UFAFANUZI WA IDADI YA VITUO VYA KUPIGIA KURA OKTOBA 25
![](http://2.bp.blogspot.com/-UE9GbMoCYxg/VhlOt9OAwsI/AAAAAAABW6Y/MwdNFS3GJbo/s72-c/National_Electoral_Commission_%2528Tanzania%2529_Logo.png)
Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Ndugu Kailima Ramadhani amefafanua jinsi mabavyo Tume ya taifa ya uchaguzi ilivyo gawanya vituo vya wapiga kura kote nchini. Katika ufafanuzi huo amefafanua mambo makuu Mawili.
1. Namna ambayo siyo sahihi ya kuhesabu vituo vya wapiga KURA kama walivyo fafamua baadhi ya watu, Ambayo ni namna ya KUPOTOSHA NA NI UWONGO, na
2. Namna SAHIHI ya kuhesabu vituo kama tume ye taifa ya uchaguzi ilivyo hesabu. Nia hii inazingatia mambo yafuatayo.i). KUTUO...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/GafZrdR-eTs/default.jpg)
UFAFANUZI WA IDADI HALISI YA VITUO VYA KUPIGIA KURA KWA MUJIBU WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI
1. Namna ambayo siyo sahihi ya kuhesabu vituo vya wapiga KURA kama walivyo fafamua baadhi ya watu, Ambayo ni namna ya KUPOTOSHA NA NI UWONGO, na
2. Namna SAHIHI ya kuhesabu vituo kama tume ye taifa ya uchaguzi ilivyo hesabu. Nia hii inazingatia mambo yafuatayo.i). KUTUO...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar11 Sep
Ni kwa nini ccm wameshikilia kura za uraisi tu zisitangazwe kwenye vituo vya kupigia kura?
Hakuna shaka kua ccm wanataka kufanya wizi wa kubadilisha madokeo ya kura za Uraisi ,vipi madokeo ya kila kituo yanajulikana baada ya umalizikaji wa kupiga kura katika kituo husika halafu leo uambiwe usitangaze nani kashinda katika […]
The post Ni kwa nini ccm wameshikilia kura za uraisi tu zisitangazwe kwenye vituo vya kupigia kura? appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Mwananchi29 Apr
Vituo vya kupigia kura kuongezeka maradufu nchini
9 years ago
Mwananchi24 Oct
Askari Handeni watishia kugoma kusimamia vituo vya kupigia kura
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-LPLCZOkCVCk/VhURBIq50jI/AAAAAAAH9aM/wNMyDD0leOw/s72-c/download.jpg)
TUME YAWAASA WANANCHI KUTOSIMAMA KATIKA VITUO VYA KUPIGIA KURA
![](http://4.bp.blogspot.com/-LPLCZOkCVCk/VhURBIq50jI/AAAAAAAH9aM/wNMyDD0leOw/s1600/download.jpg)
Wito huo umetolewa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva alipokuwa akifungua mkutano wa tume na waratibu wa uchaguzi wa mikoa, wasimamizi wa uchaguzi na makamanda...
9 years ago
Dewji Blog25 Oct
Pirikapirika za hapa na pale katika vituo mbalimbali vya kupigia kura jijini Mwanza
9 years ago
Habarileo26 Oct
Wachoma vifaa vya kupigia kura
WATU wapatao 200 wakiwa na silaha za jadi wameteketeza vifaa vyote vya kupigia kura kwa kuvichoma moto yakiwemo makasha 45 ya kuhifadhia kura wakidai kuwa yalikuwa na kura ambazo tayari zilikuwa zimeshapigwa.
9 years ago
Habarileo26 Oct
‘Wakamata’ vifaa vya kupigia kura
WAKAZI wa kata za Makuyuni na Kilema Kati wilayani Moshi Vijijini wamekamata baadhi ya masanduku na vifaa vya kupigia kura katika Jimbo la Vunjo juzi vinavyodaiwa kuwa ni kwa ajili ya kusaidia ushindi kwa baadhi ya wagombea.
11 years ago
CloudsFM20 Jun
VITAMBULISHO VYA KUPIGIA KURA KUTOLEWA UPYA
VITAMBULISHO vya kupiga kura nchini, vitatolewa upya kwa wananchi wote, ikiwa ni sehemu ya mchakato wa kuboresha daftari la kudumu la wapigakura. Mchakato huo wa kutoa vitambulisho upya, utakaotekelezwa Septemba mwaka huu, utagharimu Sh bilioni 293 .
Tofauti na vitambulisho vya awali vya karatasi vilivyotolewa kwa mara ya kwanza mwaka 2004, vipya vitakuwa vya plastiki. Vimebadilishwa kutokana na matumizi ya teknolojia mpya katika uandikishaji.
Teknolojia itakayotumika ni ya Biometric Voter...