Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ufunguzi wa CD ya Christmas ya apostle Baraza Matibila.


Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Michuzi

UFUNGUZI WA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA (TMA), MKOANI MOROGORO

Na John Nditi, Morogoro
MKUU  wa wilaya ya Mvomero, mkoa wa Morogoro, Festo Kiswaga, Machi 31, 2015,  amefungua mkutano wa siku mbili wa Baraza la wafanyakazi wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania, unaofanyika katika ukumbi wa Hoteli Oasis , mjini Morogoro.
Mkuu huyo wa wilaya alimwakilisha mkuu wa mkoa, Dk Rajab Rutengwe ,na  katika hotuba yake ya ufunguzi wa Baraza hilo ,amewapongeza wafanyakazi wa Mamlaka hiyo kwa kuendeleza na kuitangaza taaluma yao vizuri ya utabiri wa  hali ya hewa ikiwa...

 

10 years ago

Michuzi

UFUNGUZI WA KIKAO KATI YA UONGOZI WA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA KAMATI YA KUDUMU YA BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR

Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Balozi Rajab Gamah akifungua kikao  kati ya Uongozi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Kamati ya Kudumu ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar inayosimamia Ofisi za Viongozi za Kitaifa  kushoto ni Mwenyekiti wa Jimbo la Kwamtipura Mhe. Hamza Hassan Juma kulia ni Mwenyekiti wa Jimbo la Wawi, Mhe. Saleh Nassor Juma. 
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Baraza la Wawakilishi inayosimamia Ofisi za Viongozi wa...

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA ZA UFUNGUZI WA MAONYESHO YA NANENANE NA UFUNGUZI WA MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI KITAIFA INAYOFANYIKA MKOANI DODOMA

 Wanafunzi wa shule ya msingi ya  Nhinhi wiyani Chamwino wakicheza ngoma ya kabila la kigogo wakati wa Uzinduzi wa maadhimisho ya siku ya Unyonyeshaji maziwa ya mama kwa mtoto kwa miezi sita yaliyofanyika katika kijiji cha Nghwenda katika mfurulizo wa wiki ya hiyo inayofanyika kitaifa mkoani Dodoma


 Baadhi ya wanawake na wanaume wakiwa na watoto wao kwenye uzinduzi wa maadhimisho ya wiki ya Unyonyeshaji kitaifa inayoendelea mkoani Dodoma yaliyofanyika katika kijiji cha Nghwenda kata ya Nhinhi...

 

10 years ago

Vijimambo

MAREHEMU APOSTLE JOHN KOMANYA


Marehemu Apostle John KomanyaTaarifa ambazo zimetufikia alfajiri ya leo na kisha kuthibitishwapunde, zinaeleza kwamba Askofu Mkuu na mwanzilishi wa kanisa laCathedral of Joy (CoJ), Apostle John Komanya, amefariki dunia alfajiriya saa kumi kwenye hospitali ya HIndu Mandal, jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa Mchungaji msaidizi wa kanisa hilo, Abel John Kigeli,ameieleza GK kwamba Apostle Komanya alikuwa akisumbuliwa na maradhi yakisukari pamoja na typhoid, na kwamba siku za nyuma alikuwa...

 

9 years ago

TheCitizen

A TEACHER'S DIARY : Apostle saved by cigarettes

When we parted ways on this page last week, Nyayo, Mwisho wa Lami’s finest jack of all trades, had been camping at Mwisho wa Lami bus stop waiting for the arrival of Apostle Elkana, The Revered Spiritual Superintendent of THOAG (The Holiest of All Ghosts) Tabernacle Assembly; to alight from a Nairobi Msamaria Mwema Bus.

 

9 years ago

AllAfrica.Com

Tanzania: A Teacher's Diary - Apostle Saved By Cigarettes


Tanzania: A Teacher's Diary - Apostle Saved By Cigarettes
AllAfrica.com
When we parted ways on this page last week, Nyayo, Mwisho wa Lami's finest jack of all trades, had been camping at Mwisho wa Lami bus stop waiting for the arrival of Apostle Elkana, The Revered Spiritual Superintendent of THOAG (The Holiest of All ...

 

9 years ago

TheCitizen

A TEACHER'S DIARY : Drama as Apostle plans trip

As soon as word reached Mwisho wa Lami and its environs that His Holiness Pope Francis will be visiting Kenya, Apostle Overseer Elkana, the Revered Spiritual Superintendent of THOAG (The Holiest of All Ghosts) Tabernacle Assembly, announced to everyone that his church is an off-shoot of the Catholic Church.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani