Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uchambuzi: Kwanini tunahisi habari ya moto katika jumba la Big Brother Africa ni ‘kiki’

Ni kweli jumba la Big Brother Africa lililopo jijini Johannesburg, Afrika Kusini limeungua? Ni kweli msimu wa tisa uitwao Hotshots hautazinduliwa Jumapili kama ilivyopangwa? Hayo ni maswali mawili makubwa wapenzi wa shindano hilo maarufu barani Afrika wanaendelea kujiuliza hadi sasa bila kupata majibu. Uhalisia ni kwamba wengi wameiamini habari hii hasa kwakuwa imeandikwa na vyombo […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Jumba la Big Brother Africa lateketea kwa moto, uzinduzi wa msimu mpya waahirishwa

Moto mkubwa umezuka kwenye jumba la Big Brother Africa Hotshots katika studio za Sasani jijini Johannesburg, Afrika Kusini na hivyo kuahirishwa kwa kuanza msimu mpya uliokuwa uzinduliwe Jumapili hii, September 7. Jumba la Big Brother likitekea kwa moto Hakuna aliyeumia kutokana na moto huo uliotokea kwenye studio hizo zilizopo Highlands North jijini Johannesburg Jumannne hii. […]

 

10 years ago

Vijimambo

MPIGIE KURA IDRIS KUBAKI KWENYE JUMBA LA BIG BROTHER AFRICA

BOFYA HAPO JUU VOTE AU PIGA KURA KISHA CHAGUA JINA LA IDRIS PIGA KURA YAKO HAPO MOJA KWA MOJA. PIA UNAWEZA KUMPIGIA KURA KWA UJUMBE MFUPI WA MAANDISHI YAANI SMS ANDIKA NENO VOTE IDRIS TUMA KWENDA NAMBA 15426 MPIGIE KURA MARA NYINGI UWEZAVYO

 

10 years ago

Bongo5

Big Brother Africa ‘Hot Shots’ kufanyika Uingereza kwenye nyumba ya ‘Big Brother ya UK’?

Kuna habari mpya zinazosema kuwa kuna uwezekano shindano la Big Brother Africa ‘Hot Shots’ likahamishiwa jijini London, Uingereza baada ya nyumba ya Afrika Kusini iliyokuwa imeandaliwa kwaajili ya msimu wa tisa kuungua wiki iliyopita na kupelekea uzinduzi uliokuwa umepangwa kufanyika Jumapili iliyopita (September 7) kuahirishwa. Taarifa hiyo ambayo bado haijathibitishwa imetolewa kupitia ukurasa rasmi wa […]

 

11 years ago

Michuzi

The ninth edition of Africa’s biggest reality series BIG BROTHER AFRICA kicks off in September

The ninth edition of Africa’s biggest reality series BIG BROTHER AFRICA kicks off in September. Unlike previous years, this year’s entry process is slightly different as potential housemates are invited to come in their numbers for auditions in their respective country venues.
“We are very grateful and remain pleasantly surprised by the overwhelming response that the show has been receiving over the years. We look forward to the selection of our potential housemates coming in large numbers...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani