Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tunawekeza kwenye migogoro, wenzetu maendeleo

Fainali za Kombe la Dunia zimekwisha. Ujerumani wametwaa ubingwa wa kuifunga Argentina bao 1-0 katika mchezo wa fainali wiki moja iliyopita nchini Brazil.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

‘Migogoro ya ardhi inadumaza maendeleo’

BAADHI ya wakazi wa mji wa Chalinze wilayani Bagamoyo, Pwani wamesema migogoro kati ya wakulima na wafugaji ni chanzo cha kudumaza maendeleo katika maeneo yao. Wananchi hao katika vijiji tofauti...

 

11 years ago

Mwananchi

Profesa Shivji: Migogoro ya ardhi ni adui wa maendeleo ya wananchi

Kwa muda mrefu, Serikali imekuwa ikianzisha mipango, sera, miradi na mikakati mbalimbali yenye lengo kuinua uchumi nchini.

 

11 years ago

Michuzi

Tanzania katika Mkutano wa Kimataifa kuhusu Ukomeshwaji wa Udhalilishaji wa Kijinsia kwenye Maeneo yenye Migogoro

 Mhe. Peter Kallaghe, Balozi wa Tanzania nchini Uingereza akizungumza na  Mhe. Mark Simmonds, Waziri wa Uingereza anayeshughulikia masuala ya Afrika kabla ya ufunguzi wa Mkutano wa Kimataifa kuhusu Ukomeshwaji wa Udhalilishaji wa Kijinsia kwenye Maeneo yenye Migogoro unaoendelea Jijini London, Uingereza.  Kwenye sherehe za ufunguzi, waandaaji wa mkutano huo walisifia nchi zinazochangia kuleta amani kwenye maeneo yenye migogoro duniani . Aidha walisifu hatua ya Tanzania kuwa miongoni mwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Siri ya maendeleo ni kuwekeza kwenye ujuzi

Nianze kwa kukubaliana na nadharia ya maendeleo ya kiuchumi ya ‘O-Ring’ iliyotolewa na mchumi na Professa Michael Kremmer wa Chuo Kikuu cha Havard, mwaka 1993.

 

5 years ago

Michuzi

Mamilioni yatumika kwenye miradi ya maendeleo Udonja 2015-2020

Na Amiri Kilagalila,Njombe . Zaidi ya milioni mia nne ishirini na saba zimetumika katika utekelezaji wa shughuli mbalimbali za kimaendeleo ikiwemo ujenzi wa miundombinu ya shule,barabara na madaraja kwa kipindi cha miaka mitano katika kata ya Udonja wilayani Wanging'ombe Mkoani Njombe

Hayo yamebainishwa na Diwani wa kata ya udonja Hapnes Bomba wakati akisoma taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi kwa miaka mitano, ambapo amesema fedha hizo zimetolewa na serikali,mbunge wa...

 

10 years ago

Mwananchi

JK : Maadili kwenye mifumo ya maendeleo Ni njia ya kuchochea ukuaji wa uchumi

Makamu wa Rais wa Marekani Joe Biden aliwahi kusema kuwa kushinda vita dhidi ya rushwa siyo  kunadhihirisha uwapo wa utawala bora, bali ujasiri na uzalendo wa viongozi wa nchi husika.

 

10 years ago

Mzalendo Zanzibar

NEC yasema wenzetu wametugeuka

Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi akemea hatua ya viongozi wa kisiasa kushawishi wafuasi wao wasiondoke eneo la kupigia kura huku akibainisha ni kinyume cha taratibu.

The post NEC yasema wenzetu wametugeuka appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Dewji Blog

Tanzania yakataa rasmi ndoa za jinsia moja kwenye agenda za maendeleo ya milenia

001

Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa, Wanawake, Anna Collins akitoa hotuba yake wakati akifungua warsha ya siku moja kuhusu Malengo ya Milenia kwa washiriki mbalimbali na kwa kiasi ngani Tanzania imeweza kufikia malengo hayo.iliofanyika Makao Makuu ya Taasisi ya Uchumi na Utafiti wa Kijamii nchini (ESRF) Oktoba 27, 2014 jijini Dar es Salaam.

Na Mwandishi wetu

SERIKALI ya Tanzania imekataa rasmi kutambua ndoa za jinsia moja (ushoga) kama moja ya agenda za maendeleo katika malengo ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Tujifunze umuhimu wa michezo kwa wenzetu

Mashindano ya 13 ya Shirikisho la Shule za Sekondari Afrika Mashariki na Kati (Feasssa) yalifunguliwa jana kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani