Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NEC yasema wenzetu wametugeuka

Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi akemea hatua ya viongozi wa kisiasa kushawishi wafuasi wao wasiondoke eneo la kupigia kura huku akibainisha ni kinyume cha taratibu.

The post NEC yasema wenzetu wametugeuka appeared first on Mzalendo.net.

Mzalendo Zanzibar

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Hatutaahirisha Uchaguzi, yasema NEC

Dar es Salaam. Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema haina mpango wa kutaka kuiongezea muda Serikali ya Awamu ya Nne kwa kuahirisha Uchaguzi Mkuu ambao kikatiba hutakiwa kufanyika Oktoba ya mwaka wa uchaguzi.

 

10 years ago

Habarileo

Kura ya maoni ipo palepale, yasema NEC

TUME ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) imesisitiza kwamba tarehe ya kufanyika kwa kura ya maoni kuhusu Katiba Inayopendekezwa ipo pale pale na hakuna mabadiliko yoyote kama inavyonukuliwa na baadhi ya vyombo vya habari.

 

9 years ago

StarTV

NEC yasema matokeo yatatoka kwa wakati

Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC imewahakikishia wananchi na vyama vya siasa kuwa matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu katika ngazi zote za Udiwani, Ubunge na Urais yatatolewa kwa wakati bila ya mizengwe yoyote.

 NEC imesema imejipanga kuhakikisha kuwa hakuna ucheleweshaji wa matokeo yoyote ya uchaguzi huo kwa kisingizio cha changamoto za mfumo wa uingizaji matokeo kutoka vituoni.

Uthibitisho huo umetolewa jijini Mbeya na Afisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, anayeshughulikia masuala ya...

 

9 years ago

StarTV

Mahakama Kuu yasema maelekezo ya NEC ni sahii ya kutokukaa mita 200.

Mahakama Kuu Maalamu Kanda ya Dar Es Salaam, imemaliza Utata dhidi ya uhalali wa wapiga kura kukaa umbali wa mita 200 kutoka kituo cha kupiga kura baada ya kupiga kura na kusema maelekezo ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi yapo sahihi.

Utata huo umekuja  baada ya Mahakama hiyo kutoa ufafanuzi wa kifungu 104(1) namba 37 ya Mwaka 2015 iliyofunguliwa na Amy Kibatala aliyetaka ufafanuzi wa Tafsiri ya Kifungu cha 104 (1) sura 543 cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi iliyorejewa mwaka 2002 kuhusu kukaa...

 

10 years ago

Mwananchi

Tujifunze umuhimu wa michezo kwa wenzetu

Mashindano ya 13 ya Shirikisho la Shule za Sekondari Afrika Mashariki na Kati (Feasssa) yalifunguliwa jana kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Raia Mwema

Wachina hawa ni wenzetu kweli au Kuomintang?

BAADHI ya wafanyabiashara wa Kichina wamekuwa na tabia ya kuingilia biashara za wazalendo hapa nc

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

Mwananchi

Tunawekeza kwenye migogoro, wenzetu maendeleo

Fainali za Kombe la Dunia zimekwisha. Ujerumani wametwaa ubingwa wa kuifunga Argentina bao 1-0 katika mchezo wa fainali wiki moja iliyopita nchini Brazil.

 

11 years ago

Mwananchi

Wenzetu wameendelea kwa kujali sayansi na teknolojia

Matumizi ya sayansi na teknolojia katika sekta mbalimbali za maendeleo ni muhimu ili kuliwezesha taifa letu lisonge mbele.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Tumedharau michezo, wenzetu wanavuna fedha

>Miezi michache imebaki kabla ya Tanzania kuungana na mataifa mengine zaidi ya 50 ya Afrika kwenye michezo ya bara hili iliyopangwa kufanyika Septemba huko Kongo-Brazaville.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani