WATANO WAOKOLEWA KATIKA MGODI WA NYANGARATA KAHAMA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-xVM5fKF5vog/Vkm6alwY2cI/AAAAAAAIGMg/L9m0GfRIMYQ/s72-c/IMG_5021.jpg)
Na Avila Kakingo, Globu ya Jamii.WATU watano wamepatikana wakiwa hai tangu Oktoba 5 mwaka huu walipofukiwa na kifusi cha mchanga katika mgodi wa wachimba wadogo wa mgodi wa Nyangarata wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, watu hao waligundulika kuwepo ndani ya mgodi hou mita 100 kwenda chini ikiwa mtu mmoja amegundurika kuwa amefariki dunia.
Waliookolewa katika mgodi huo kuwa ni Josef Burule, Chacha Wambura, Msafiri Gerald, Onyiwa Aindo na Amosi Mhangwa pia limtaja aliyefariki dunia ni Mussa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV17 Nov
Wahanga wa mgodi nyangarata wasimulia walivyoweza kuishi kwa siku 41 wakila wa dudu
Wahanga wa maafa ya kufukiwa na kifusi kwenye machimbo ya Nyangarata wilayani Kahama mkoani Shinyanga takribani Siku 41 wakiwa chini ya Ardhi wamesema kuwa waliofanikisha kunusuru maisha yao kwa kula wadudu walipokuwa katika shimo hilo.
Hata hivyo kati ya wahanga 6 mmoja aliyetambulika kwa jina la Mussa Supana alipoteza maisha na watano walinusurika na kulazwa kwenye Hospitali ya Halmashauri ya mji wa Kahama, huku viungo vyao vikiwa vimekakamaa na hali zao bado taabani kufuatia kukosa...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Y6SApilAnvg/Vd1uowHRHII/AAAAAAAAUU4/GX6WAkR_mbU/s72-c/unnamed.jpg)
MGODI WA BUZWAGI WAZINDUA LIGI YA MAHUSIANO-KAHAMA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y6SApilAnvg/Vd1uowHRHII/AAAAAAAAUU4/GX6WAkR_mbU/s640/unnamed.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nzBtT76HSSE/Vd1ugw45l-I/AAAAAAAAUT0/x5viSAzdroY/s640/2.jpg)
10 years ago
Michuzi02 Mar
Halmashauri ya mji wa Kahama yapokea ushuru wa asilimia 0.3 kutoka mgodi wa Buzwagi
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/NB6sqCwNTKOx8u2XS0f7yHFQj2heNcmFueewxrubbkg0wTeWtHoMVt4Z0qUt6AhLwB38VyRNzZ6ha9WFFDFZFklPvlzrIUigyTwWL0PHYoO_ciRN7Fji5JDR1sZBpn2PZYLTSXMUApCXJpZMFEvClBXYZHuZnI79t2XfbPJOIPHU3rohFHnCPGkt5TNTtBE51XDBjb8risgHlDjW9K2zea3skLN7F95yieT65hVhTb6AOAUQjLXmUy-xLHRQcaSLycv63BRL6VGRI47G1yxIpolLl5TsFQv0VCOKgOowizKjL4d4iBVOBn-p_CqRQ9Eor0tav3fub7EOukGSAeepeyGb=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-EGsBeFTGqWk%2FVPHFvusju7I%2FAAAAAAAHGiU%2FLg7RXdKsMuI%2Fs1600%2FUntitledK2.png&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
Michuzi12 Nov
Basi lapiga mweleka huko Kahama leo,watu watano wadaiwa kupoteza maisha
![](https://4.bp.blogspot.com/-4UdQLcd_cNw/VGM-Vk_59aI/AAAAAAAA8qU/fhtL_P02kQ0/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-JIHyBFJkBAU/VGM-V4MPouI/AAAAAAAA8qk/ZPrm0zpqXHY/s640/2.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/--RWJGfcRy28/VGM-Yxf5GaI/AAAAAAAA8qs/IMnLokrzGuU/s640/4.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/AY5n-P37pIWNIEX1GdRWTmrZ00-LUs16X3bkJsRtbFOh*JoeZr9iDuaVnTdAvv0eOkJ94UaAdw3PCw-y67CAk2jpbGWJIkBc/01.jpg?width=650)
WAHAMIAJI 2000 WAOKOLEWA KATIKA BAHARI YA MEDITERRANIAN
10 years ago
Michuzi12 Nov
WATU WATANO WADAIWA KUPOTEZA MAISHA NA WENGINE KUJERUHIWA VIBAYA KUFUATIA AJALI YA BASI LA WIBONELA KUPINDUKA MJINI KAHAMA LEO
![](https://4.bp.blogspot.com/-4UdQLcd_cNw/VGM-Vk_59aI/AAAAAAAA8qU/fhtL_P02kQ0/s640/1.jpg)
10 years ago
MichuziMH. MAHENGE AFANYA ZIARA KATIKA MGODI WA NORTH MARA
5 years ago
BBCSwahili21 Apr
Tunaangazia maisha ya mtoto katika mgodi nchini Ghana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Uzvj5Lh3y4U/VUyvA0uxJ6I/AAAAAAAATU8/J15-BlSrBaE/s72-c/Brad-%2BMpesya.jpg)
DC MPESYA AWAMWAGIA SIFA WAFANYAKAZI MGODI WA BUZWAGI, NI KATIKA SHEREHE ZA KUWAPATIA TUNZO
![](http://4.bp.blogspot.com/-Uzvj5Lh3y4U/VUyvA0uxJ6I/AAAAAAAATU8/J15-BlSrBaE/s640/Brad-%2BMpesya.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, Benson Mpesya, (kushoto), akitoa maelezo wakati wa kumpatia zawadi za kimila, Shuka ya rubega, mkuki na ngao, Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Acacia, Brad Gordon, (kulia), wakati wa hafla ya kuwatunuku wafanyakazi waliohudumu kwa muda mrefu kwenye kampuni hiyo, na wengine 10 walizawadiwa kwa kufanya kazi kwa kuzingatia sera mpya ya Acacia ya tabia sita (six desired behavior), kama kipimo cha utendaji bora wa kazi ambapo ni pamoja na kushirikiana...