RC Singida azindua bodi ya PAROLE ni ile inayotoa misamaha kwa wafungwa
Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Vicent Kone, akizungumza kwenye hafla ya uzinduzi wa bodi mpya ya Parole mkoa wa Singida. Kushoto ni mwenyekiti mpya wa Parole mkoa wa Singida, Sheikh Salum Mohammed Mahami.
Na Nathaniel Limu, Singida
BAADHI ya wafungwa wenye sifa ya kufaidika na misamaha inayotolewa na bodi ya Parole mkoani Singida,wanakosa fursa hiyo kutokana na baadhi ya mahakimu kuchelewesha utoaji wa hati za hukumu;imeelezwa.
Hayo yamesemwa na Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YIGzx3EjFsk/Xr07StdcyNI/AAAAAAALqNE/eCQuklRZTNIYttV3oEwd5M946by6lgGdwCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-4-768x512.jpg)
SERIKALI YARIDHISHWA NA UTENDAJI KAZI WA BODI ZA PAROLE NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-YIGzx3EjFsk/Xr07StdcyNI/AAAAAAALqNE/eCQuklRZTNIYttV3oEwd5M946by6lgGdwCLcBGAsYHQ/s640/PIX-4-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PIX-1-1-1024x683.jpg)
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi, Mhe. Hamad Masauni(Mb) akitoa hotuba katika hafla fupi ya uzinduzi wa Bodi ya Taifa Parole Taifa, leo Mei 14, 2020 katika Ukumbi wa Chuo cha Mipango, jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PIX-2-1024x683.jpg)
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-frRQoYBPWu0/VJlMmgKeWDI/AAAAAAAABwo/KdEXivZ29KU/s72-c/page%2B24.jpg)
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-Cbz8fPHadls/U_yE0rgkbxI/AAAAAAAABiw/ghGkaz_N370/s72-c/PAGE%2B24.jpg)
10 years ago
Dewji Blog01 Dec
MO azindua kwa kishindo kampeni za CCM Singida
Mbunge wa jimbo la Singida mjini Mhe. Mohammed Gulam Dewji akisalimiana na wapiga kura kura wake na wananchi wa jimbo la Singida mjini mara baada ya kuwasili kwenye viwanja vya Kibaoni tayari kuzindua kampeni za CCM uchaguzi wa serikali za mitaa katika jimbo la Singida Mjini.(Picha na Geofrey Mwakibete wa MOblog).
Mbunge wa Singida MO Dewji akipata mapokezi kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni zilizofanyika Kibaoni mjini Singida.
Mbunge wa jimbo la Singida mjini Mhe. Mohammed Dewji...
9 years ago
Dewji Blog06 Sep
Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudentia Kabaka, azindua bodi ya wadhamini mfuko wa fidia kwa wafanyakazi, WCF
![](http://1.bp.blogspot.com/-9YemaKultvw/VeqdibmCkeI/AAAAAAAAYuA/WyDimvPjGaI/s640/p2.jpg)
Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudentia Kabaka, (kulia), akiongozana na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi, (WCF), Masha Mshomba, wakati wakichukua nafasi zao kwenye uzinduzi wa Bodi ya Wadhamini ya Mfuko huo, jijini Dar es Salaam, Septemba 4, 2015. Waziri Kabaka alizindua bodi hiyo itakayoongozwa na Mwenyekiti wake, Bw. Emmanuel Humba.
![](http://1.bp.blogspot.com/-QT_uGsvJYkM/VeqdivWSdiI/AAAAAAAAYuE/ucaZFMMm9ag/s640/p3.jpg)
Waziri Kabaka akitoa hotuba ya uzinduzi wa Bodi hiyo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-IqUE8j0ZlNk/VeqdgyXP_pI/AAAAAAAAYt4/FyCIDolW_bg/s640/p4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tyDWKggX3eU/Veqdo6K7LsI/AAAAAAAAYuQ/7xd3z0KAHR4/s640/p5.jpg)
Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini Bw. Emmanuel Humba akipokea chati cha usajili wa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9YemaKultvw/VeqdibmCkeI/AAAAAAAAYuA/WyDimvPjGaI/s72-c/p2.jpg)
WAZIRI WA KAZI NA AJIRA, GAUDENSIA KABAKA, AZINDUA BODI YA WAFHAMINI MFUKO WA FIDIA KWA WAFANYAKAZI, WCF
![](http://1.bp.blogspot.com/-9YemaKultvw/VeqdibmCkeI/AAAAAAAAYuA/WyDimvPjGaI/s640/p2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-QT_uGsvJYkM/VeqdivWSdiI/AAAAAAAAYuE/ucaZFMMm9ag/s640/p3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-IqUE8j0ZlNk/VeqdgyXP_pI/AAAAAAAAYt4/FyCIDolW_bg/s640/p4.jpg)
9 years ago
Mwananchi17 Sep
UCHAMBUZI LIGI KUU BARA: Yanga itakuwa ile ile na mafanikio zaidi