Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tusisahau, mavazi haya yanaakisi pia utu wetu

Kwa wiki mbili mfululizo nimegeuka na pengine kuwa kungwi, manju hasa kutokana na mada hii ya mavazi yenye staha au yasiyo na maadili ambayo nimekuwa nikiidurusu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Kajala: Mavazi ya Mama Haya Halibu Tabia ya Mtoto!!

"Naomba niwaulize binadamu alie kwambia mimi nikivaa hivi nitamuhalibu mtoto nani ? acheni akili za kijinga kwasababu wengi wetu tunajua kabisa mtoto hawi na tabia mbaya kwasababu anamuona mama yake kavaa dira au tumbo wazi sisi zamani wazazi wetu walikuwa wanavaa hivi lakini mbona tuliwasumbua mnaboa na kukera pia kama mtoto wangu atahalibika kisa kaniona mimi nimevaa tumbo wazi utakuwa ni umbumbu wake na ujinga wake lakini sidhani kama mavazi yanamualibu mtoto naisi nimalezi peke yake...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Mavazi haya yawatokea puani Sauti Sol, yafanya Wakenya wawaite ‘mashoga’

Sauti sol3

Kundi la Sauti Sol la nchini Kenya limejikuta likikabiliana na mashambulizi kutoka kwa mashabiki wao, baada ya kutinga mavazi ambayo yameleta tafsiri tofauti kiasi cha kusababisha wengi wazungumzie zaidi mavazi tena kwa mtazamo hasi, badala ya onesho walilofanya.

sauti neti

Mashabiki wa muziki wa Kenya wameyabatiza jina mavazi hayo na kuyaita ‘mavazi ya neti za mbu’, na wengine kudiriki hata kusema yamefanya waonekanae kama ‘mashoga’.

Mavazi hayo waliyavaa kwenye onesho la Mega Party Shanzu Teachers...

 

10 years ago

Vijimambo

MBUNIFU WA MAVAZI WA KIMATAIFA SHERIA NGOWI AFUNIKA KATIKA MAONYESHO YA MAVAZI YA 'MERCEDES BENZ FASHION WEEK AFRICA 2014' NCHINI AFRIKA KUSINI

Na Mwandishi wetuMbunifu wa kimataifa wa mavazi kutoka Tanzania, Sheria Ngowi amedhihirisha kuwa yeye ni nguli katika ubunifu baada ya kufinika katika onyesho la mavazi la kimataifa lijulikanalo kama Mercedes Benz Fashion Week Africa 2014 lililofanyika juzi Ijumaa mjini Johannesburg, Afrika Kusini.Ngowi alionyesha mkusanyiko wa mavazi aliyoyaita 'PRIDE' yaani kujivunia, kama moja ya njia za kumuenzi Baba wa Taifa, Mwl. Julius Nyerere pamoja na viongozi mashuhuri waliopigania uhuru...

 

10 years ago

Vijimambo

Makamo mwenyekiti wa UTU kuwasili Tanzania

Makamo mwenyekiti wa Umoja wa Watanzania Ujerumani UTU e.V Mheshimiwa Peter Kazaura kuwasili nchini Tanzania Kesho 02.02.2015 kwa ajili ya kufanya mazungumzo na kiongozi wa juu wa Taifa. akiwa Tanzania atafanya mazungumzo na uongozi wa mashirika yafuatayo TIC, Basata, Wizara ya Ardhi, NSSF, NHC, Tanzania Diaspora Initiative na Wizara ya Utamaduni Michezo na Vijana.
Mazungumzo hayo yatalenga upatikanaji wa Fursa zilizopo Tanzania kwa Diaspora. akiendelea kueleza msemaji wa Umoja huo...

 

11 years ago

Mwananchi

Utu ni zaidi ya fedha na mali zako

Juzi, nilikutana na mama mmoja aliyewahi kuwa mwenye nyumba wetu miaka ya nyuma wakati ningali binti mdogo.

 

5 years ago

Michuzi

UKEKETAJI HUONDOA UTU NA HADHI YA MWANAMKE

Na.Vero Ignatus,Arusha
Jamii imetakiwa kuondoka na na dhana potofu ya kumkeketa mtoto wa kike na kumuondolea hadhi na utu wake kama Mungu alivyomuumba badala yake wabadilike na kukemea kitendo hicho kwani ni ukiukaji wa haki za kibinadamu
Ukeketaji unawaathiri wasichana na wanawake kwa asilimia kubwa pia kitendo hicho kinadhoofisha uchumi pamoja na nguvu kazi, unaathiri afya ya mwili na akili za kwa wanawake wanaokeketwa hivyo jamii inapaswa kuungana ili kupinga kitendo hicho
Hayo yamesemwa na...

 

11 years ago

BBCSwahili

Shambulio lakiuka utu, asema Ban Ki Moon

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, alaani shambulio dhidi ya shule ya Umoja wa Mataifa kusini mwa Gaza

 

9 years ago

Bongo5

Music: Nakaaya Ft. Dunga — Utu Uzima Dawa

Wimbo mpya wa Nakaya unaitwa “Utu Uzima Dawa” amemshirikisha Dunga Producer Lamar Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Africanjam.Com

NEW MUSIC: NAKAAYA - UTU UZIMA DAWA ft. DUNGA (Download)


"Its a song expressing my freedom from the chains that held me back as a woman and an individual. Its a song reminding me of my mothers advice.It does not matter how many times or how hard you fall. Its how you get yourself back up. I am now a proud single mom, happy and thankful to have and to raise my soldier alone. In truth utu uzima dawa. You live and you learn."- Nakaaya


Africanjam is website that came into service December 2013(with another domain) and on April 2014 the new domain...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani