Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tunaangazia maisha ya mtoto katika mgodi nchini Ghana

Licha ya kwamba Ghana ina migodi mingi miongoni mwa wanaojihusisha na kazi hiyo ni watoto walioacha shule. Africa Eye inafuatilia simulizi ya Justice Afekey.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

WATANO WAOKOLEWA KATIKA MGODI WA NYANGARATA KAHAMA.

Na Avila Kakingo, Globu ya Jamii.WATU watano wamepatikana wakiwa hai tangu Oktoba 5 mwaka huu walipofukiwa na kifusi cha mchanga katika mgodi wa wachimba wadogo wa mgodi wa Nyangarata wilaya ya Kahama  mkoani Shinyanga, watu hao waligundulika kuwepo ndani ya mgodi hou mita 100 kwenda chini ikiwa mtu mmoja amegundurika kuwa amefariki dunia.
Waliookolewa katika  mgodi huo kuwa ni Josef Burule, Chacha Wambura, Msafiri Gerald, Onyiwa Aindo na Amosi Mhangwa pia limtaja aliyefariki dunia ni Mussa...

 

11 years ago

Michuzi

MH. MAHENGE AFANYA ZIARA KATIKA MGODI WA NORTH MARA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Mazingira Mhe. Dkt. Binillith S.Mahenge akipewa maelezo na Mkuu wa Wilaya ya Tarime alipowasili ofisini kwake kabla ya kuanza ziara ya kikazi katika Mgodi wa North Mara ulioko Wilaya ya Tarime. Meneja wa Mazingira Mgodi wa North Mara Bwana Thomas Morris akitoa Maelezo kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Mazingira Mhe. Dkt. Binillith S.Mahenge (hayupo pichani) alipotembelea Mgodi wa North Mara kukagua uzingatiaji wa Sheria ya Mazingira katika...

 

5 years ago

CCM Blog

KATIKA KUKABILIANA NA CORONA, MGODI WA BARRICK BUZWAGI WATOA MSAADA WA VIFAA SHINYANGA


Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack akiishukuru Kampuni ya Barrick kwa kuiunga mkono serikali katika kukabiliana na ugonjwa wa Corona. Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Afya na Usalama mgodi wa Barrick Buzwagi, Dkt. Antoinette George.
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog

Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Dhahabu ya Barrick kupitia Mgodi wa Buzwagi uliopo wilayani Kahama imetoa msaada vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 48 kwa ajili ya kujikinga dhidi ya maambukizi ya homa kali ya mapafu...

 

10 years ago

Michuzi

WAFANYAKAZI MGODI WA NORTH MARA WATUZWA KWA UMAHIRI NA UMAKINI KATIKA KAZI

Meneje Mkuu wa Mgodi wa North Mara, Gary Chapman, akizungumza kwenye hafla ya awamu ya pili ya utoaji tuzo za umahiri mwaka 2014 (CEO Excellence Awards 2014), iliyofanyika Jumanne usiku Machi 23, 2014, kwenye mgodi huo ulioko Nyamongo, wilayani Tarime mkoa wa Mara.Meneja mkuu wa mgodi wa North Mara, Gary Chapman, (kushoto), akishuhudia wakati Le Poer Trench, (katikati) na Albert Rudman, wakionyesha tuzo za umahiri za mwaka 2014, (CEO ECellence Aawards 2014), walizopokea kwa niaba ya idara ya...

 

5 years ago

Michuzi

KATIKA KUKABILIANA NA CORONA, MGODI WA BARRICK BUZWAGI WATOA MSAADA WA VIFAA SHINYANGA

Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack akiishukuru Kampuni ya Barrick kwa kuiunga mkono serikali katika kukabiliana na ugonjwa wa Corona. Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Afya na Usalama mgodi wa Barrick Buzwagi, Dkt. Antoinette George.
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog

Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Dhahabu ya Barrick kupitia Mgodi wa Buzwagi uliopo wilayani Kahama imetoa msaada vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 48 kwa ajili ya kujikinga dhidi ya maambukizi ya homa kali ya mapafu...

 

10 years ago

Michuzi

DC MPESYA AWAMWAGIA SIFA WAFANYAKAZI MGODI WA BUZWAGI, NI KATIKA SHEREHE ZA KUWAPATIA TUNZO



Mkuu wa Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, Benson Mpesya, (kushoto), akitoa maelezo wakati wa kumpatia zawadi za kimila, Shuka ya rubega, mkuki na ngao, Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Acacia, Brad Gordon, (kulia), wakati wa hafla ya kuwatunuku wafanyakazi waliohudumu kwa muda mrefu kwenye kampuni hiyo, na wengine 10 walizawadiwa kwa kufanya kazi kwa kuzingatia sera mpya ya Acacia ya tabia sita (six desired behavior), kama kipimo cha utendaji bora wa kazi ambapo ni pamoja na kushirikiana...

 

5 years ago

BBCSwahili

Wanafunzi wanaojihusisha katika biashara ya ngono kugharamia maisha yao katika vyuo vikuu

Idadi inayoongezeka ya wanafunzi huuza picha za utupu na mengineyo katika mitandao ili kugharamia maisha yao katika vyuo vikuu, utafiti umebaini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jela maisha kwa kumdhalilisha mtoto

MAHAKAMA ya Wilaya ya Mpanda, mkoani Katavi, imemhukumu   Athuman  Mussa (54), mkazi  wa Mtaa wa Nsemlwa Mjini, kifungo  cha maisha jela  baada ya kupatikana  na hatia ya kumwingizia uume  mdomoni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani