Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nigeria:Hatuhitaji msaada wa UN

Nigeria imesema haihitaji msaada wa Vikosi vya Umoja wa Mataifa kupambana na Boko Haram

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

‘Hatuhitaji madaraka tunawakilisha wafugaji’

KUNDI la wafugaji limesema halihitaji madaraka ndani ya Bunge Maalumu la Katiba bali wanahitaji kufanya kazi ya kuwakilisha kundi hilo ili litambulike kwenye Katiba. Akizungumza na Tanzania Daima bungeni jana...

 

10 years ago

Mwananchi

Hatuhitaji madalali uchwara katika soka

Mmoja wa madalali bora wa soka duniani Jorge Mendes, akihojiwa na kituo cha habari cha BBC aliwahi kunena kuwa watu hawajui lolote kuhusu udalali wa soka na ndiyo maana hubaki kuwashutumu tu.

 

9 years ago

Mwananchi

HOJA YA UCHUMI: Hatuhitaji kusubiri rais mpya kuiokoa shilingi

Mwishoni mwa wiki iliyopita nilipata fursa ya kubadilisha kiasi kidogo cha  fedha za kigeni katika moja ya maduka ya kubadilishia fedha  Kariakoo jijini Dar es Salaam.

 

9 years ago

Michuzi

DJ WA NIGERIA KUFANYA ONYESHO NA KUTOA MSAADA KWAJAMII JIJINI DAR ES SALAAM

 Mtengenezaji wa muziki, mtunzi wa nyimbo na DJ raia wa Nigeria anayefanya kazi zake nchini Marekani Bi.Florence Ifeoluwa maarufu kama DJ Cuppy akizungumza na waandishi wa habari katika hoteli ya Slipway jijini Dar  es Salaam.Baadhi ya wa habari wakiwa na Dj Mtengenezaji wa muziki, mtunzi wa nyimbo na DJ raia Nigeria katika hoteli ya Silpway jijini Dar es salaam.DJ Cuppy.
 MTENGENEZAJI wa muziki, mtunzi wa nyimbo na DJ raia wa Nigeria anayefanya kazi zake nchini Marekani Bi.Florence...

 

10 years ago

Michuzi

OMBI LA MSAADA WA HALI NA MALI ; KIJANA ABEL MACHANGA ANAHITAJI MSAADA WA MATIBABU

Kijana Abel Machanga mwenye umri wa miaka 24 amelazwa Hospital ya Taifa Muhimbili Wodi ya Sewahaji,chumba namba 19,Kitanda namba 28 kwa tatizo la uvimbe kwenye ubongo ambalo limesababisha macho yake kutoka nje.
Familia inaomba msaada wa wasamaria wema ili kugharamia matibabu ya Abel kutokana kuwa gharama za matibabu ni kubwa kuliko uwezo wa familia.


Kwa yeyote atakayetakayeguswa na taarifa hii, anakaribishwa kumtembelea Abel Hospitalini ili kukutana naye na kusikia kilio chake Kwa mlio mbali,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani