Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Liko MITAANI kwa bei ile ile ya Sh. 700 tu..... PATA NAKALA YAKOOOO!!!!!!!!!!!!!!!!



Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI LIGI KUU BARA: Yanga itakuwa ile ile na mafanikio zaidi

Ni wakati wa Yanga kujipambanua na kuishi kutokana na ubora wake na uwingi wake wa mashabiki ilionao sehemu mbalimbali nchini.

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete: Sera ya Nje Tanzania itabakia ile ile

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete amesema siasa za nchi za nje na misingi mikuu ya kuongoza mahusiano ya Tanzania na nchi za kigeni haitabadilika hata baada ya yeye kuondoka madarakani baadaye mwaka huu.

 

10 years ago

Vijimambo

MAAJABU YA KIFO CHA MAMA YAO AKINA MWAIBALE ALIFARIKI SIKU ILE ILE ALIYOZALIWA

Na Rashid Mkwinda
Asubuhi ya Disemba 13, 1940 huko katika kijiji cha Katumba wilayani Rungwe, familia ya mzee Mafumu Mlagha ilikuwa katika furaha kwa kumpata mtoto wa kike baada ya kiu ya muda mrefu ya kuwa na mtoto wa kike.

Ilikuwa ni siku ambayo familia hii ilibahatika kuwa na mtoto wa kike waliyempa jina la Twitikege.

Anga la kijiji cha Katumba lenye jua lililowakia mandhari nzuri ya kijani kwenye kijiji kilichoshamiri kilimo cha Migomba na Chai binti wa kike
alizaliwa,Ndege wa angani na...

 

10 years ago

Mwananchi

Simba gonjwa ile ile, Yanga leo

 Jahazi la Simba limeendelea kuyumba baada ya jana kulazimisha sare 1-1 na Stand United kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, wakati watani zao Yanga wenyewe watashuka uwanjani hapo kuivaa JKT Ruvu.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

9 years ago

GPL

KWA HARUFU ILE NDOA LAZIMA IFE

Jamaa yangu kaja kunitembelea na mimi nilifurahi sana, maana sijaonana naye tangu tulipokuwa shule miaka hiyo. Kwa hiyo tulianza na stori za shule na kukumbuka wale jamaa wenye vituko tuliosoma nao, na kukumbushana vituko vyao. Kadiri muda ulivyokwenda nikagundua kuwa jamaa hana mpango wa kuondoka kwangu, basi nikajitayarisha kisaokolojia kuwa jamaa atalala hapa kwangu, kwa vile nilikuwa na chumba cha wageni haikunisumbua sana....

 

10 years ago

Dewji Blog

RC Singida azindua bodi ya PAROLE ni ile inayotoa misamaha kwa wafungwa

DSC04669

Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Vicent Kone, akizungumza kwenye hafla ya uzinduzi wa bodi mpya ya Parole mkoa wa Singida. Kushoto ni mwenyekiti mpya wa Parole mkoa wa Singida, Sheikh Salum Mohammed Mahami.

Na Nathaniel Limu, Singida

BAADHI ya wafungwa wenye sifa ya kufaidika na misamaha inayotolewa na bodi ya Parole mkoani Singida,wanakosa fursa hiyo kutokana na baadhi ya mahakimu kuchelewesha utoaji wa hati za hukumu;imeelezwa.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko...

 

10 years ago

Bongo Movies

Ukistaajabu Ile Tattoo ‘Shishi baby’ kwa Mziwanda Jionee Hii ya ‘Irene Uwoya’ kwa Vjaymapenzi!

Katika hali ya kuonyesha hisia zake kwa staa wa bongo movies, Irene Uwoya kijana anayejiita Vjaymapenzi amejichora tattoo yenye jina la staa huyo  mkononi na kufunguka haya mtandaoni.

“Itatokea kwa iman yenye uvumilivu wa wazi maana unaeza jizuia kwenda haja lakini sio kujizuia kumpenda mtu alitunukiwa ndani ya moyo wako na nafsi ikamkubali...ni rahisi sana kuwa tayara kwa lolote sababu chaguo la moyo ni chaguo la furaha na faraja ya maisha...kumpenda Irene Uwoya ni ugonjwa wangu na sijui...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani