutokana na eneo hilo kuwa ni muhimu kwa nchi,pamoja na usalama wa nchi ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kuwa eneo hilo halitumiwi na wahalifu.
Akizungumza wakati wa zoezi hilo Kamishna wa Operesheni Liberatus Sabas alisema kuwa eneo hilo ni muhimu sana kwa usalama wa nchi hivyo, linahitaji kuwa salama na ulinzi mathubutu ili kuzuia wahalifu kutotumia eneo hilo.
Sabas alisema...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xH6Zv4-eYsw/UyGzlDnp4xI/AAAAAAAFTaw/-sv0yyBWKT0/s72-c/New+Picture+(5).png)
MKURUGENZI MKUU WA SHIRIKA LA NGUVU ZA ATOMIKI DUNIANI ZIARANI NCHINI TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-xH6Zv4-eYsw/UyGzlDnp4xI/AAAAAAAFTaw/-sv0yyBWKT0/s1600/New+Picture+(5).png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-lP5YaIAqM08/UyGzmx-sw3I/AAAAAAAFTa4/RJ49m-Q1Dsc/s1600/New+Picture+(6).png)
10 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_03481.jpg?width=650)
MAPAMBANO YA UKATILI YANAITAJI NGUVU ZA PAMOJA - TUME YA HAKI ZA BINADAMU
10 years ago
Dewji Blog04 Dec
Mapambano ya ukatili yanahitaji nguvu za pamoja — Tume ya Haki za Binadamu
Mgeni rasmi katika Maadhimisho ya Siku 16 Kupinga Ukatili wa Kijinsia TGNP, Katibu Mtendaji Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora –Tanzania, Bi. Mary Massay akizungumza.
![Mgeni rasmi katika Maadhimisho ya Siku 16 Kupinga Ukatili wa Kijinsia TGNP, Katibu Mtendaji Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora –Tanzania, Bi. Mary Massay akizindua eneo la kula kiapo kwa washiriki kupinga ukatili.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_03901.jpg)
Mgeni rasmi katika Maadhimisho ya Siku 16 Kupinga Ukatili wa Kijinsia TGNP, Katibu Mtendaji Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora –Tanzania, Bi. Mary Massay akizindua eneo la kula kiapo kwa washiriki kupinga ukatili.
![Mgeni rasmi katika Maadhimisho ya Siku 16 Kupinga Ukatili wa Kijinsia TGNP, Katibu Mtendaji Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora –Tanzania, Bi. Mary Massay akizungumza.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0396.jpg)
Mgeni rasmi katika Maadhimisho ya Siku 16 Kupinga Ukatili wa Kijinsia TGNP, Katibu Mtendaji Tume ya...
9 years ago
Raia Mwema11 Nov
Tuone kweli kama ni nguvu ya soda au nguvu ya jua
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-y6WGsuj73tU/VjJtlAn0yWI/AAAAAAAA31k/X7j7SqYXKz0/s72-c/TB-Joshua.jpg)
Haujatimia...Je Nguvu za Binadamu zinaweza Kuzuia Nguvu za Mungu...
![](http://1.bp.blogspot.com/-y6WGsuj73tU/VjJtlAn0yWI/AAAAAAAA31k/X7j7SqYXKz0/s640/TB-Joshua.jpg)
Naleta kwenu msaswali machache ili mpate kunisaidia. Katika tabiri nyingi zilizopata kutabiriwa ndani ya vitabu vitakatifu kama BIBLIA na vinginevyo zimekuwa zikitimia pasipi shaka.Siku za nyuma kidogo huyu nabii anaye itwa TB Joshua Kutoka Nigeria alimtabiria mheshikiwa Edward kuwa ndiye raisi ajaye sasa kila mtu anajua kilicho tokea ni kitugani muda mfupi ulio pita.
SASA NAULIZA HIVI, JE BINADAMU ANAYO MAMLAKA AU NGUVU YOYOTE KATIKA KUBATILISHA KILE KINACHO TAJWA KUWA NI UTABIRI AMBAO...
10 years ago
Michuzi27 Feb
UTEUZI KATIKA TUME YA UTUMISHI WA UMMA NA TUME YA USULUHISHI NA UAMUZI (CMA)
Katika uteuzi huo, Rais amemteua Mhe. DKT. STEPHEN JAMES BWANA, Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufani, kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma na BWANA EDRISSA R. MAVURA, kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA), Bw. Mavura ni Naibu Katibu Mkuu Mstaafu.
Sambamba na uteuzi huu, Rais amewateua Makamishna katika...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--3awY8ZqKUc/VO6-Uz1IWoI/AAAAAAAHF80/x_HRY7IttsM/s72-c/unnamed%2B(61).jpg)
Tume ya Kurekebisha Sheria nchini Uganda Yaitembelea Tume ya Tanzania
![](http://3.bp.blogspot.com/--3awY8ZqKUc/VO6-Uz1IWoI/AAAAAAAHF80/x_HRY7IttsM/s1600/unnamed%2B(61).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-vBtIoorCLxE/VO6-VJhwocI/AAAAAAAHF9A/xjtcrCdZLHo/s1600/unnamed%2B(62).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-o2NNFZiMoVM/VO6-VFnRcMI/AAAAAAAHF84/BSNvLOJSp_I/s1600/unnamed%2B(63).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7xza7kFviR0/VO6-W85VazI/AAAAAAAHF9M/xxa8O265ywo/s1600/unnamed%2B(64).jpg)
11 years ago
Mwananchi10 Jan
Daftari la Wapigakura kuboreshwa