Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tuwanyime kura wanasiasa uchwara

NAWEZA kusema bila uwoga, akili ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa sasa imewekeza kwenye kupambana na Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kwa gharama yoyote bila kujua kuwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wanasiasa wabuni mbinu ya ‘kuchota’ wapiga kura

Dar es Salaam. Kuna kila dalili kuwa wanasiasa nchini wamebuni mbinu mpya ya kuzitumia klabu za mbio za pole maarufu kama ‘jogging’ kutekeleza mikakati ya kisiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu, mwaka huu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tukigomea mikataba uchwara

NIANZE kwa kuwashukuru wasomaji wa safu hii inayotoka kila Jumamosi, kwa namna wanavyoshiriki kuchangia mawazo na wengine wengi kunipongeza. Na katika hilo, nipende kuwashukuru wale wote walioeleza kwa hisia kali...

 

10 years ago

Mwananchi

Hatuhitaji madalali uchwara katika soka

Mmoja wa madalali bora wa soka duniani Jorge Mendes, akihojiwa na kituo cha habari cha BBC aliwahi kunena kuwa watu hawajui lolote kuhusu udalali wa soka na ndiyo maana hubaki kuwashutumu tu.

 

11 years ago

Habarileo

'Siasa uchwara ni hatari kwa nchi'

WASOMI, wanadiplomasia na viongozi wa dini wameasa wanasiasa kuwa makini na usalama wa taifa kwa kuhakikisha tofauti za vyama vyao, hazidhoofishi utaifa na maslahi ya nchi. Wamehadharisha juu ya kile kilichoitwa ‘siasa uchwara’ na propaganda, wakisema ikifika hatua ya wanasiasa kuonesha tofauti hadharani juu ya masuala yanayogusa maslahi na usalama wa nchi, ni jambo la hatari na haileti picha nzuri usoni mwa mataifa mengine.

 

9 years ago

Raia Mwema

Je, ishara ya ukomavu wa demokrasia au dalili za kansa ya siasa uchwara?

TOFAUTI kubwa ya msimu huu wa uchaguzi na misimu mingine iliyopita ni kishindo kilichosababishwa

Bashiru Ally

 

10 years ago

Dewji Blog

TCRA izimulike blogs ‘Uchwara’ na kuzichukulia hatua kali

11039142_10200327749914253_7953568182828634952_n

“Screen shot” ikionyesha moja ya habari zilizorushwa kwenye moja ya blog uchwara kuhusiana na taarifa za uzushi wa kifo cha mchungaji Gwajima.

…Ni zile zinazoandika habari za uongo, matusi

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Miongoni mwa mambo ambayo Tanzania tunapitia kwa sasa ni pamoja na teknolojia  mbalimbali ikiwemo mawasiliano ya simu, intaneti  vyombo vya habari na mengine mengi,  Lakini mawasiliano hayo kwa sasa ikiwemo Intaneti wapo wanayoyatumia vibaya.

Kupitia  BLOG, mtandao ambao...

 

10 years ago

Vijimambo

TAHARIRI: TCRA IZIMULIKE BLOGS ‘UCHWARA’ NA KUZICHUKULIA HATUA KALI

Ni zile zinazoandika habari za uongo, matusi11039142_10200327749914253_7953568182828634952_n"Screen shot" ikionyesha moja ya habari zilizorushwa kwenye moja ya blog uchwara kuhusiana na taarifa za uzushi wa kifo cha mchungaji Gwajima.1Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Profesa John Nkoma.

Na Andrew Chale wa Modewji blogMiongoni mwa mambo ambayo Tanzania tunapitia kwa sasa ni pamoja na teknolojia mbalimbali ikiwemo mawasiliano ya simu, intaneti vyombo vya habari na mengine mengi, Lakini mawasiliano hayo kwa sasa...

 

10 years ago

GPL

TAHARIRI: TCRA IZIMULIKE BLOGS ‘UCHWARA’ NA KUZICHUKULIA HATUA KALI‏

"Screen shot" ikionyesha moja ya habari zilizorushwa kwenye moja ya blog uchwara kuhusiana na taarifa za uzushi wa kifo cha mchungaji Gwajima. …Ni zile zinazoandika habari za uongo, matusi Na Andrew Chale wa Modewji blog Miongoni mwa mambo ambayo Tanzania tunapitia kwa sasa ni pamoja na teknolojia mbalimbali ikiwemo mawasiliano ya simu, intaneti vyombo vya habari na mengine mengi, Lakini mawasiliano hayo kwa sasa ikiwemo...

 

9 years ago

Mwananchi

Waliopoteza kadi zao za kupigia kura hawataruhusiwa kupiga kura

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema wapiga kura waliopoteza kadi zao za kupigia kura hawataruhusiwa kupiga kura katika uchaguzi utakaofanyika nchini kote siku ya Jumapili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani