TWIGA BANCORP YAENDELEA KUTOA HUDUMA ZAKE NDANI YA VIWANJA VYA SABA SABA JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-QQ1zc74cOq4/U7UbuwEDMTI/AAAAAAAFugs/SrSH7WpbF88/s1600/IMG_1475.jpg)
Katika kuboresha huduma za kibenki Twiga Bancorp,Afisa wa Benki hiyo,pichani kati Bi Tuddy Lutengano akimhudumia mteja pichani kulia katika banda lao lililopo kwenye maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa yanayofanyika katika viwanja vya Mwl.Julius Nyerere,Shoto ni Meneja wa Tawi lililopo ndani ya Maonyesho hayo,Bi. Upendo Tendewa akihakikisha huduma bora za kibenki zinafanyika na kukidhi haja kwa  wateja wao.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-QQ1zc74cOq4/U7UbuwEDMTI/AAAAAAAFugs/SrSH7WpbF88/s72-c/IMG_1475.jpg)
TWIGA BANCORP YAENDELEA KUTOA HUDUMA ZAKE NDANI YA VIWANJA VYA SABA SABA JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-QQ1zc74cOq4/U7UbuwEDMTI/AAAAAAAFugs/SrSH7WpbF88/s1600/IMG_1475.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JPI3LYgN3ig/U7Ub7dP9A5I/AAAAAAAFug4/veNbzuNehkE/s1600/IMG_1506.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XKo1MKumsZY/U7W-sN49P3I/AAAAAAAA8xY/1hnzCW-2qiQ/s72-c/IMG_0668.jpg)
ACCESS BANK YAWAKARIBISHA MPATE HUDUMA ZAKE NDANI YA VIWANJA VYA SABA SABA JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-XKo1MKumsZY/U7W-sN49P3I/AAAAAAAA8xY/1hnzCW-2qiQ/s1600/IMG_0668.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-aUguGqxFHBo/U7W9pb5HU-I/AAAAAAAA8ww/5VfeSP6SZQ8/s1600/IMG_0647.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cPxyADPemPI/U7W-U6eAsEI/AAAAAAAA8xA/Gz2NsanCC1Y/s1600/IMG_0657.jpg)
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-eF1Ms3pplEA/U7W8mZsUPXI/AAAAAAAA8wg/QogmP8Rz42I/s1600/IMG_0645.jpg)
ACCESS BANK YAWAKARIBISHA KUPATA HUDUMA ZAKE NDANI YA VIWANJA VYA SABA SABA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-RTpMXmPQyLg/U7kvqdIFBiI/AAAAAAACk0Q/7tA1Dlf8yLM/s72-c/1.jpg)
10 years ago
Vijimambo29 Jun
WADAU WA MODEWJI BLOG WAJUMUIKA KUSHEREHEKEA MIAKA 7 YA MTANDAO HUO NDANI YA VIWANJA VYA SABA SABA
![IMG_5219](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5219.jpg)
Mdau wa modewjiblog, Ray the hustler (kushoto) aliyeambatana ndugu zake kutembelea banda la Modewjiblog katika picha ya pamoja na Mwandishi wa habari mwandamizi wa mtandao wa Modewjiblog, Andrew Chale.
![DSC_0582](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/DSC_0582.jpg)
Afisa Masoko wa taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu iliyochini ya Wizara ya Fedha, (UTT-PID), Kilave Atenaka (katikati) pamoja na Afisa kutoka taasisi hiyo Beatrice Ngode waki-show love na T-shirts za modewjiblog walizokabidhiwa walipotembelea banda la modewjiblog na kujionea shughuli...
10 years ago
Dewji Blog29 Jun
Wadau wa Modewji blog wajumuika kusherehekea miaka 7 ya mtandao huo ndani ya viwanja vya Saba Saba
Mdau wa modewjiblog, Ray the hustler (kushoto) aliyeambatana ndugu zake kutembelea banda la Modewjiblog katika picha ya pamoja na Mwandishi wa habari mwandamizi wa mtandao wa Modewjiblog, Andrew Chale.
Na Modewjiblog team
Shamra shamra za miaka Saba za mtandao wa habari nchini wa Modewji blog tayari zimeanza kurindima ndani ya banda la MeTL Group lililopo kwenye maonyesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yaliyoanza jana kwenye mabanda ya SabaSaba katika viwanja vya Mwalimu...
11 years ago
Dewji Blog10 Jul
FASTJET katika maonesho ya 38 ya Biashara viwanja vya Saba Saba†Jijini Dar
Mmoja wa wateja wa Fastjet akipata maelezo ya huduma ya kununua Tiketi ya Ndege kupitia Mtandao wa simu.
Afisa Mahusiano na Masoko wa Fastjet, Lucy Mbogoro akitoa maelezo katika banda la Fastjet “Fastjet ni shirika ambalo linatoa huduma za usafiri wa ndege kwa bei ya chini kabisa, daima tunawajali wateja wetu na ndio maana tumewasogezea huduma karibu na walipo”
“Fastjet ni nzuri sana, ni watu wanaojali wateja, wanawasikiliza sana wateja wao kama sisi Wachungaji lakini kwa kweli ni...
11 years ago
Dewji Blog07 Jul
TWIGA BANCORP yajivunia kuwa taasisi ya kifedha inayoongoza kutoa huduma bora za kibenki
Wafanyakazi wa Benki ya Twiga Bancorp wakiwa katika picha ya pamoja nje ya banda lao mapema leo, kwenye maonesho ya 38 ya biashara ya kimataifa jijini Dar es Salaam.
Mama Mjasiliamali wa kampuni ya Tree of Life, Bi.Jessica Msamba akifafanua jambo kwa Afisa Masoko wa Twiga Bancorp,Bwa.Adalbert Alchard mapema leo mchana kwenye maonesho ya 38 ya biashara ya kimataifa jijini Dar es Salaam.Bi Jesca ni mmoja wa wateja wakubwa wa benki hiyo na amekuwa akiendesha biashara zake za ujasiliamali...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0FhaKQUtkXg/U7qZqaQpggI/AAAAAAACk94/NBA3j1UDLQg/s72-c/IMG_2937.jpg)
TWIGA BANCORP BENKI YENYE DIRA YA KUWA TAASISI YA KIFEDHA INAYOONGOZA KUTOA HUDUMA BORA ZA KIBENKI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-0FhaKQUtkXg/U7qZqaQpggI/AAAAAAACk94/NBA3j1UDLQg/s1600/IMG_2937.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3UHRwsBtlN0/U7qZsXA348I/AAAAAAACk-E/uycPtAvIYW0/s1600/IMG_2762.jpg)