Hatutaahirisha Uchaguzi, yasema NEC
Dar es Salaam. Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema haina mpango wa kutaka kuiongezea muda Serikali ya Awamu ya Nne kwa kuahirisha Uchaguzi Mkuu ambao kikatiba hutakiwa kufanyika Oktoba ya mwaka wa uchaguzi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mzalendo Zanzibar18 Oct
NEC yasema wenzetu wametugeuka
Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi akemea hatua ya viongozi wa kisiasa kushawishi wafuasi wao wasiondoke eneo la kupigia kura huku akibainisha ni kinyume cha taratibu.
The post NEC yasema wenzetu wametugeuka appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Habarileo28 Mar
Kura ya maoni ipo palepale, yasema NEC
TUME ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) imesisitiza kwamba tarehe ya kufanyika kwa kura ya maoni kuhusu Katiba Inayopendekezwa ipo pale pale na hakuna mabadiliko yoyote kama inavyonukuliwa na baadhi ya vyombo vya habari.
9 years ago
StarTV30 Sep
NEC yasema matokeo yatatoka kwa wakati
Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC imewahakikishia wananchi na vyama vya siasa kuwa matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu katika ngazi zote za Udiwani, Ubunge na Urais yatatolewa kwa wakati bila ya mizengwe yoyote.
NEC imesema imejipanga kuhakikisha kuwa hakuna ucheleweshaji wa matokeo yoyote ya uchaguzi huo kwa kisingizio cha changamoto za mfumo wa uingizaji matokeo kutoka vituoni.
Uthibitisho huo umetolewa jijini Mbeya na Afisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, anayeshughulikia masuala ya...
9 years ago
StarTV24 Oct
Mahakama Kuu yasema maelekezo ya NEC ni sahii ya kutokukaa mita 200.
Mahakama Kuu Maalamu Kanda ya Dar Es Salaam, imemaliza Utata dhidi ya uhalali wa wapiga kura kukaa umbali wa mita 200 kutoka kituo cha kupiga kura baada ya kupiga kura na kusema maelekezo ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi yapo sahihi.
Utata huo umekuja baada ya Mahakama hiyo kutoa ufafanuzi wa kifungu 104(1) namba 37 ya Mwaka 2015 iliyofunguliwa na Amy Kibatala aliyetaka ufafanuzi wa Tafsiri ya Kifungu cha 104 (1) sura 543 cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi iliyorejewa mwaka 2002 kuhusu kukaa...
9 years ago
StarTV21 Sep
Serikali yasema uchaguzi utakuwa huru na haki
Serikali imesema itahakikisha Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu unakuwa huru na wa haki ili kuwawezesha Watanzania kuitumia vyema haki yao ya kidemokrasia kwa kuchagua viongozi wanaowataka.
Makamu wa Rais Dokta Mohammed Gharib Bilal amesema Serikali haitakubali kuona uchaguzi wa mwaka huu unakuwa chanzo cha kuvurugika kwa amani ya nchi hivyo itahakikisha unafanyika kwa amani na utulivu kote nchini.
Makamu wa Rais, Dokta Mohammed Gharib Bilal, amewatoa hofu watanzania katika ibada ya kumweka...
9 years ago
StarTV09 Nov
CUF yasema haina mpango wa kurejea uchaguzi
Uongozi wa baraza kuu la chama cha wananchi CUF limesema halina mpango wa kurejea uchaguzi mkuu uliofutwa na mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi Zanzibar kwani kufutwa kwake hakukuzingatia katiba na sheria za uchaguzi.
Wamesema wanachosubiri ni kuheshimu katiba na maamuzi ya jumuiya za kimataifa kwa kukamilisha taratibu zilizobaki kwa tume na kumtangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika oktoba 25 mwaka huu.
Akizungumza na wanahabari visiwani Zanzibar mwenyekiti wa kamati ya uongozi wa CUF Twaha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-L8hacTk3Wzk/XnWp5mvfN7I/AAAAAAALkmE/Qm-qdGkovFciHUJxQVVgow0vkgJQ7EvYwCLcBGAsYHQ/s72-c/4bpl109c1a5461109ak_800C450.jpg)
Serikali ya Guinea yasema ugonjwa wa corona hautazuia uchaguzi
![](https://1.bp.blogspot.com/-L8hacTk3Wzk/XnWp5mvfN7I/AAAAAAALkmE/Qm-qdGkovFciHUJxQVVgow0vkgJQ7EvYwCLcBGAsYHQ/s640/4bpl109c1a5461109ak_800C450.jpg)
Aidha wapinzani wanautazama uchaguzi huo ambao utafanyika kesho Jumapili kuwa mbinu za rais Alpha Condé ambaye anataka kubadilisha katiba ili aweze kuwania muhula wa tatu kinyume cha sheria ya sasa.
Ingawa katiba mpya ambayo inatazamiwa kuidhinishwa katika kura ya maoni ina kipengee cha...
10 years ago
GPL25 Apr
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uY3PJt2fxPwp5aKjOxMuL1MFPgklQfF2-c0xEW1kOcTMwKaBEzJ8XiELkMW7AQk2Y*DVB6j4x2WAjZp6SYR7jxOtAWuIWQfC/NEC_BANNER2.gif?width=640)
NEC YATANGAZA UCHAGUZI KATA 27