Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TUZO ZA KILI 2013/14: RIPOTI KAMILI

Stori: waandishi wetu Mwisho wa ubishi! Hatimaye kile kinyang’anyiro cha Tuzo za Muziki za Kilimanjaro 2013/14 kimefikia tamati wikiendi iliyopita kwenye Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar, Ijumaa Wikienda lina ripoti kamili ya matokeo na kilichojiri nyuma ya pazia. Mshindi wa tuzo saba za KTMA Diamond akikabidhiwa tuzo na staa wa filamu Bongo, Vincent Kigosi 'Ray'. NANI KASHINDA TUZO GANI?
Tuzo ya kwanza ilikuwa ni...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

ORODHA KAMILI YA WANAOWANIA TUZO ZA TASWA 2013/2014

 KAMATI ya Kusimamia Tuzo za Wanamichezo Bora Tanzania zinazotolewa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) ilikutana Dar es Salaam jana na kupitia majina ya wanamichezo waliopendekezwa kuwania tuzo hizo. Tuzo itafanyika Desemba 12 mwaka huu ukumbi wa Diamond, Jubilee (VIP), Dar es Salaam, ambapo wanamichezo mbalimbali waliofanya vizuri kati ya Juni 2013 hadi Juni 2014 watakabidhiwa tuzo zao. Ni imani yetu kwamba zaidi ya wanamichezo 40 watakabidhiwa tuzo zao siku hiyo,...

 

11 years ago

GPL

RIPOTI KAMILI

Stori: Joseph Shaluwa na Erick Evarist
MASKINI! Stori zilizozagaa mitaani kuhusu mali za aliyekuwa mkali wa sinema za Kibongo, marehemu Steven Kanumba zinasema kuwa, zimeuzwa na kampuni aliyoiacha, Kanumba The Great Film imefilisika, Ijumaa Wikienda linakupa ripoti iliyoshiba. Marehemu Steven Kanumba. Habari zinadai kuwa baada ya kifo cha Kanumba Aprili 7, 2012, mali alizoziacha zinafujwa, hakuna utaratibu mzuri wa kusimamia...

 

11 years ago

Michuzi

Orodha kamili ya washindi wa Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2013

Ankal akimkabidhi Tuzo Mtunzi bora wa mwaka bendi Christian Bella.  Ankal akila selfie na Jose Mara aliyeibuka Mwimbaji Bora wa Bendi wa Kiume Ankal na DJ Bonny Love na mdau wakiwa na mshindi wa Wimbo bora wa Afrika Mashariki  Jose Chameleone aliyeibuka kidedea kwa kibao chake cha "Tubonge" (BOFYA HAPA uusikie).
1.Wimbo bora wenye vionjo vya asili ya Tanzania ilichukuliwa na wimbo wa Bora Mchawi (Dar Bongo Massive). 2.Msanii Bora chipukizi (Young Killer). 3. Wimbo bora wa Zouk...

 

10 years ago

CloudsFM

RIPOTI KAMILI YA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM KUJULIKANA LEO

Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete (kulia) akizungumza jambo na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM,Ndugu Adam Kimbisa,wakati akitoka nje mara baada ya kumaliza kikao cha kawaida cha Kamati Kuu ya CCM Taifa usiku huu,kilichofanyika jana katika ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Unguja,Zanzibar,kikao hicho kilianza mnamo majira ya saa sita mchana na kumalizika usiku mnamo saa mbili na ushehe hivi huku mambo mbalimbali yakiwa yamejadiliwa...

 

10 years ago

Michuzi

RIPOTI KAMILI YA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM KUJULIKANA KESHO.

 Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete (kulia) akizungumza jambo na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM,Ndugu Adam Kimbisa,wakati akitoka nje mara baada ya kumaliza kikao cha kawaida cha Kamati Kuu ya CCM Taifa usiku huu,kilichofanyika leo katika ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Unguja,Zanzibar,kikao hicho kilianza mnamo majira ya saa sita mchana na kumalizika usiku mnamo saa mbili na ushehe hivi huku mambo mbalimbali yakiwa...

 

11 years ago

GPL

WANAOWANIA TUZO ZA KILI 2014

Baraza la sanaa Tanzania (BASATA) limetangaza rasmi matokeo ya mchakato wa kuwapata wateule rasmi yaani ‘nominees’ wa vipengele 34 vya tuzo za muziki Tanzania. Kabla ya kuanza kutajwa kwa wanaowania tuzo za KTMA 2014, BASATA ilitangaza nyimbo ambazo zimetolewa kwenye kuwania tuzo hizi kutokana na sababu za kimaudhui Uzuri wako ya Jux, Nimevurugwa ya Snura na Tema mate tuwachape Madee.… ...

 

11 years ago

Mwananchi

Tuzo za Kili zazinduliwa rasmi

Tuzo za Muziki, maarufu ‘Kilimanjaro Music Award’ zimezinduliwa rasmi jana na zitafikia kilele chake Mei 3 kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani