UCHAMBUZI LIGI KUU BARA: Yanga itakuwa ile ile na mafanikio zaidi
Ni wakati wa Yanga kujipambanua na kuishi kutokana na ubora wake na uwingi wake wa mashabiki ilionao sehemu mbalimbali nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi05 Oct
Simba gonjwa ile ile, Yanga leo
 Jahazi la Simba limeendelea kuyumba baada ya jana kulazimisha sare 1-1 na Stand United kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, wakati watani zao Yanga wenyewe watashuka uwanjani hapo kuivaa JKT Ruvu.
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-frRQoYBPWu0/VJlMmgKeWDI/AAAAAAAABwo/KdEXivZ29KU/s72-c/page%2B24.jpg)
10 years ago
Habarileo16 Jun
Kikwete: Sera ya Nje Tanzania itabakia ile ile
RAIS Jakaya Kikwete amesema siasa za nchi za nje na misingi mikuu ya kuongoza mahusiano ya Tanzania na nchi za kigeni haitabadilika hata baada ya yeye kuondoka madarakani baadaye mwaka huu.
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-Cbz8fPHadls/U_yE0rgkbxI/AAAAAAAABiw/ghGkaz_N370/s72-c/PAGE%2B24.jpg)
10 years ago
VijimamboMAAJABU YA KIFO CHA MAMA YAO AKINA MWAIBALE ALIFARIKI SIKU ILE ILE ALIYOZALIWA
Asubuhi ya Disemba 13, 1940 huko katika kijiji cha Katumba wilayani Rungwe, familia ya mzee Mafumu Mlagha ilikuwa katika furaha kwa kumpata mtoto wa kike baada ya kiu ya muda mrefu ya kuwa na mtoto wa kike.
Ilikuwa ni siku ambayo familia hii ilibahatika kuwa na mtoto wa kike waliyempa jina la Twitikege.
Anga la kijiji cha Katumba lenye jua lililowakia mandhari nzuri ya kijani kwenye kijiji kilichoshamiri kilimo cha Migomba na Chai binti wa kike
alizaliwa,Ndege wa angani na...
9 years ago
Mwananchi10 Sep
UCHAMBUZI LIGI KUU BARA : Ndanda kuchele kweli au giza litaendelea?
Mwandishi mashuhuri wa zamani wa vitabu vya upelelezi, Mmarekani James Hadley Chase aliwahi kuandika kitabu alichokiita ‘The way the Cookie crumbles’. Ndani ya hadithi alikuwa anafumbia jinsi ambavyo biskuti tamu ilikaribia kuanguka wakati ikielekea mdomoni.
9 years ago
Mwananchi09 Sep
UCHAMBUZI LIGI KUU BARA: Mgambo hukumbuka buti dakika za majeruhi
Unahitaji roho ya ajabu kuwa shabiki wa damu wa timu ya Mgambo ya Tanga. Kwa msimu wa pili mfululizo imefanikiwa ‘kuondoka katika chumba cha wagonjwa mahututi sekunde chache kabla ya daktari hajakata tamaa’.
9 years ago
Mwananchi11 Sep
UCHAMBUZI LIGI KUU BARA: Majimaji FC imepandishwa na Mswahili, itashushwa na Mzungu?
Mpira unazidi kurudi katika nyumba zake na Songea ni moja kati ya nyumba za soka ambazo mpira ulihama kwa miaka mingi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania