Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hatuhitaji madalali uchwara katika soka

Mmoja wa madalali bora wa soka duniani Jorge Mendes, akihojiwa na kituo cha habari cha BBC aliwahi kunena kuwa watu hawajui lolote kuhusu udalali wa soka na ndiyo maana hubaki kuwashutumu tu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria:Hatuhitaji msaada wa UN

Nigeria imesema haihitaji msaada wa Vikosi vya Umoja wa Mataifa kupambana na Boko Haram

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Hatuhitaji madaraka tunawakilisha wafugaji’

KUNDI la wafugaji limesema halihitaji madaraka ndani ya Bunge Maalumu la Katiba bali wanahitaji kufanya kazi ya kuwakilisha kundi hilo ili litambulike kwenye Katiba. Akizungumza na Tanzania Daima bungeni jana...

 

10 years ago

Mwananchi

HOJA YA UCHUMI: Hatuhitaji kusubiri rais mpya kuiokoa shilingi

Mwishoni mwa wiki iliyopita nilipata fursa ya kubadilisha kiasi kidogo cha  fedha za kigeni katika moja ya maduka ya kubadilishia fedha  Kariakoo jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tukigomea mikataba uchwara

NIANZE kwa kuwashukuru wasomaji wa safu hii inayotoka kila Jumamosi, kwa namna wanavyoshiriki kuchangia mawazo na wengine wengi kunipongeza. Na katika hilo, nipende kuwashukuru wale wote walioeleza kwa hisia kali...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tuwanyime kura wanasiasa uchwara

NAWEZA kusema bila uwoga, akili ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa sasa imewekeza kwenye kupambana na Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kwa gharama yoyote bila kujua kuwa...

 

11 years ago

Habarileo

'Siasa uchwara ni hatari kwa nchi'

WASOMI, wanadiplomasia na viongozi wa dini wameasa wanasiasa kuwa makini na usalama wa taifa kwa kuhakikisha tofauti za vyama vyao, hazidhoofishi utaifa na maslahi ya nchi. Wamehadharisha juu ya kile kilichoitwa ‘siasa uchwara’ na propaganda, wakisema ikifika hatua ya wanasiasa kuonesha tofauti hadharani juu ya masuala yanayogusa maslahi na usalama wa nchi, ni jambo la hatari na haileti picha nzuri usoni mwa mataifa mengine.

 

11 years ago

Mwananchi

NHC: Kuweni makini na madalali

Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) limewatahadharisha wananchi kujiepusha na watu wanaojifanya madalali katika utoaji wa nyumba zake mpya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wataka madalali wa mazao wadhibitiwe

SERIKALI imetakiwa kuwadhibiti madalali wa mazao ya shambani kwa kuwa ni maadui wanaosababisha kudidimiza kipato cha wakulima. Ushauri huo umetolewa na mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Kisua...

 

10 years ago

Habarileo

CCM yakaripia viongozi madalali

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman KinanaCHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka viongozi wake walioanza kuwatembeza watu wenye nia ya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu, kuacha mara moja kwa kuwa wanakiuka kanuni za viongozi na maadili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani